Thursday 18 February 2010

STOCKHOLM SODRA WITH VUMBI DEKULA BAND

mimi na bella mdau namba moja wa blog ya mipakazo,siku hiyo tulikua na furaha zetu tukaamua kupakaza na kweli mambo yalienda kama inavyotakiwa wadau kama mnavyoona picha hapo chini.
hapo nimimi mwenyewe na bwana mkubwa ndizii,au banana ukipenda muite mzee wa..........!
hapa nikiwa na mtaalamu mwenyewe mukulu vumbi kahanga dekula.
hawa wataalamu wanakung`uta vingoma hivyo kama tumba yaani tunapata burudani kamili kwakweli-
pia kuna mtaalam wa gitaa kasule kutoka jirani na huyo mdada mkewe namuitaga J,LO wote wanawajibika timu imekamilika.
mtu nyomi kama mango garden vile watu wakisebeneka
naona mtaalamu akirekebisha mic,jamaa ni mkali sana kwa kuimba copy,akikuimbia wimbo MAZE wa tabu ley utafurahi maana anaimba utasema mwenyewe`rochereau´yuko pale big up.

ndugu yetu onyango toka hapo jirani kwa obama nayeye akijumuika nasi kama kawa sodra east africa "dugu moya"

STOCKHOLM SODRA WITH VUMBI DEKULA BAND

yanga akiwa na kipenzi wake wa rohoni miriam,nae akitulia anakua mtu.
bella akiwa na miriam na friend kwa mbalii.



bella na kelvin(kikwete)katika pozi.

Tuesday 16 February 2010

TANZANIAN BEAUTY CELEBRITY*IRENE UWOYA*





picha zikimwonyesha mkali wa filamu irene katika pozi tofautitofauti,penye ukweli lazima tuseme mdada kaumbika kibantu hasa au wadau mnasemaje?haya tumwachie shemeji yetu aendelee kufaidi

MUKUBWA HUMPHREY NDANI YA BONGO

humphrey akiwa na jamaa zake,haya mzee kula raha,lakini duuh mzee ijumaa tuko pamoja sodra j,pili tayari uko kwa jide si mchezo umepumzika lakini?

humphrey akiwa na gadner.

MAMBO YA MAFIAN FISH BAR DAR


haya tena wakuu kiota kipya kimefunguliwa chini ya mkurugenzi ommy kimbau,kama kawaida pale ni special ya samaki aina zote uzijuazo,kama unavyoona hapo chini waweza pita ukajihakikishie mambo mazuri.

msosi kamili kama unavyoona mdau.

haya tena hiyo twaambiwa yaitwa lady jay dee changu special mh,inavutia kwakweli.

source:ladyjaydee.blogspot.com

Monday 15 February 2010

TANZANIAN BEAUTY CELEBRITY*RAY C*


no comment;au wewe mdau waweza tia sifa zako hapo,wabongo wamejaaliwa sio siri.

Wednesday 10 February 2010

EASTER EVE STOCKHOLM WITH RAY C,RADIO&WEASLE


MAMA AFRICA PRESENT
east african finest
RAY C,WEASEL&RADIO LIVE
MC GORVENOR ANDY
easter eve3rd april
doors open@19:00 till laate
tickert in adv,250.at door 320
venue:ALL HUSET stockholm university id 18yrs
http://www.mamaafricaclub.se/

Tuesday 9 February 2010

VALENTINE YA TWANGA PEPETA NA LOL POP


vimwana wa twanga wakila pozi la kivalentine,haya kwa mlio bongo raha ndo hizo,siku hiyo watatwanga ndani ya landmark hotel ubungo.


chalz baba na queen suzy wakiwa wamepiga pozi kali la valentine.

Monday 8 February 2010

ZANZIBAR BEAUTY GIRLS



hapo siongezei chochote iliyobaki ni wewe kula kwa macho

LUNCH TIME;SMOKED PEREGE,UGALI+MUSHROOM


utamu wa hapo hauelezeki maana hapa mate tu yanadondoka loh.

source:mjengwa blog

LADY IN RED FASHION


ALLY RHEMTULA AKIMTENGENEZA MREMBO VICTORIA MARTIN



WAREMBO WASHIRIKI WAKIWAKILISHA

FRESH JUMBE LIVE WITH TWANGA PEPETA


naona timu ilikamilika maana bombenga,fresh jumbe na wataalam wote wa twanga,show si mchezo,luiza nyuma kule mauno si ya kawaida,BIG UP