Thursday 31 March 2011

FALLY IPUPA LIVE STOCKHOLM LEO 31 MARCH

THOSE OLD DAYS-1950-1980

TANZANIA Boys playing with old car tyre, Kalabezo. stock photo
Children playing a game, Shinyanga, Tanzania. stock photo


No matter what the new Tanzanian generation thinks of, WE ARE AWESOME!!!! OUR LIFE IS A LIVING PROOF !!!!
 
Our Tanzanians mothers took aspirin, ate ugali , utumbo wa taulo na mchicha, nyama ya tanganyika packers from a can and didn't get tested for diabetes. Then we were put to sleep on our tummies in baby cribs covered with bright colored lead-base paints. We had no childproof lids on medicine bottles, locks on doors or cabinets and when we rode our bikes, we had no helmets on our heads.

As infants & children, we would ride in family cars with no car seats, no booster seats, no seat belts, no air bags, no shock absorber, bald tires and sometimes no brakes. We drank water from the mouth of public taps and not from a bottle.

We shared one bottle of coke with four friends and no one actually died from this.  (We also learnt the virtue of sharing which seems to be going extinct right now) -so call social networking -keep contacts and sharing information  wee achaa tu,,,,!!!!!

We ate cake made with Fat and white bread, with real butter. We drank TreeTop made with real white sugar. And, we weren't overweight.  WHY? Because we were always outside playing....that' s why!

We would leave home in the morning and play all day, as long as we were back when the evening lights came on. No one was able to reach us all day. We had no mobile phones. And, we were OKAY!! (Those were peacefull days!)

We did not have Play stations, Nintendo's and X-boxes. There were no video games, no 150 channels on cable, no video movies or DVD's, no surround-sound or CD's, no cell phones, no personal computers, no Internet and no chat rooms.only watchin the YOMBA YOMBA movies if you were lucky and WE ONLY HAD FRIENDS and we went outside and found them there! (where we could actually verify who they were unlike the case with the internet)

We fell out of trees, got cut, broke bones and teeth and there were no lawsuits from these accidents. (These accidents actually made us strong) 

We would get spankings with belts, roots, twigs, or just the raw bare hand with five fingers and no one would call child services to report abuse. (OMG, those spankings have made us what we are today, with a healthy respect for authority)

We ate crickets, senene, kumbi kumbi,samaki n'changa, grass cutters, squirrels and many others to name a few, pengine hata tembo. Mama always knew how to deal with them with a nice cup of Phillip Milk of Magnesia.

We wore Bata shoes,Cha cha cha, matairi pia. We made up our games with sticks, scraps and pebbles kama mdako or just the bare sand or baba na mama and komborela. We rode wooden bikes or walked to a friend's house and knocked on the door or rang the bell, or just walked in and talked to them, shared their lunch or their mama would prepare our lunch.  Imagine that!!

The idea of a parent bailing us out if we broke the law was unheard of. They actually sided with the law! And will even punish us for breaking the law. (I shudder to think what my father would have said if I had even suggested that he gives me money to pay for scores, what?)
 
These generations have produced some of the best risk-takers, problem solvers and inventors ever.  The past 50 years have been an explosion of innovation and new ideas. What can kids today do besides push buttons. We had freedom, failure, success and responsibility, and we learned how to deal with them all.

If YOU are one of them, CONGRATULATIONS!  

You might want to share this with others who have had the luck to grow up in this generation.

While you are at it, forward it to your kids so they will know how brave, lucky or providence and that God winked at our ignorance?  
CHEERS.

Wapiganaji wa I Coast waelekea mji mkuu


Majeshi yanayomtii Rais anayeungwa mkono na Umoja wa Mataifa Alassane Ouattara yanaelekea kwenye mji mkuu wa Ivory Coast, Yamoussoukro.
Majeshi yake hivi karibuni yameteka miji kadhaa na kiongozi aliye madarakani Laurent Gbagbo ametaka mapigano yasitishwe.
Bw Gbagbo amekataa kuachia madaraka licha ya Umoja wa Mataifa kutangaza kuwa alishindwa kwenye uchaguzi wa Novemba.
Mwandishi wa BBC alisema Yamoussoukro ni mji mkuu tu kwa jina, lakini kutekwa kwake kutakuwa ni ushindi wenye umuhimu mkubwa kwa majeshi yanayomwuunga mkono Ouattara.
Takriban watu 1,000,000 wamekimbia mapigano- hasa katika mji mkuu Abidjan- na karibu 462 wameuawa tangu Desemba, kulingana na Umoja wa Mataifa.
Katika mji wa magharibi wa Duekoue, maelfu ya watu wamejihifadhi kwenye kanisa baada ya kukimbia mapigano wiki hii.

BBCSWAHILI

MTOTO WA LOWASSA MBARONI KWA KUMGONGA TRAFFIC


MTOTO wa aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa, Bw. Bernard Lowassa (30), anashikiliwa na Jeshi la Polisi Kituo cha Oysterbay, Kinondoni, Dar es Salaam kwa tuhuma za
kumgonga kwa makusudi askari wa Kikosi cha Usalama barabarani E 9320 Koplo Cyprian akiwa katika kutekeleza majukumu ya kazi.

Watu walioshuhudua tukio hilo waliaalaani na kuhoji sababu za mtoto huyo kufanya hivyo, wengine wakienda mbali zaidi wakidai pengine alifanya hivyo kwa kujiona hawezi kubanwa na sheria kwa kuwa ni mtoto
wa kigogo.

Tuko hilo lilitokea juzi saa 1 jioni eneo la Namanga, Oysterbay  katika eneo la taa za kuongoza magari.

Akiendesha gari lenye namba za usajili T 573 BQV, Corona Primio, kutoka Msasani kwenda Morocco, alikaidi utaratibu wa trafiki huyo wa kuruhusu magari kupita kwa awamu kwa kulazimisha kupita kabla hajaruhusiwa.

Koplo Cyprian pengine kwa lengo la kuepusha magari kugongana na kutaka kuchukua hatua ukaidi wa Bernard, alilazimika kumzuia asipite lakini, bila kujali wala woga, aliendesha gari lake na kumgonga katika mguu na kumsukuma.

Mshuhuda walioshuhudia tukio hilo walisema askari huyo aling'ang'ania gari hilo hadi madereva wengine walipomuokoa kwa kulizuia gari la kijana huyo baada ya kusimama mbele ya gari lake.

Baada ya madereva wengine ambao nao walikuwa wakisubiri kuruhusiwa kupita katika taa hizo kukerwa na kitendo alichokifanya Bernard kumugonga kwa makusudi.

Watu wakiwa na hasira nusura wamshushie kipigo mtoto huyo lakini, askari huyo liwasihi wasifanye hivyo bali waiache sheria ichukue mkondo wake.

Madereva hao walitii kauli ya askari huyo aliyekuwa akichechemea na kulia kwa uchungu kutokana na maumivu makali kutoka katika mguu

Polisi wa kituo hicho walifika katika eneo hilo na kumchukua mzobemzobe mtoto huyo hadi Kituo cha Polisi Oysterbay, na habari zaidi zinasema baadaye aliachiwa kwa dhamana kwa sharti la kutakiwa kuripoti kituoni leo.

Kamanda wa Jeshi la polisi, Mkoa wa Kipolisi Kinondoni Bw. Charles Kenyela alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na kwamba koplo Cyprian alipelekwa Hospitali ya Mwananyamala kwa matibabu.

Kamanda Kenyela alionesha kusikitishwa na kitendo hicho cha mtu kudhani kuwa yuko juu ya sheria.

"Nimesikitishwa na kitendo hicho, mtu anaamua kutokufuata sheria za
barabarani na kudharau kazi ya askari wakati wa kutekeleza majukumu yao.

"Kijana huyo amekamatwa na anahojiwa na polisi, tuiachie sheria ichukue mkondo wake na kuamua cha kufanya kuhusu kitendo hicho cha uvunjifu wa sheria kilichofanywa na kijana huyo wa Lowassa," alisema Kamanda Kenyela.

Askari wa vyeo vya chini wameonesha wasiwasi kuhusu hatua za kisheria zitakazochukuliwa dhidi ya mtoto huyo wa kigogo wakidai, kumekuwa na kawaida ya vigogo kulindana na kupoteza haki ya mtu
wa hali ya chini.

Mmoja ya askari ambaye hakutaka jina lake kutajwa gazetini alisema kwamba ana uhakika kuwa mtoto huyo atalindwa, hatafanywa chochote, zaidi kulazimishwa askari huyo kumsamehe.

majira

HAMNA KESI HAPO

Monday 28 March 2011

MSIBA NORWAY NA TANZANIA



Marehemu Neema Kisota enzi za uhai wake.

JUMUIYA YA WATANZANIA WAISHIO NORWAY WANASIKITIKA KUTANGAZA KIFO CHA NDUGU YAO MPENDWA NEEMA KISOTA.

MAANDALIZI YA KUSAFIRISHA MWILI KWENDA MBEYA TANZANIA YANAENDELEA. GHARAMA ZA KUSAFIRISHA NA KUTUNZA MWILI WA MAREHEMU NA WASINDIKIZAJI ITAGHARIMU TAKRIBANI EURO 8000. KWA WALE WENYE MICHANGO WA WASILIANE NA REBECCA MADULEY KURUBAY +4748266769 AC No 60941245229 NORDEA BANK SWIFT AU CONTROLL NR KEUU 530. ANUANI YA BENK : NORDEA BANK NORG ASA , P. O. BOX 1166 SENTRUM N-0107-OSLO NORWAY.
MILKA KISOTA +31626055301

TUNAOMBA MCHANGO WENU WA KHALI NA MALI ILI KUWEZA KUSAFIRISHA MWILI WA MAREHEMU NDUGU YETU KWENDA NYUMBANI TANZANIA.

KWA WALE WANAISHIO TANZANIA WENYE MAPENZI MEMA WAWASILISHE MICHANGO YAO KWA VAILETH KISOTA MOB: +255 712 903 800 AU +255 767 903 800 MNAWEZA TUMA KWA MPESA KWA NUMBER HII PIA YA VAILETH.

SWEDEN TO SEND FOREIGN PRISONER BACK TO THEIR COUNTRY

swedish jail

african jail

The European Union has proposed that prisoners committing offences in another member state should be able to serve their sentences in their home country.
The Swedish government is now set to investigate how the Swedish legislation can be amended to the EU directive.

The government met last Thursday to decide to appoint a commission to adapt Swedish legislation to the EU directive, with the general rule being that citizens should serve their sentence in their country of nationality or residence.

"It is important that rehabilitation process takes place in the country in which one lives," Sweden's justice minister Beatrice Ask told Sveriges Television's Rapport news programme.

The opportunity to serve a sentence in a home country already exists and last year 55 people were transferred from Sweden to other EU countries to serve out their time.

But the system is currently based on a set of voluntary rules and in the future it will be harder for the prisoner and the recipient country to refuse a transfer.

Even if the new rules will mean that Swedes convicted of imprisonment in other countries will serve their penalties in Sweden, the pressure on Swedish prisons is expected to decline.

Aside from custodial sentences the changes also apply to psychiatric care, community service and probation.

The government inquiry is due to be completed by September 30th next year

SOURCE:THELOKAL

HAYA JAMANI HALA HALA NA MAKOSA HUKO MITAANI,KUMBUKA SASA BADALA YA KUKAA JELA HAPA NA TV NA KITANDA SAFI KAMA UKO HOTELINI SASA UTAJIKUTA UKONGA AMA SEGEREA.SHUGHULI YA JELA ZA BONGO NADHANI MNAIJUA.
NA TENA UMETOKA HUKU MAYAI MAYAI UTAISHIA KUWOLEWA TU.
KWA KUKUMBUSHANA TU NI KWAMBA SHERIA HUWA INAWALENGA MAGANGA INGAWA HAPO WAMEZUNGUSHA KISWAHILI TU.
WATCH OUT

BABU ASITISHA KUPATA KIKOMBE KWA WIKI MOJA


HUDUMA za uponyaji wa magonjwa sugu, zinazotolewa na Mchungaji mstaafu wa KKKT, Ambilikile Mwaisapile, zimesitishwa kwa wiki moja,kufuatia matukio ya idadi kubwa ya watu wanaofuata tiba kufariki dunia kabla ya kupata huduma.
Mchungaji Mwaisapile maarufu Babu, aliwaambia waandishi wa habari jana hali katika Kijiji cha Samunge, sasa ni mbaya, yakiwa ni matokeo ya kuongezeka kwa idadi ya watu wanaofuata tiba.
Alisema hata hivyo, ongezeko la watu katika kijiji hicho limesababisha madhara makubwa ya kiafya kwa maelfu ya watu."Tumeelemewa na idadi ubwa ya watu, naomba halmashauri ya wilaya itusaidie ili tuweze kuwahudumia hawa watu ambao sasa wanakufa hata kabla ya kupata dawa," alisema.
Alisema yeye binafsi, bado ana nguvu, nia na uwezo wa kuendelea kutoa tiba kwa kadri mwenyezi Mungu alivyomjalia na kumwelekeza na kwamba anachohitaji ni ushirikiano katika kuboresha taratibu ili tiba ipatikane bila usumbufu na adha kwa wananchi.

Akisoma tamko la Mchungaji Mwaisapile, Ofisa Makazi wa Wizara ya Mambo ya Ndani, Frederick Mwisagile, alisema linakuja baada ya kupewa taarifa kuhusu msururu wa magari uliokwama kilometa 55 kutoka nyumbani kwake.Habari zilisema msururu unakakadiriwa kuwa na zaidi ya magari 4,000 na mengine zaidi ya 100 yamekwama.

Mchungaji huyo aliiomba serikali isaidie kupunguza msongamano wa watu na magari yanaoendelea kwenda katika kijiji hicho yakitokea ndanni na nje ya nchi."Nimeambiwa watu wasiopungua 24,000 wapo ndani ya magari kwenye foleni. Najua itawachukua kati ya siku tatu hadi saba kufika kwangu, kwa kweli hali hii si nzuri na inahitaji hatua zichukuliwe haraka,"alisema.

Kwa mujibu wa mchungaji, njia ya kukabiliana na msongamano huo, ni kuhakikisha watu walioko kwenye msururu wanaisha kwanza."Naomba kuanzia leo tarehe 26 hadi Aprili mosi nishughulike na hawa waliopo kwenye foleni ili waishe kwanza,"alisitiza Mchungaji Mwaisapile.

Pia alipendekeza magari yanayokwenda Loliondo, yakaguliwe vizuri na mamlaka zinazohusika ili kuhakikisha kuwa a ni mazima na si malori.Alisema hiyo inatokana na ukweli kwamba   barabara ni mbaya na mvua zinaendelea kunyesha.

Babu pia alitaka wagonjwa mahututi walioko mahospitalini, wasitolewe na kupelekwa kwake.Hali kadhalika, aliwataka wale wanaotumia dawa, kubeba dawa za kutosha wakiwa safarini na kwamba ushauri huo unakuja baada ya kubainika kuwa idadi kubwa ya watu wanapoteza maisham walikuwa na ugonjwa wa sukari na hawakubeba dawa za kutosha, wakiamini kuwa wangepata dawa haraka na kuondoka.

Katika tamko lake, mchungaji huyo amependekeza pia barabara ikarabatiwe na kuweka utaratibu mzuri utakaowezesha watu 2,000 kupata tiba na kuondoka  kwa siku moja.Pia alitaka kuwepo kwa  vituo vya kukagua magari katika maeneo mbalimbali ya barabara na kusimamia utaratibu ili watu wasikae katika foleni zaidi ya siku moja.

Mchungaji pia alipendekeza mazingira ambayo sasa yamechafuliwa sana, yasafishwe na kujengwa  vyoo vya kutosha na kwamba hayo yafanyikw pamoja na kusogeza  karibu huduma za maji.

Aliishauri serikali itengeneze maeneo ya kuwawezesha wagonjwa kupumzika wakati wakisubiri kupata tiba.Halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro, imekuwa ikitoza kila gari linalokwenda Lolindo, ushuru wa Sh5,000 wakati helkopta zikilipiwa ushuru wa Sh 150,000 na inaelezwa kuwa fedha hizo ni za  kugharimia huduma mbalimbali zinazotolewa na halmashauri hiyo.

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Ngorongoro, Benjamini Maziku, alisema hadi Machi 24 mwaka huu, watu 52 walikuwa wamefariki dunia wakiwa hawajapata tiba kwa sababu ya misururu mirefu.
chanzo:mwananchi

MAAJABU LOLIONDO

Sunday 27 March 2011

TUZO ZA KILI MUSIC AWARD ZILIVYOFANA

producer man walter akipokea tuzo za 20% aliyefunika kwa kuchota tuzo tano.big up asilimia ishirini

20% tuzo tano kijana amekomba


lina kutoka THT kanyakua tuzo mbili(msanii bora wa kike na msanii anayechipukia)

Hard Mard kashinda wimbo bora wa reggae(ujio mpya)
Barnaba toka THT alishinda wimbo bora zouk-rumba (nabembelezwa)
Mpoki kashinda wimbo bora wa kienyeji licha ya kutimuliwa wakati wa kupendekezwa
bendi ya mapacha watatu wameshinda tuzo mbili(wimbo bora wa kiswahili na chokoraa rapa bora)hongera sana wajomba mmejitahidi kazeni buti.
smart boyz kutoka tz wakitumbuiza wageni,ni Diamond,Alli K na Banana Zorro
wabongo tunatisha anga hizi vibaya

mzee yusuph kashinda tuzo wimbo bora wa taarab(valentine)


msanii joh makini wimbo bora wa hip-hop

C pwaa
video bora ya muziki- (ACTION)

Producer bora Lamar toka fish crab

picha na habari toka burudani na jiachie blog



Saturday 26 March 2011

SWAHILI NIGHT NI LEO PALE ALBY MSIKOSE

week end bongomovie"SURIA PART 1"

NO-1 NO-2 NO-3 NO-4 NO-5

 hapo mwisho na tutaangalia part two kama tu mmependezewa na hii movie vinginevyo tutachilia mbali,kwa mtakaoangalia toa comment kama nzuri tuendelee nayo ama vipi.week end njema.

MODELS WETU LEO








nivue"vuaaaa"akasaula kweli sema hatuweki hapa tumezingatia maadili



nice







Thursday 24 March 2011

NGUZO TANO ZA MAPENZI-MCHINGA SOUND




sijui nisemeje lakini wimbo una ujumbe mkali sana huu,kipindi hiki wana timba timba walikua kamili,Alli Choki,Hadija Mnoga,Kalala Junior,bila kusahau kichwa FERGUSON.ilikua ni burudani tu.kumbuka kwamba sasa wamejiunga tena kwa hiyo tutegemea vitu vingine vikali sana ingawa sasa ni EXTRA BONGO.

UCHUKUZI WA MAITI ZA WANAMUZIKI WA 5 STAR



marehemu dr remmy alitoa ujumbe mzuri sana hapa

mnawaonaje hapa,warembo wasafi na wamependeza
baada ya kufariki wanaishia kubebwa hivi kama magunia ya viazi toka uporoto

kwa kweli hakuna kitu kilichoniuma katika msiba huu mzito uliotokea kama uchukuzi wa maiti za wanamuziki hawa.sijui nani alaumiwe hapa.
nimezoea kuona majambazi wakipakiwa kwenye maroli dizaini hii kama wakiuliwa katika mashambulio na mapolisi,nikawa naona ah sawa tu maana wale ni majambazi na ni wauaji.
sasa hii tena kuona wanamuziki hawa baada ya kupata ajali hii nao wakapakizwa katika maroli haya ikanistua sana,imekuwaje watanzania sasa miili yetu imekua haina value kiasi hiki??
kumbe mtu ukifa unakua huna thamani mpaka kufikia kubebwa na magari ya dizaini hii,ni afadhali basi hata ingekuwa ni majeruhi wamepakizwa humo kuwahishwa hospitali ingeeleweka,lakini hawa walishakufa,zilishakuwa maiti,je ilishindikana kabisa arrangement ya usafiri unaoeleweka japo kidogo kwa ajili ya kusafirisha miili hii kwa heshima??
sidhani kama halmashauri yoote ya mkoa wa morogoro walishindwa kupata usafiri jamani nashindwa kuamini.
hili jambo sio la kulikalia kimya sababu halijakutokea wewe.mwenzio akinyolewa nawewe tia maji.hii inaweza kutokea hata wewe unapokumbwa na tatizo kama hili.
ni wakati wa serikali kutambua mahitaji ya wananchi na jinsi ya kukidhi mahitaji hayo.kama kungekuwa na huduma nzuri za hospitali  na ambulance za kueleweka (sio zile bajaji walizonunua maana zitasababisha ajali na kuwaua maiti tena mara ya pili) zingetumika kusafirisha miili hii.
kama angekuwa mtoto wa fisadi mmoja kapata ajali hapo ingetumwa hata helkopta kwenda kumchukua kumwahisha hospitali,hiyo ndio afrika yetu.
tumeona hapo kenya kipindi fulani mtoto wa kibaki alianguka akateguka mguu ni helkopter ya jeshi tena ilitumwa ikamchukue kumpeleka hospitali.
lakini kwa raia wa kawaida wanyonge wataishia kusafirishwa kama hivi mnavyoona hapo juu.nani anajali
laiti kama hawa marehemu wangejua hili nadhani wangejiandalia usafiri kabisa kama remy anavyoimba.

THAMANI YA MIILI YA WATZ SASA INAFANANISHWA NA MAGUNIA YA VIAZI 

KATUNI UJUMBE

unauliza tena?ikiwezekana ji-edit hata wewe mwenyewe.ukimaliza wanafunzi wanakusubiri hapo chini ukawaambie ni lini watajengewa shule nzuri na kukaa kwenye madawati.

Wednesday 23 March 2011

DEKULA BAND LIVE AT LILLA WIEN SODRA 25fri -26sat MARCH





Dekula Band "Ngoma ya Kilo"
Place: Lilla Wien "Little Nairobi"
Date: 25-26 March 2011 Friday & Sat.
Time: 21.00-01.00
Add: Swedenborgsg.20
Pendel: Södra Station

MEET DJ MIKE N. AND ANNA & SEBASTIAN THE SWEDISH MIXING AFRICAN MUSIC

ELIZABETH TAYLOR IS DEAD AT 79


Dame Elizabeth's many films included National Velvet, Cleopatra and Who's Afraid of Virginia Woolf?
Dame Elizabeth Taylor, one of the 20th Century's biggest movie stars, has died in Los Angeles at the age of 79.
The double Oscar-winning actress had a long history of ill health and was being treated for symptoms of congestive heart failure.
Dame Elizabeth's most famous films included National Velvet, Cleopatra and Who's Afraid of Virginia Woolf?
She was equally well-known for her glamour and film partnership with Richard Burton, one of seven husbands.
In her prime, she was arguably one of the world's greatest actresses and most beautiful women.
Her colourful private life, screen success and Aids charity work ensured she was never far from the spotlight since finding fame at the age of 12.
The peak of her film career came in the 1950s and 1960s, with four Oscar nominations in a row from 1958 to 1961.
She lost out in her first three attempts - for Raintree County, Cat on a Hot Tin Roof and Suddenly, Last Summer - but triumphed at her fourth attempt with Butterfield 8.
 
Her second Oscar came in 1967 for Who's Afraid of Virginia Woolf?, one of 12 films with Burton.
She met the actor while filming 1963's Cleopatra - which became notorious as one of the most expensive films of all time, but which also sparked one of Hollywood's greatest romances.
Taylor had already been married four times - to Conrad Hilton, Michael Wilding, Michael Todd and Eddie Fisher - before she wed Burton in 1964.
Their tempestuous relationship saw them divorce and remarry in 1975 before she moved on to further marriages with John W Warner and Larry Fortensky.
Her health problems began with a fall while filming her first hit film, National Velvet, which led to a lifetime of back problems.
A rare strain of pneumonia almost killed her in 1961 and she also battled addictions to alcohol and painkillers.
In the 1990s, she endured two hip replacement operations and another near-fatal bout of pneumonia and survived surgery for a benign brain tumour in 1997.
In 2004, it was revealed that she was suffering from congestive heart failure, with symptoms including fatigue and shortness of breath, and scoliosis, which twisted her spine.
But she continued to campaign for her Aids charity, which she set up in 1991 after the death of her friend and co-star Rock Hudson

BBC