Thursday 30 June 2011

BREAKING NEWS!! RUSSIA DECRIES FRENCH ARMS DROP TO LIBYA REBELS

 Breaking news
Russia decries French arms drop to Libya rebelsr
Russia has strongly criticised France for dropping weapons to Libyan rebels and demanded an explanation from Paris.
"If this is confirmed, it is a very crude violation of UN Security Council resolution 1970," Foreign Minister Sergei Lavrov said.
The African Union has also criticised the move, saying it risks causing a "Somalia-sation" of Libya.
The French military says it has dropped arms to Berber tribal fighters in the mountains south-west of the capital.
Mr Lavrov said Russia had formally requested information from France about the move, to check that it "corresponds with reality".
Moscow abstained from the UN Security Council vote in March that authorised an international mission in Libya to protect civilians.
Russia and China have both criticised the Nato campaign in recent weeks, saying it had gone beyond the remit of UN resolution 1973.
Another resolution, 1970, had imposed an arms embargo on Libya.
But US and UK officials have argued that resolution 1973 could nonetheless allow weapons to be supplied to rebels fighting to topple Libyan leader Muammar Gaddafi.

BBC

ENZI ZA GENERAL DEF-DEFAO NA KITU CHAKE REGIS



ENZI HIZO AKIWA NA KINA MONTANA KAMENGA NA KABOSE BULEMBI ILIKUA NI  BALAA SIKU HIZI SIJUI KAISHIA WAPI ILA KABOSE AMEANZISHA BENDI YAKE NA MONTANA KAANZISHA YAKE MNAJUA TENA WAKONGO.

WERRASON-"DIATA BAWU" HII MUPYA

Female caregiver suspected of selling sex to elderly patient

 
 

A female caregiver is suspected of having sold sex to an 85-year-old man, who was known to the authorities for having shown a large appetite for sex, according to a report in the local Borås Tidning (BT) daily.

The illicit sexual encounters are suspected to have continued over several years and involved large sums of money.

Borås municipality has subsequently opened an investigation in accordance with Lex Sarah, a law obliging staff in the care industry to report instances of mistreatment to social services.

The 85-year-old, who is a long-term client of the municipal home-help service, was known to the authorities for having shown a significant interest in sex. With this in mind, the municipality has deliberately avoided sending female caregivers alone to the man's home.

But it has come to light that the woman got to know the elderly man and that she is now suspected of having received several hundred thousand kronor (tens of thousands of US dollars), rumoured to be payment for sexual services rendered.

"If this is the case then it is very tragic occurrence for all those involved. And if it is shown to be mere rumour then that is also tragic," a representative for the local municipality told BT.

From July 1st the law governing Lex Sarah will be expanded from care for the elderly and disabled to cover all social services.

Furthermore municipalities will also be required to report all case of mistreatment to the National Board of Health and Welfare (Socialstyrelsen), replacing the previous requirement for only the most serious cases to be reported.

thelokal

Wednesday 29 June 2011

VUMBI&DEKULA BAND AT LILLA WIEN 2nd JULY

Vumbi Dekula in action
Dekula Band”Ngoma ya kilo”
Place:Lilla Wien”Little Nairobi”
Date:01-02 Julay 2011
Time:21.00-01.00
Add:Swedenborgsg.20
Pendel:Södra Station

SABA SABA KULTURDAGEN AND ONE LOVE MID SUMMER ENTERTAINMENT CONTINUES



DUE TO PUBLIC DEMAND ONE LOVE MID SUMMER ENTERTAINMENT CONTINUES!;
All roads will be leading to Årsta torg for the SABA SABA KULTUR BASHMENT. With special highlife dance from Ghana and the best Djs in Stockholm. Meet the new friends you made in Häggvick and keep contact with the old ones.
Isaac special out door Nyama choma BBQ- grill 15;00-20.00.
Dance night with FREDRICK ADDO fresh from Ghana , Dj: Johny  Waiganjo Patrick, Mike, Richy etc dance you from 20:00- all night long in Årsta folkets hus. More info, ugamuziki.com, KENYASTOCKHOLM.COM

DUKA LA KIMWANA MANYWELE 2011


kwa nje

ndani hivi na vikorombwezo vyake

mmoja kati ya hawa mabinti anatakiwa aondoke na funguo za duka hilo,kazi kwenu mlio bongo msikose final hiyo mkapate mambo
HABARI ZAIDI INGIA HUMU

KATOON MIX

Tuesday 28 June 2011

AFRICAN CHALLENGE CUP 2011 MEETING


Dear AC-CUP PARTICIPANTS,
I would like to invite all AC-CUP participants to the AC-CUP organisational meeting at 5.30pm on Tuesday, June 28, 2011 at the Internationella Biblioteket, Aulan (Odengatan 61 D). The purpose of this meeting is to conduct the final draw of the AC-CUP, kicking off on July 2, 2011.
If you have any questions regarding this meeting please call Jacob on 073-352 26 26 / Joshua on 076-701 14 73
Thank you for your time and I hope to see you at the meeting.
OBS!
Date: Tuesday, June 28, 2011
Venue: Internationella Biblioteket, Aulan (Odengatan 61 D) T-Bana Odenplan
Time: 5.30pm

Sincerely
Joshua
--------------------------------------------
Joshua N.Ako
Secretary General
Sports Association of Afro-Scandinavians
www.saas-organization.se
www.ac-cup.se

WAKENYA WAICHAKACHUA SAMUNGE KWA BABU

*Waanza kutoa takwimu potofu kuwadanganya watu
*Wageni sasa wapitia Kenya kuelekea Samunge
*Mbunge ataka Serikali iingilie kati, ikanushe uongo
Na Mregesi Paul, Dodoma


MBUNGE wa Ngorongoro (CCM), Kaika Telele, amesema Wakenya wameanza kujitangaza kimataifa, kwamba Kijiji cha Samunge kilichopo Loliondo Mkoa wa Arusha, hakiko Tanzania bali kiko Kusini mwa Kenya.
Telele alitoa madai hayo bungeni jana alipokuwa anachangia mjadala wa hotuba ya makadirio ya bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa mwaka wa fedha wa 2011/2012.
“Napenda kumzungumzia Babu wa Loliondo kwa sababu amefanya mambo makubwa sana na naishukuru Serikali kwa kumpa ushirikiano wa karibu.
“Nawashukuru pia wote waliokwenda Loliondo kupata kikombe cha Babu, waliopona ndiyo wanaojua Babu amewasaidiaje kwa sababu hiyo ni siri yao.
“Pamoja na kwamba Kijiji cha Samunge kiko Tanzania hivi sasa Wakenya wanajitangaza kwamba kijiji hicho kiko kusini mwa Kenya… huu siyo ukweli kabisa kwa sababu wanafanya hivyo ili wageni wanaokuja kwa Babu wapitie Kenya.
“Wanawadanganya watu kwamba, kutoka KIA hadi Samunge ni kilomita 800, wanasema kutoka Uwanja wa Ndege wa Jomo Kenyata hadi Nairobi ni kilomita tatu, wanasema kutoka Nairobi hadi Samunge kupitia Loliondo ni kilomita 45 wakati usahihi ni kwamba ukitoka Loliondo hadi Narok ni kilomita 156 na umbali halisi wa kutoka Narok hadi Samunge ni kilomita 200.
“Hawa Wakenya ni watu wa ajabu sana. Wanawadanganya watu kwa sababu kila kitu kizuri kinapopatikana Tanzania wanasema ni chao. Serengeti wanasema ni yao, Kilimanjaro wanasema ni yao, kwa nini Serikali yetu haikanushi taarifa hizi?
“Mimi sielewi kwa nini Serikali yetu iko kimya. Wakenya sasa wanapata umaarufu wa Samunge wakati siyo kijiji chao. Serikali isikae kimya, ijibu kauli hizo na iwaeleze watu ukweli badala ya kuendelea kukaa kimya.
“Halafu muelewe kwamba wagonjwa wengi wanaoingia Samunge wanatoka Kenya, wengi wao siyo Wakenya bali ni wageni kutoka nchi nyingine wanaolazimika kupitia katika nchi hiyo kutokana na taarifa za uongo zinazotolewa,” alisema Telele.
Katika hatua nyingine, alisema mgonjwa mmoja kutoka nchini Malawi amemzawadia Babu gari aina ya Toyota pick up lenye namba za usajili BL 9238 baada ya kupona kupitia kikombe cha Babu.
“Nawaambia Babu yuko juu kama mkungu wa ndizi. Kuna mtu mmoja kutoka Brantyre, Malawi alifika Samunge akapata kikombe, baada ya kupona kabisa ugonjwa wake, sasa ameamua kumzawadia gari Babu,” alisema.
Akizungumzia ujenzi wa barabara ya kutoka Mto wa Mbu -Loliondo kupitia Mbuga ya wanyama ya Serengeti, mbunge huyo alisema lazima barabara hiyo ijengwe kama ilivyoainishwa katika ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM).
Aalisema kuwa, pamoja na kwamba baadhi ya wanaharakati hawataki barabara hiyo ipitishwe katika Mbunga ya Serengeti, ujenzi wa barabara hiyo ni lazima kwa kuwa haitakuwa barabara ya kwanza kupitishwa katika mbuga za wanyama.
Katika maelezo yake, mbunge huyo liitolea mfano barabara inayotoka Dar es Salam kwenda Iringa ambayo inapitia katika Mbunga ya Wanyama ya Mikumi ingawa mbuga hiyo ina idadi kubwa ya Wanyama.
Kwa mujibu wa Telele kinachotakiwa wakati wa ujenzi wa barabara hiyo ni kuwekwa matuta kadiri itakavyowezekana ili kudhibiti mwendo mkali wa magari yanayoweza kuwagonga wanyama pindi yanapokuwa yakipita katika barabara hiyo.
“Ujenzi wa hii barabaa ni muhimu sana na wananchi wa Ngorongoro wanaihitaji sana na nafurahi kwamba iko katika Ilani ya CCM na imetengewa Sh bilioni 1.600.
“Kwa hiyo, lazima ijengwe kwa kiwango chama lami kama ilivyoelekezwa na hii hoja ya kwamba barabara haiwezi kupitishwa katika Mbunga ya wanyama hatuwezi kuikubali kwa sababu wanyama hawawezi kuwa kikwazo cha maendeleo,” alisema.
Hata hivyo, wakati mbunge huyo ana msimamo huo, Serikali imekwishapeleka barua Ufaransa kueleza kuwa kilomita 53 zinazokatiza kwenye mbunga zitabaki kuwa za changarawe na lami itaishia kwenye kingo za mbunga.

chanzo:mtanzania gazeti

NB
SISHANGAI MAANA TUMESHAZOEA KUPIGWA BAO,ACHA TUENDELEE KUPIGA USINGIZI KIDOGO TUKIJA AMKA (KAMA SI KUAMSHWA) TUTATIA AKILI

MSAADA WA MAFUTA YA KULA KWA SERIKALI YA TANZANIA!!


Balozi wa Japani nchini Hiroshi Kanagawa, akimakabidhi msaada wa mafuta ya kupikia katibu mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Mbarak Abdul Wakil, leo asubuhi Bandarini Dar es Salaam. Msaada huo wa mafuta ya kupikia umetolea na serikali ya Japani kwa Serikali ya Tanzania kwa ajili ya kuwasaidia wakimbizi waliopo katika kambi mbali mbali nchini


haya tena,ukishakuwa matonya huwezi kuwa na masharti ya msaada utakaopewa,huku ndiko tunakoelekea.kwanza najiuliza perezidaa amesafiri nini??maana angekuwepo huu msaada tungeona yeye anapokea.eeh ndio manaake,si juzi tu hapo tulipewa msaada wa yebo-yebo na hawa hawa wachina sijui wajapan.na muhishimiwa alikua pale kupokea.

haya sasa tunapewa mafuta ya kupikia!ingawa wanazuga yanaenda kwa wakimbizi lakini ni serikali ya tanzania ndio (maybe imeomba)imepewa msaada lmao!
kama msaada ni wa wakimbizi kuna viongozi wa WHO na UNHCR wanahusika na hii misaada.

huamini shauri yako,baada ya kupumzika kidogo na kituko cha bajaj ambulance na fire brigade bajaj sasa tumeenda kuomba mafuta ya kula.
na kiongozi mkubwa tu wa chama na serikali na wizara nyeti anachoma mafuta ya shangingi lake vx v8 kukimbia kumuwahi huyu mjapani anayeleta mafuta ya kupikia,lazima awahi maana akichelewa ataonekana ana dharau misaada na usikute hawa wajepu wameweka ntego tu,

maana huu utani mi nahisi kama vile mkulu yuko huko huko kwao hiroshima anapiga mizinga.sasa na wao kuthibitisha wameona watume mafuta ya kula ili waone kama tunahitaji msaada kweli ama vp,na huyu jamaa nahisi kahimizwa kuwahi msaada huo na labda kapigwa mkwara ole wake asionekane huko maana ataharibu dili.

haya umatonya unaendelea sasa baada ya mafuta ya kula,yeboyebo,vyandarua,tende na halua,nini kitafuata?muda si mrefu tutasikia ndege ya rais inachoma mafuta mpaka jamaika kuomba msaada wa pili-pili.kisha itaenda tena uchina kufuata koroboi na utambi,mara tutasikia imeenda tena kufuata msaada wa viberiti mara matango mara maembe.tujiandae tu.kuna muda wa miaka minne wa kuendeleea kufwatilia hili movie.baada ya miaka minne watachange stering lakini movie linaendelea
inaelekea hili movie refu kweli,sijui litaisha lini.

kazi kwenu wadanganyika

Monday 27 June 2011

BLOG YENU ISAACKIN IMECHAGULIWA KATIKA BLOG BORA KWA ENTERTAINMENT KAPIGE KURA TUSHINDE

Best Entertainments
http://ankomo.blogspot.com
http://bongocelebrity.com
http://bongoflavortz.blogspot.com/
http://dartalk.com/
http://hotspotmagazinetz.blogspot.com/
http://mrokim.blogspot.com
http://mtotowakitaa.blogspot.com/
http://thesporahshow.blogspot.com/
HAYA WADAU TUMESHAINGIA KATIKA MASHINDANO KAMA HIVYO,BASI NI JUKUMU LETU KUPIGA KURA KWA WINGI ILI BLOG YAKO UIPENDAYO ISAACKIN ISHINDE.JINSI YA KUPIGA KURA BONYEZA HII LINK www.tanzanianblogawards.com/
THEN UKIENDA HUKO ANGALIA MKONO WA KULIA KABISA THEN SCROLL KWENDA CHINI MPAKA KWENYE KITENGO CHA  BEST ENTERTAIMENT BLOG UTAONA ISAACKIN BLOG BASI UNABONYEZA BONYEE PALE MWANZO KWENYE KADUARA
UNATOA VOTE YAKO KWA KU-CLICK NENO VOTE PALE CHINI.


MUONEKANO KABLA YA KU-VOTE

Best Entertainments Blog
MUONEKANO BAADA YA KU-VOTE
Best Entertainments Blog
 Vote

ASANTENI WADAU,JITAHIDINI MPIGE KURA KWA WINGI MAANA TUKISHINDA MIPAKAZO NI HAPA HAPA GLOBUNI KWETU.
THANX
MR ISAACKINE.

BOBAN AKABIDHIWA JEZI NO 3 MSIMBAZI


Na John Joseph
BAADA ya kurejea Msimbazi, kiungo Haruna Moshi ‘Boban’, (pichani) amekabidhiwa jezi namba 8 iliyokuwa ikivaliwa na nahodha wa Simba, Nico Nyagawa.

Tayari Kocha Mkuu wa Simba, Moses Basena, raia wa Uganda ameutaka uongozi kumuacha Nyagawa ili kutoa nafasi kwa vijana.

Boban ambaye amekuwa akivaa jezi namba 3 akiwa Simba na hata timu ya taifa, Taifa Stars, alianza kuonekana na jezi hiyo katika mechi ya ufunguzi wa michuano ya Kombe la Kagame dhidi ya Vital ‘O ya Burundi juzi.

Kiungo huyo kabla ya kwenda Gefle IF ya Sweden, aliitumia kwa muda mrefu namba 3, hali iliyofanya iwe kama nembo yake.

Kukabidhiwa jezi hiyo kwa Boban, kumethibitisha kuwa tayari Nyagawa hatakuwa katika kikosi cha Simba msimu ujao kama lilivyoandika kwa mara ya kwanza gazeti hili, Ijumaa iliyopita.

Pamoja na Boban, mkongwe mwingine, Ulimboka Mwakingwe alishindwa kuirejesha jezi yake namba 14 baada ya kutua Msimbazi kwa mara nyingine.

Mwakingwe amekabidhiwa jezi namba 6 aliyoanza kuitumia juzi badala ya 14 ambayo kwa sasa inatumiwa na Shija Mkina aliyekabidhiwa wakati mkongwe huyo alipoachwa kwenye kikosi hicho kabla ya kusajiliwa na Majimaji ya Songea.

CHANZO:GPL

Students suspected of residency permit fraud

 

Thousands of foreign students are abusing their residency rights by never attending college in what could be a widespread visa fraud, according to a new report from the Swedish Migration Board (Migrationsverket).
 
"We assume these are doing something completely different, that they work rather than study," said Michael Parzyszek of the EU border control agency Frontex to Sveriges Radio (SR).

A report carried out by the Swedish Migration Board suggests that up to one third of students who are granted resident visas in Sweden do not show up for class and are getting away with it because the rules are so slack and controls are so rarely undertaken, according to SR.

Sten Alstander at the Swedish Migration Board admits that his organisation is powerless to stop the widespread abuse of the system, which could involve several thousand students.

"No sadly, that is the way it has happened. It hasn't been our responsibility to check and no other agency has shouldered it either," he told SR.

Some 15,000 people arrive every year with a one-year visa that allows them to study in Sweden.

Up until now all you needed to obtain a residency permit was a letter of admission from a college, as well as proof that you have enough money to survive in Sweden during the study period and to pay an application fee of about 1000 dollars.

There are very few checks to see if they actually spend any time at all in their allotted colleges, while many instead find work, the report claims.

The last time any kind of investigation was carried out by authorities, it showed a similar result, that some 25% were not showing up at college. Nothing has been done since to tighten up the rules.

However the situation may change.

Starting this autumn, the system of tuition fees will take effect in Sweden for foreign students.

For the first time colleges will have to report students who do not turn up for classes to the immigration office, which will then have the power to revoke the permit.

However, according to the Migration Board, the students will still only have to attend and pass studies comprising ten weeks out of the 40 week academic year to qualify for a permit.
Source:the lokal

Serengeti road scrapped over wildlife concerns

Sunset in the Serengeti 
 
Wildebeest grazing
The Serengeti is a key destination for tourists in Tanzania

Controversial plans to build a tarmac road across the Serengeti National Park have been scrapped after warnings that it could devastate wildlife.
The Tanzanian government planned a two-lane highway across the park to connect Lake Victoria with coastal ports.
But studies showed it could seriously affect animals such as wildebeest and zebra, whose migration is regarded as among the wonders of the natural world.
The government confirmed the road across the park will remain gravel.
 
The bat-eared fox is another Serengeti resident, and depends on wildebeest for much of its food
In a letter sent to the World Heritage Centre in Paris, the Department of Natural Resources and Tourism says the 50km (30-mile) section of road across the park will "continue to be managed mainly for tourism and administrative purposes, as it is now".
The government is considering an alternative route for a major trade highway that would run to the south of the park.
This would avoid areas of high conservation value, and - although a longer route - would bring the opportunities afforded by a modern transport link to more people.
Last year, a group of scientists warned that the proposed road across the park could bring the number of wildebeest in the park, estimated at about 1.3 million, down to 300,000.
Collisions between animals and traffic would be unavoidable, they said.
And with a corridor on either side of the road taken out of the hands of the park authorities and given to the highways agency, fencing would almost certainly result, blocking movement of the herds.
If wildlife were damaged, they warned, that could also affect the local economy, in which tourism plays a major role.
'Wonder of nature'
The researchers described the Serengeti as "a rare and iconic example of an ecosystem driven by a large mammal migration".
That annual north-to-south trek involves about 1.5 million animals, including wildebeest and zebra.
 More than a million wildebeest live in the Serengeti
As the animals travel, they dump vast quantities of urine and dung across the land, fertilising plant growth, while the trampling of hooves also prevents bush from over-growing the grassland.
An impact assessment compiled for the government confirmed the expected impact on migration, adding that the decline of wildebeest and zebra would have a knock-on effect on predators such as lions and cheetahs.
These are among the animals that tourists come to see.
Scientists also warned that the road could bring invasive plant species or unfamiliar diseases into the park, a World Heritage Site.
Last year, the World Heritage Committee expressed its "utmost concern" about the "potentially irreversible damage" that the highway could bring.
Environmental campaigners have welcomed the government's decision, with the organisation Serengeti Watch saying: "A battle has been won".
However, they warned that the region faces a number of other threats, including roads around the park and poaching.

BBC

Friday 24 June 2011

ONE LOVE MIDSUMMER IN SOLLENTUNA​/HÄGGVIK TOMMOROW FROM 01:00 AFTERNOON TILL SUNDAY MORNING



Dear friends,

Happy midsummer to all of you. I wish to remind you and invite those that may get this information just now, to the ONE LOVE MIDSUMMER GRILL AND DANCE DAY. We thought we should have had two days celebration but its no longer the case. We shall have a one day event 8grill in the afternoon and dance at night) on Saturday 25th June only. It will be intensive BBQ NYAMA CHOMA a special grill of its kind. For more information and updates keep checking on the following links:
http://kenyastockholm.com/2011/06/17/one-love-mid-summer-nyama-choma-grill-at-sollentuna/,  and http://ugamuziki.com/home/?p=256, . One Love grill and dance day will be talked about on the  93.7 Metropol at 14.00 today and tomorrow.

 Summer is  sweet and short so lets make use of it to the maximum.

Happy Midsummer
Samson Mande
Network for Africans unity

Its midsummer today!

Yeah ni mid-summer afton huku tulipo lakini bongo siku haina dili maana jua lipo kila siku n'a linawaka mpaka mifukoni.hii siku mambo yake ni ya kifamiliq zaidi hivyo kwasisisi tulio n'a majukumu ni kuunganika na familia kusharehekea. Bila kusahau baada ya kumaliza n'a family leo,hapo kesho tutakutana solentuna kwa ajili ya kusherehekea kiafrika zaidi.kutakuwa n'a nyamachoma za kukata na mundu bila kusahau ubwii wa kushushia wa kumwaga.ukizingatia kurona wamecheka basi ni kutundika steress kwenye mto kisha kujibeba mpaka Solentuna malmvagen uwanjani pale nyamachoma inaanza mchana wa saa saba n'a baadae tutahamia ukumbini hagvikk kwa ajili ya disko na bbq mpaka asubuhi kuna supu unapiga kisha unajikata kwenda kwenu kumalizana na usingizi karibuni maelezo zaidi soma hilo tangazo hapo juu

Thursday 23 June 2011

OLDS-GOLD MSIKILIZE KOFFI OLOMIDE LIVE ALBUM TCHA-CHO+SEBENE





TUJIKUMBUSHE KIDOGO ENZI HIZO TUKIITAFUTA WEEK-ENDA,HAPO NYIMBO YA PILI KUNA TITINA AL CAPONE MTAMBONI ANAZICHAPA DRUMS HIZO INAVYOTAKIWA NAMKUMBUKA MAREHEMU GABY KATANGA. NA NYIMBO YA TATU UTAWAONA VIDUME WANAVYOONDOKA SEBENE HILO KATIKA SHOW.NI BURDANII HASA UKIWA MPENZI WA MABOLINGO..

KUMI BORA YA WASHIRIKI KIMWANA MANYWELE NA TWANGA PEPETA WAFANYIWA PARTY YA KUWATAKIA FURAHA


Keki ndio ilikua kama hivyo
smiileee,yeah i like this.unaweza ukalumangia na ugali


hapa vimwana wakijisevia keki yao



sio muchezoo




MILTON ISAAC Jr MIEZI MINNE SASA



miezi minne toka jana,tushaanza kubishana na neno la kwanza namsikia akiongea ni "nej"
mda si mrefu tutaanza kula makofi humu ndani tukitoka kwenye mipakazo.na kitu kingine nimenotice huyu bwana akianza kuimba nyimbo zake tune ni kabisa ya nyumbani kule unyakyusani za mababu enzi hizo,akianza kuimba hizo nyimbo zake mpaka kila mtu anashangaa lakini kwa mimi najua hii ya kuleee home orijino
kweli maganga haachi asili

MVUA KUBWA STOCKHOLM







baada ya kuwa na jua la kutosha hapo nyuma hali ya hewa huko nje leo imebadilika na haitamaniki maana kumekuwa na mvua usiku kucha na tumeamka nayo asubuhi,mpaka sasa inagonga kama kawaida na kiwingu bado kipo.inawezekana tukaenda nayo week-end yote hii na hapo ndio itakua balaa maana itakua imeingilia programe nzima ya mid-summer na mipakazo.lakini aah wapi itamuharibia nani,ninavyowajua raia hapa lazima mpakazo utaendelezwa tu kiubishi ubishi.

Wednesday 22 June 2011

WACHINA WATOA KICHAPO KWA MKUU WA POLISI

VURUGU kubwa zilizuka juzi kwenye kituo cha Polisi Babati Mjini mkoani Manyara baada ya wafanyakazi wa kampuni inayojenga barabara ya Chico, raia wa China kumpiga mkuu wa kituo hicho, ASP Shaaban Minginye na mkuu wa polisi jamii mkoani humo, ASP Morris Okinda.

Tukio hilo lililodumu kwa saa mbili kati ya saa 12:30 jioni hadi saa 2:30 usiku liliwalazimisha polisi kutumia mabomu ya machozi na risasi za moto zilizorushwa hewani ambazo hata hivyo zilijibiwa na Wachina hao wakitumiia bastola nao, hali iliyoweka rehani amani  mjini  Babati.

Wachina hao wanadaiwa kufanya vurugu hizo na kuwashambulia ASP Mingiye na Okinda kwa madai kuwa polisi walimwachia dereva wa basi la abiria aliyelikwaruza gari lao na kusababisha ajali.

Kitendo hicho cha kuwapiga makonde viongozi hao wa polisi mkoani humo kiliamsha hasira za wananchi ambao walianza kumshambulia mmoja wa raia hao wa China.

Mwananchi ilishuhudia raia huyo wa China, Chang Charles akipigwa na wananchi hao waliochukizwa na kitendo chao cha kuwapiga polisi ambapo alijaribu kutumia mtindo wa kujihami 'kung fu' huku akitoa sauti za, 'huu, haa', lakini alipigwa ngumi iliyomjeruhi usoni

Katika tukio hilo, ASP Minginye alipigwa vibao na ngumi na raia mmoja wa China ambapo raia watatu wa China walijeruhiwa vibaya na wananchi na kulazwa kwenye Hospitali ya Mrara mjini Babati na hali zao zilielezwa kuendelea vizuri.

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Manyara, Liberatus Sabas alithibitisha jana kutokea kwa tukio hilo na kwamba raia 10 wa China wanashikiliwa kwa kuhusika na vurugu hizo.


Alisema chanzo cha vurugu hizo ni raia mmoja wa China, (Chang Charles) kumpiga mkuu wa kituo cha polisi Babati, baada ya kuliachia basi la abiria lililogonga lori linalomilikiwa na kampuni hiyo (Chico), kitendo kilichofanya  wananchi kumpiga Mchina huyo.

"Hali hiyo ilijitokeza baada ya basi la abiria aina ya Scania, mali ya Kampuni ya NBS lililokuwa likitokea Kahama kwenda Arusha kukwaruzana na gari la kampuni hiyo ya Kichina lililokuwa linatumika katika ujenzi  wa barabara ya Babati-Singida,"alisema.

Alisema baada dereva wa basi hilo kulikwaruza gari la kampuni ya Chico aina ya Ford, tukio hilo liliripotiwa kituo cha polisi Babati na dereva wa basi kutakiwa kuwapeleka abiria Arusha ili kesho yake arudi kituoni hapo.


“Baada ya dereva wa basi kuruhusiwa na kuondoka raia mmoja wa China alianza kurusha mawe kwenye basi hilo na kuvunja taa na kioo cha mbele na kumpiga mkuu wa kituo, ndipo abiria waliposhuka na kuanza kumshambulia Mchina huyo,” alisema Kamanda Sabas.


Alisema baada ya vurugu hizo lilizuka kundi lingine la raia wa China lilijitokeza na  kuanza mapambano na wananchi na ndipo katika vurugu hizo askari polisi wakapiga risasi hewani na mabomu ya machozi ili kuwatawanya na kujaribu kusitisha vurugu hizo.


“Hadi hivi sasa Jeshi la Polisi linawashikilia raia 10 wa China wanaodaiwa kuhusika na tukio hilo na tunatarajia kuwafikisha mahakamani leo (jana), ili wakajibu mashtaka ya uaribifu wa mali na kufanya vurugu,” alisema Kamanda Sabas.
Kamanda Sabas aliwataja Wachina hao wanaoshikiliwa na polisi kuwa ni Chang Charles, Luan Hiten(23), Wang Sheng(23), Sing Yun(24), Sing Jin (23), Lin Jun (37), Whang Puong(23) Lu Gang (23) na Sio Jing (23).

Alisema katika vurugu hizo, askari polisi mmoja ambaye hakumtaja jina alijeruhiwa jichoni na Wachina hao na raia watatu wa China walijeruhiwa na kulazwa Hospitali ya Mrara wakipatiwa matibabu.

Aliwataja raia hao wa China waliojeruhiwa kuwa ni Young Gris, Luan Hiten  na Chang Charles ambao alisema hali zao zinaendelea vizuri, baada ya kupatiwa matibabu.

MWANANCHI

MICHELLE OBAMA IN SOUTH AFRICA VISIT

michelle obama na wanae walipomtembelea madiba

TAMKO LA BUNGE KUHUSU HABARI YA SPIKA NA POSHO KATIKA GAZETI LA DIRA

YAH: TAARIFA POTOFU YA GAZETI LA DIRA YA MTANZANIA TOLEO LA JUMATATU, 20 – 26 JUNI, 2011 ‘ SAKATA LA POSHO ZA WABUNGE’ SPIKA MAKINDA MBUMBUMBU ‘Utafiti wabaini anasimamia asichokijua magwiji wa Bunge washangaa tamko lake’.

1.0UTANGULIZI

Pamoja na Vichwa vya habari hiyo, Katika taarifa hiyo Mwandishi wa gazeti hilo amedai kuwa;
i.Spika wa Bunge, Anne Makinda hana uelewa wa kutosha wa jinsi mbunge anavyoweza kupoteza wadhifa wake
ii.Pia Spika wa Bunge haelewi mfumo wa malipo ya Posho za Wabunge
iii.Spika hana mamlaka ya kumfukuza Mbunge yeyote anayekataa kusaini Fomu za kuchukua posho ya kikao.

2.0MAJIBU YA HOJA POTOFU ZILIZOTOLEWA
Ofisi ya Bunge ingependa kuwaarifu wananchi kwamba habari hiyo iliyoandikwa na gazeti la Dira ya Mtanzania ni ya dharau na haina ukweli wowote na imeandikwa kwa nia mbaya ya uchochezi na kuharibu sifa aliyonayo Mhe. Spika Bungeni na kwa watanzania kwa ujumla.
Ili kuondoa upotofu wa taarifa iliyotolewa na gazeti hili, Ofisi ya Bunge ingependa kutoa ufafanuzi wa hoja zilizotolewa kama ifuatavyo;

i. Sio kweli kwamba Mhe. Anne Makinda hana uelewa kuhusu uendeshaji wa shughuli za Bunge. Mhe. Makinda amekuwa mbunge kwa zaidi ya miaka 30 Bungeni na kwa kipindi hicho chote ameshika nyadhifa mbalimbali Bungeni na Serikalini. Aidha akiwa Naibu Spika ameongoza kamati ya Bunge iliyoshiriki marekebisho ya Kanuni za Kudumu za Bunge toleo la 2007.

Kwa mantiki hiyo anazifahamu vyema Kanuni za Bunge na ana uzoefu na uendeshaji wa shughuli za Bunge kwa muda mrefu kuliko hata idadi kubwa ya wabunge wapya waliopo Bungeni.  Katika utendaji wake, hafanyi kazi kwa kuvutwa na hisia bali husimamia uendeshaji wa Bunge kwa Mujibu wa Kanuni za Bunge ambazo tunashaka hata kama mwandishi wa gazeti hili anazifahamu vyema.
Ni kwa kuzingatia hilo aliwaeleza bayana Waandishi wa habari siku alipofanya nao mahojiano ambapo mwandishi wa gazeti hili pia hakuwepo, kuwa taratibu la kuchukua posho kwa Mbunge huenda sanjali na kusaini mahudhurio Bungeni (Mbunge anayehudhuria Bunge ndiye anayelipwa posho), kwa maana huwezi kumlipa posho Mbunge asiyekuwepo Bungeni. Mahudhurio ya Mbunge ni pale anaposaini fomu ya Mahudhurio. Kwa mantiki hii, kanuni zinamtaka bayana kila mbunge kuhudhuria vikao vya Bunge.

Kanuni ya 143 inatamka kuwa:
(1) kuhudhuria vikao vya Bunge na kamati ni wajibu wa kwanza wa kila mbunge.
(2) Mbunge yeyote atakaeshindwa kuhudhuria mikutano ya Bunge mitatu mfululizo bila ruhusa ya Spika iliyotolewa kwa maandishi, atapoteza Ubunge wake kwa mujibu wa ibara ya 71 (1) ya katiba na Spika ataiarifu Tume ya Uchaguzi.

(3) Mbunge atakapokosa kuhudhuria nusu ya vikao vya Mkutano mmoja bila ya sababu ya msingi atapewa onyo.

Hivyo basi kwa mantiki hiyo, Mbunge atakayeshindwa kusaini fomu za mahudhurio kwa mtiririko huo hapo juu atakuwa amepoteza sifa zake za kuwa Mbunge kwa mujibu wa Kanuni.
ii. Aidha ni kwa uvivu wa kufikiri au kwa makusudi kabisa, mwandishi wa  gazeti hili ameandika yale aliyohisi ni sahihi na kufanya utafiti katika kiwango ambacho hajaeleza ni kwa kutumia vigezo gani bila hata kujaribu kuuliza misingi halisi aliyoizungumzia Mhe. Spika kuhusu uhalali wa mahudhurio ya Mbunge sanjali na ulipwaji wake posho awapo kazini.

Hivyo madai ya kuwa Spika hana madaraka ya kumfukuza Mbunge Bungeni hayana mantiki na wala madaraka ya Spika kuhusu kumfukuza Mbunge hayakuwa sehemu ya mahojiano na waandishi na Spika wa Bunge kama anavyodai, na Kanuni zimeeleza bayana kazi za Spika Bungeni. Kumbuka madaraka ya Spika, wajibu wa Wabunge na hata Miongozo mingine Bungeni huratibiwa kwa mujibu wa kanuni za Kudumu za Bunge.

Hatujui lengo la mwandishi ni lipi hasa kwa kuweza kutoa taarifa zenye upotoshaji mkubwa kwa umma na zenye kuleta dharau kwa kiongozi wa Bunge na Bunge kwa ujumla kwa kuzingatia kuwa kiongozi huyu amechaguliwa na Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano.

3.0 HITIMISHO
Ofisi ya Bunge inapenda kuwaarifu wanahabari wote kuwa Idara yake ya Habari imekuwa ikitoa ushirikiano wa kutosha kuwaarifu waandishi kwa taarifa zozote wanazohitaji na inasikitishwa kwa kiasi kikubwa na uandishi unaojali hisia na wenye kulenga uchochezi badala ya kuelemisha.
Licha ya mwandishi wa habari hii kutokuwepo Dodoma na wala hakushiriki mahojiano hayo na Mhe. Spika, habari husika iliyoandikwa imelenga kutoa taarifa potofu bila kushirikisha hata upande wa pili kwa ufafanuzi. Kwa kuzingatia hilo Ofisi ya Bunge inamtaka Mhariri wa Gazeti la Dira ya Mtanzania kuomba radhi kwa uzito ule ule waliotoa habari yao ya kupotosha umma.

Deogratios Egidio
Kny: KATIBU WA BUNGE
21 Juni, 2011

Tuesday 21 June 2011

JAFARAY AMJIBU MR 2 KUHUSU KUZUIA FIESTA MBEYA

Nikiwa kama mmoja kati ya wasanii wengi sana tuliosoma Mbeya, naamini km jiji la Mbeya ni kitovu cha hip hop nchini.. sasa Mr 2 usitake kuleta chuki zako binafsi ukataka kuwashika masikio watu wa Mbeya ili kuzuia FIESTA, nawajua wakazi wa Mbeya ni wajanja na hawawezi kukubaliana na upuuzi wako hata siku 1.. Lete hoja za msingi bungeni kama wenzako wakina Zitto siyo unaleta mambo ya uchochezi na chuki!!!
Me sina time ya bifu na mtu na yale mambo yalishapita nimesimama kama msanii na mkazi wa Mbeya kwa ujumla coz nimekaa mbeya miaka 4 nimesoma form 1 hadi form 4

Most refugees jobless after 9 years: report


Refugees arriving to Sweden face difficulties finding work, with 56 percent still looking for a job after nine years in the country, a new report shows.
The report, undertaken by the Stockholm's County Administrative Board (Länsstyrelsen) and published on Monday, also reveals that refugees who end up in the Stockholm area have had better luck finding work in comparison to refugees in other parts of the country.

On average, 44 percent of refugees who have arrived in Sweden in the last decade were employed after 9 years in the country, while in Stockholm County the corresponding figure as 54 percent.

While more refugees manage to find work in Stockholm compared with elsewhere in Sweden, the group's employment rate remains substantially lower than the 76 employment rate of the overall population in Stockholm County.

"There aren't any specific goals for how many refugees should be employed, but these figures compared with those of the general population are naturally very poor," Luiza Jastrzebska, from the County Administrative Board's expertise, labour and refugee department, told The Local.

Even though the refugee employment situation in Stockholm is better compared to the national average, county officials believe more needs to be done to help refugees find work.

"We must improve considerably when it comes to creating opportunities for a quick establishment in Swedish society. The Stockholm region needs everyone who can contribute to growth and development," county governor Per Unckel said in a statement.

The report also shows that less than 20 percent of refugees with some form of post-secondary education have a job which corresponds with their level of education.

In addition, the report reveals that refugee women arriving to Sweden have significantly greater difficulties than men when it comes to finding a job.

Refugees' earnings also lag behind those of the general population, according to the study.

After eight years in Sweden, refugees who arrived in Stockholm County in 2000 has an average annual income of 135,000 kronor ($20,800), compared to annual earnings 221,000 kronor for the county's population as a whole.

"Our report points out several problems, but we can also see a number of bright spots," said Jastrzebska.

"For instance, income through labour is the most common form of income among refugees after a period of introduction, and the longer time spent in Sweden, the bigger the chances of having found work."

Jastrzebska added that it's difficult to compare Sweden's performance compared to other European nations' refugee employment levels for several reasons, including varying definitions of the term "refugee".

"Also, this is a unique study. Usually, this sort of study measures employment among foreign-born citizens, not specifically refugees. That small group is often overlooked in studies," she said.

According to Unkel, it's important that more be done to get refugees into the job market more quickly "in part of the individual's sake, but also for society's".

"We heading toward a situation where more and more sectors in society are suffering from a lack of competence and labour," he said in a statement.

"Everyone is needed and the way to work and self-sufficiency for new arrivals must be shortened."

source:TL

Posho yawagawa wabunge Chadema, watatu wapinga

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeingia kwenye mgogoro baada ya baadhi ya wabunge kupandwa na hasira dhidi ya wenzao wanaoendesha kampeni ya kutaka posho za vikao kwa wabunge ziondolewe.Mkwaruzano huo iliibuka ndani ya kikao cha wabunge wa Kambi ya Upinzani Bungeni inayoongozwa na Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema na Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe.

Kikao hicho kiliitishwa na kambi hiyyo kwa lengo la kuweka msimamo wa kupinga posho za vikao kwa wabunge, lakini kikageuka uwanja wa vita uliozusha vurumai kubwa kiasi cha kushindwa kufikia muafaka.

Baada ya kikao hicho kufunguliwa, John Mnyika (Ubungo-Chadema) aliwasilisha hoja hiyo ya kutaka wabunge wa upinzani kuweka msimamo wa pamoja wa kupinga posho hizo ili mkakati huo ulioanzia kwenye Bunge hilo la Bajeti, uweze kufanikiwa.

Akifikiri ataungwa mkono, Mnyika aliwataka wabunge kuonyesha moyo huo wa kishujaa kwa kutosaini kitabu cha mahudhurio bungeni, lakini wawepo ndani ya vikao.

Kauli hiyo ya Mnyika ilikuwa sawa na kumwaga petroli kwenye moto unaowaka ambapo wabunge watatu wa Chadema (majina tunayahifadhi kwa sasa) walikuja juu na kupinga vikali hoja hiyo.

Upinzani huo mkali uliotolewa na wabunge hao ulidhihirisha kauli ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda aliyesema kuwa ingawa baadhi ya wabunge wa chama hicho wanajionyesha kimbelembele kusisitiza mpango huo, wengine wa chama hicho pia wanaumia kimoyomoyo, lakini hawasemi.

Suala la kukataa posho bungeni lilianzishwa na Zitto Kabwe (Kigoma Kaskazini-Chadema) akisema zinaenda kinyume na mpango wa Taifa wa kupambana na umasikini kwa kuondoa posho zisizo na tija.

Zitto akionekana kuwa na ushupavu mkubwa ilifikia mahali akaamua kutosaini mahudhurio Bungeni ili jina lake lisiorodheshwe miongoni mwa watakaolipwa licha ya Spika, Anne Makinda kutishia kuwa kitendo hicho kinaweza kumfukuzisha bungeni.

Mkakati wa Mnyika ulikuwa ni wabunge wote wa upinzani kuwa na mshikamano katika hilo jambo ambalo sasa limeonekena kuwa ni nyongo kiasi cha wengine kutaka kuwararua wenzao wakisema ni msimamo usio na maana.

Posho za mafuta
Wakati hayo yakiendelea, suala hilo liolichukua sura mpya ndani ya Bunge kutokana na kuwepo hoja ya kutaka malipo ya nauli kwa wabunge nayo yaondolewe ili kuipunguzia mzigo Serikali.

Suala hilo jipya liliibuliwa bungeni jana na Mbunge wa Viti Maalumu (Chadema), Esta Matiko akisisitiza Bunge lisitishe malipo hayo kwa ajili ya mafuta kwa magari ya wabunge.

Akiwa mchangiaji wa saba katika mjadala wa hotuba ya Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2011/2012 uliokuwa ukiendelea bungeni jana, Matiko alisema wabunge wanapaswa kuwa mstari wa mbele kuisaidia Serikali katika kupunguza matumizi yake.

''Tuondoe transport allowance za wabunge za ndani na Serikali idhibiti matumizi ya magari yake ili fedha hizo zipelekwe kwenye sekta nyingine nyeti, kama kweli tunataka kufanikiwa katika mpango huo wa maendeleo ya miaka mitano," alisema Matiko ambaye kwa msisitizo, aliwataka wabunge wote wamuunge mkono.

Ingawa Matiko hakueleza kiasi cha fedha anacholipwa mbunge kama nauli ya kutoka jimboni kwake mpaka bungeni, vyanzo vya habari vililieleza gazeti hili jana kuwa nauli ya safari inalipwa kutokana na kilometa anazosafiri mbunge kutoka jimboni kwake hadi kwenye vikao vya Bunge.

"Mbunge analipwa Sh2,500 ili anunue lita moja ya mafuta ambayo ataitumia kusafiria kwa kilometa tano. Analipwa hivyo kwenda kwenye vikao na kurudi jimboni kwake," alisema Matiko baadaye katika ujumbe wake uliopenyezwa kwa waandishi wa habari baada ya kumaliza kuchangia mjadala huo.

Kuhusu Serikali kupunguza matumizi yake, mbunge huyo ameishauri kudhibiti matumizi ya magari ya Serikali katika nyakati ambazo sio za kazi na kuanza kutumia utaratibu wa marejesho ya matumizi (retirement) kwa fedha inayotumika kununua mafuta kwa ajili ya magari hayo.

"Serikali pia iwe na udhibiti mzuri wa matumizi ya magari yake, ianzishe utaratibu wa retirement za fedha za mafuta na ipunguze ukarabati wa nyumba zake kila mwaka. Hivi kweli tunahitaji kutumia fedha zote hizi kukarabati nyumba hizo kila mwaka?" alihoji na kuendelea " hata majumba yetu yenyewe hatuyakarabati kila mwaka."

"Ushauri wangu kwa wabunge ni kukumbuka kuwa tumetumwa na wananchi na ikitokea mbunge ana wazo nzuri..." aliendelea kabla ya kugongewa kengele ya kumaliza muda wake wa kuchangia hoja.

Hoja hiyo mpya ya kutaka wabunge wakatwe fedha za nauli, inaonekana kuwa ni mwiba mwingine kwa baadhi ya wabunge ambao tayari wameonyesha msimamo wao kukataa kuondolewa kwa posho za vikao.

Mbali na wabunge hao kupinga, Serikali kupitia Waziri Mkuu Mizengo Pinda imeshatoa msimamo wake kuwa jambo hilo haliwezekani ila linajadilika, kwa kuwa lipo kwa mujibu wa Sheria na Katiba.

Hata hivyo, kauli hiyo ya Pinda ilipingwa vikali na Chadema juzi ambao wamemtaka aifute kwa kile walichoeleza kuwa sio ya kweli kwani katiba na sheria zingine hazitaji kiwango cha posho.

Pinda alitoa kauli hiyo wakati wa kujibu maswali ya hapo kwa papo Alhamisi iliyopita baada ya mbunge wa Mkanyageni Habib Mnyaa kumtaka atoa msimamo wa Serikali kuhusu wabunge wanaopinga posho kwa kuwa huku ni kuvunja katiba.

Jana Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Stephen Wassira alipotakiwa kuzungumzia hoja hizo za Chadema kutaka posho na nauli hizo zifutwe, alijibu," Sina cha kusema."

"Mimi niulizwe mambo makubwa ya kitaifa, posho sio jambo kubwa kiasi hicho, hizo (posho) zinapangwa na kufutwa na kama Chadema wanaona wanapewa nyingi sana, wao waache,"

Bajeti yazidi kuwagawa wabunge
Mjadala wa hotuba ya Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2011/2012 umeendelea kuwagawa wabunge ambao jana walioonekana kumeguka makundi mawili ya wabunge wa CCM na Chadema katika kuitetea na kuibeza.

Mbunge aliyeanza kuchokoza moto huo ni Mbunge wa Jimbo la Iramba Magharibi, Mwigulu Nchemba (CCM) ambaye katika mjadala wake ametumia muda mwingi kuiponda bajeti mbadala ya wapinzani akisema imejaa giza na yenye lengo la kutekenya fikra za watu.

"Serikalini kuna watalaamu na kwenye vyama vya siasa kuna wanasiasa. Hii ni bajeti iliyojaa matumaini kwa Watanzania, imepunguza utegemezi kutoka asilimia 57 hadi asilimia 17 na imetuonesha kuwa matarajio ni kupunguza utegemezi huo hadi asimilia 10," alisema mbunge huyo na kuongeza:

"Bajeti ya wapinzani imejaa giza na imeletwa kutekenya fikra tu ina elementary contradiction, huwezi kuongeza mshahara bila kueleza vyanzo vya mapato."

Kauli hiyo ilipingwa na mbunge wa Ilemela (Chadema) Highnes Kiwia ambaye aliiponda bajeti hiyo na kuipongeza bajeti iliyotolewa na wapinzani akisema ndiyo iliyopaswa kutekelezeka.

"Bajeti mbadala ilipaswa kusomwa na positivu mind kwani ikisomwa na negative mind sio tu msomaji ataona giza, bali atatumbukia gizani," alisema Kiwia na kuongeza:

"Sisi tunachofanya sio kubeza mafanikio, ila tunasema mafaniko yaliyopo hayaendani na wingi wa rasilimali tulizonazo, hatusemi hakuna kilichofanyika. Nyerere alisema, ili kuwa na maendeleo tunahitaji viti vitatu; watu, ardhi, siasa safi na uongozi bora hakutaja fedha.

"Alisema (Nyerere) hatuwaondoi wakoloni kwa sababu tunachukia rangi zao, ni matendo yao. Sasa mkoloni wa leo ni ufisadi. hakuna namna Tanzania tukaondokana na umaskini kama hatuwezi kuondoa ufisadi."

Mbunge huyo ambaye ametishia kuikwamisha bajeti hiyo aligeukia sekta ya umeme akimtaka waziri Ngeleja kuongeza kasi ya utendaji wake ili huduma hiyo iwafikie watu wengi zaidi kuliko ilivyo sasa. "Namwambia ndugu yangu, Ngeleja, watu hawataki mahesabu ya Megawati, wanataka umeme," alisema

Ritha Mlaki Viti Maalum (CCM) alisema bajeti ni nzuri kwa kuwa inaangalia maeneo mengi muhimu isipokuwa kinachotakiwa sasa ni utekelezaji.

"Mimi nashauri tu kwani bajeti ni nzuri ila nitaongelea maeneo machache. hatufikirii kuondoa msoangamano katika jiji la Dar es salaam. Maeneo mengine jiji kama Dar eS Salaam linakuwa na bajeti lake," alisema.

Leticia Nyerere Viti Maalumu (Chadema) alisema bajeti ya serikali ya mwaka ujao ni mbovu kwa kuwa miradi mingi inategemea fedha kutoka kwa wafadhili. "Kama wahisani hao wakibadilisha mawazo, hakuna kitakachofanyika" alisema.

Mbunge huyo alipendekeza kuondolewa mpango wa kuviondolea kodi vifaa avya ulinzi na usalama akieleza kuwa hakuna maana na badala yake viendelea kutozwa kodi ili fedha itumike katika maeneo mengine.

"Mwisho mheshimiwa mwenyekiti naomba nimalizie kwa kuuliza maswali yafuatayo; bajeti hii inazingatia wajawazito, watoto wa mitaani, machinga wasiokuwa na mitaji, mishahara ya walimu na madaktari, mahakimu na wazee wastaafu?

Lakini katika mchango wake Mbunge wa Njombe Kaskazini (CCM) Deo Sanga aliomba ushirikiano wa wabunge wote ktika kutekeleza bajeti hiyo badala ya kuiachia serikali peke yake

"Haya yote yafanikiwa kama tutajenga umoja na mshikamano, humo ndani kuna mashekhe na wachungaji, tunaomba mtuombee tuwe kitu kimoja katika hili" alisema.

chanzo:mwananchi

Monday 20 June 2011

ONE LOVE MID-SUMMER NYAMA CHOMA GRILL AND DANCE



Come and enjoy Mid summer with Nyama Choma
SOLLENTUNA 25 JUNE 2011
                                                      DATE: SATURDAY 25 JUNE 2011
                                                      TIME: GRILL-13.00-20-00
                                                      DANCE: 21.00-07.30


Dear fans, the Network for Africans Unity requests you to mark your calendars on Saturday 25th June 2011 when all roads will lead to Sollentuna for the Day and Night Midsummer celebration.
Isaac Msafiri is back with his long awaited Tanzanian Nyamachoma special grill at Malmvägen’s open garden. The grill will start at 13.00 hrs and has already attracted several fans who have booked whole goats. Media houses in Stockholm are sending messages to the East African community, the larger African community and to all members of the public. The last time we had such a grill in 2009, there was a long queue of people lining up for a piece of choma and by 17.00 hrs, nyama was finished. This time, we are well prepared to serve choma all day and all night but it will be better if you come early enough.
Don’t miss the Dance show to celebrate Mid summer in style. The dance show will be in Häggvik Centrum (East), not far from Malmvägen where grilling will be taking place. From Malmvägen, one can walk, take the train (one station which is 2 minutes from Sollentuna station) or drive to ABF Dinner/Dance Hall in Häggvik. Management will provide a mini bus to transport those who may need to move in groups to the dance hall.
In the dance hall, fans will be entertained by our upcoming artists, Shy Bull from Kenya and Boyz in September from Uganda. We have Djs: Jimmy, Mike and Richy. Expect Afrobeat, Bongoflava, Kona Dance, Reggae ton, R&B, HIP HOP. There will be LOVE SONGS and music to remember- all night long.
Be warned: Don’t forget your tooth brush. You may need to brush your teeth in the morning before you are served hot soup that will take away your hang over for the rest of the week.

Info: 0756472691, 0737819876, 0762344606
Together we stand- Samson Mande SUMMER IS SWEET AND SHORT

Saturday 18 June 2011

CHAA ITS MY BIRTHDAY!


Yes,its mr isaackin birthday.when i remember those days you have to cry to your papa for him to buy cha cha cha or to give you gome(5tsh) for christmas i cnt imagine that now its my turn!to be a pappa for someone its not a joke especialy on this world here.at home africa you can just pump some girls stomach without thinking about anything and sometime you will not even care what happened after the stomach become a bomb.you will be there taking buzz all time sebuleni(bar) while your lovely sweerie on those days you hunky punky with is next to you crying and trying to convice you about the result of pumping.at the end you just say ok and so what,you will be the pappa by name but you dnt gv a dame about taking care of your child!ok i dnt know what is causing those kind of trouble,but i think sometime its not someone fault to do that.some women can just come and gv you their peremende to taste with no love.and the day you tasted it after few days she come and say shes missing those red days!and the lady now is telling you that shes ready to move from her family  and come to your room bcoz her pappa is "mkali kama pilipili"and when he hear that shes pregnant he´will chop her with machette.thats a start of big war ,bcoz you ddnt have any plan of family and now family is there.
after that what you gonna do?
for many man they end up decide to lose contact a.s.a.p. and yes even if it mean that you have to shift from your house to go and rent somewhere else far away so she will not find you its ok
(move from mbagaraaa to tegeta kibaoni)
yes you move away and run out of that financial crisis which is coming to your side.then the poor girl will just end up having a new baby alone and she will face all those trouble with the family and you stupid man your somewhere at new kiota cha bia tegeta your takin buzz again and touch touch bar maid wo wo wo when they bring beere to you,yes you want to pump another one and run again!maybe this time you will move to gongolamboto after you impregnant the bar maid.
that is our problem african we have a good confidence when aproaching but after result were loosing  control and we end up to be  refugees in our own country.
i salute all mothers in this world after i see what happened with my eyes the suffer your gettin when you deliver us in here. 

milton
and yes after all suffer and pain of isabell(i was there) she end up deliver this cute lil isaac


and yes the baby is a result of our marriage which now we celebrate one year since we say "I DO YOU,YOU DO ME"

so today is the day that we celebrate one year wedding anniversary,its my birthday,and its milton baptism day
be with us and will put what happened here.

KUTOKA KWA MAGANGA MIMI

SAMAHANI WAUNGWANA LEO NIMEAMUA KUTEMA YAI KIDOGO(NGELI) KWA MAZOEZI NA KUONYESHA MSISITIZO
KING"ENG"E HIKI HAPA KINAWEZA KUWA MTAFARUKU KIDOGO KWA WALE WAALIMU "SPIKI INGILISHI"
"AMU SIPIKI INGILISHI"
LAKINI TUSAMEHEANE MAANA SISI WENGINE TULIOSOMA SHULE ZA KATA NA ZILE ZA UJAMAA NA KUJITEGEMEA TUNAJIJUA,BADALA YA KUFUNDISHWA DARASANI TULIKUA TUNAPELEKWA KULIMA BUSTANI YA MWALIMU.

ZAMBIAN X PRESIDENT FREDERICK CHILUBA DIES



Frederick Chiluba, Zambia's first democratically elected president, has died at home at the age of 68.
Mr Chiluba was hailed as Zambia's "liberator" by his supporters when he came to office in 1991 after 27 years of single party Socialist rule.
He won praise for his economic and political reforms but was later accused of embezzlement and turning a blind eye to corruption.
The cause of his death is not known but he was known to have heart problems.
Under Mr Chiluba, Zambia was considered to be a model of African democracy and his presidency was welcomed in the West.
The former trade union leader and son of a copper miner introduced many reforms which dismantled the restrictive policies of former President Kenneth Kaunda.
But he was dogged by corruption allegations and was accused of taking an authoritarian approach to his political opponents, firing critical colleagues and jailing outspoken journalists.
He attempted to alter the constitution to allow him to run for a third term in office in 2001, but stood down after huge public protests.
Mr Chiluba was prosecuted for alleged embezzlement in 2002 but acquitted after a six-year trial.
In 2007, he was convicted of fraud by a London court and ordered to repay $58m in embezzled funds, but the ruling was never carried out by Zambia.
He spent his final years at his resident in Lusaka, confined by ill health and the confiscation of his passport by the authorities.

BBC

Friday 17 June 2011

Waziri Pinda ajitosa mjadala wa posho


WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda ametetea malipo ya posho kwa wabunge na watumishi wengine wa umma na kusema kwamba ni jambo dogo ambalo halipaswi kupewa uzito mkubwa kama linavyojadiliwa hivi sasa.
Kadhalika, Pinda alisema suala la malipo ya posho kwa wabunge na watumishi wengine wa umma lipo kisheria, hivyo posho hizo zitaendelea kutolewa hadi hapo sheria itakapoangaliwa upya.

Pinda alijikuta akiingia katika mjadala kuhusu mapendekezo ya kufutwa kwa posho za vikao kwa wabunge na watumishi wengine wa umma, ambapo aliwalaumu wabunge wa Chadema kwamba wanakuza jambo hilo tofauti na ukubwa wake."Ni kwa bahati mbaya kwamba jambo hili limekuwa likikuzwa sana, mimi naamini kuwa ni jambo dogo, lakini kwa jinsi linavyokuzwa linaleta sura tofauti kabisa," alisema Pinda na kuongeza:
"Hata Chadema, wabunge wake watakuwa wanamezea mezea mate, lakini sasa wafanyeje".

Alisema suala hilo limekuzwa katika misingi ya kutaka kuifanya Serikali ionekane kwamba inawaibia wananchi, jambo ambalo si kweli na kwamba sehemu kubwa ya posho wanazopewa wabunge huzitumia katika kuwasaidia wananchi kwenye majimbo yao au nje ya majimbo.
Pinda alikuwa akijibu swali la papo kwa papo lililoulizwa na Mbunge wa Mkanyageni, Habib Mnyaa ambaye alitaka kauli ya Serikali kuhusu hoja ya kufutwa kwa posho ambayo alisema imekuwa ikiwajengea chuki wabunge dhidi ya umma.Katika swali lake hilo, Mnyaa alianza kwa kunukuu Katiba ya Nchi, akibainisha kuwa malipo ya mishahara, posho na stahili nyingine kwa wabunge ni ya kikatiba.

Baadaye akataka kujua endapo Serikali itawachukulia hatua zozote wabunge wanaopinga posho hizo kwa kuwa "Wanavunja Katiba". Akijibu swali hilo, Waziri Pinda alisema posho hizo zipo katika makundi mawili. "Kundi la kwanza ni stahili zilizopo kwa mujibu wa sheria kufuatana na katiba ya Jamhuri Muungano wa Tanzania, ambazo pia wabunge wanaangukia katika kundi hilo la kwanza kwa hiyo ni vigumu kuzifuta."

“Hizi (posho) ukitaka kuzirekebisha lazima kukaa na kuangalia upya sheria, lakini tu niseme hili ni suala linalozungumzika.Hakuna haja ya kukwaruzana. Mimi najua wapo wabunge wa Chadema wengi wanamezea mate posho hizi, lakini  wafanye nini!”alisema Pinda.

Alisema watu wanaposema posho hizi zifutwe wana maana hata zile wanazopewa wanajeshi ziondoshwe, jambo ambalo ni gumu, vivyo hivyo kwa madiwani ambao kimsingi hawana mishahara.

Waziri Mkuu alisema, posho za watumishi, hasa wabunge zinaweza kupitiwa upya na kufanya marekebisho, ikiwamo kuziingiza katika mishahara yao, lakini jambo la muhimu ni kutowapotosha wananchi wakaona kuwa wanaibiwa na Serikali yao.“Sehemu kubwa ya posho za wabunge hawazitumii. Hili ni suala linalozungumzika.Tuketi tuziangalie posho hizi, ikiwezekana ziingizwe katika mishahara,”alisema Pinda.

Chadema na Serikali
Kauli ya Pinda inaweza kuchochea upya mvutano baina ya Chadema na Serikali kuhusu posho za vikao, mvutano ambao ulikuwa umeanza kupungua baada ya kuwapo kwa mtazamo kwamba, pande zote zilikuwa zikikubaliana umuhimu wa suala hilo kufanyiwa kazi.
 Juzi Waziri Kivuli wa Fedha na Uchumi, Zitto Kabwe alisisitiza katika bajeti mbadala ya upinzani kuwa kufutwa kwa posho ni suala la lazima na kwamba kwa kufanya hivyo, Serikali inaweza kuokoa Sh987 bilioni ambazo zinaweza kuelekezwa katika maeneo mengine kwa ajili ya kuwahudumia wananchi.

 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi, akihojiwa katika kipindi cha Jambo Tanzania kinachorushwa na Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC1), alisema suala hilo linajadilika na kwamba ni ajenda ya Serikali kupunguza matumizi kwa kupitia upya malipo ya posho hizo.

 Katika kipindi hicho, Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe aliweka bayana kuwa mapendekezo ya wapinzani ni kupitiwa upya kwa posho zote za watumishi wa umma kwa kuwa mwanya huo unatumiwa vibaya na watendaji wa sekta mbalimbali kufuja fedha za umma.
 Mbowe alisema uwapo wa 'ruhusa' ya malipo ya posho za vikao, unasababisha kutungwa kwa vikao vingi visivyo na tija katika halmashauri, mashirika na taasisi nyingine za umma nchini.

Kimsingi Lukuvi alikubaliana na hoja ya Mbowe na kuweka wazi kwamba kwa muktadha huo, suala hilo inabidi lifanyiwe kazi kwa kuwapo kwa mashauriano baina ya pande husika bila kuwaweka kando wafanyakazi wa sekta zote, kupitia vyama vyao vya wafanyakazi.

 CCM kupitia Katibu wake wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, kilishasema kuwa hakipingi wala kuunga mkono kufutwa kwa posho za vikao kwa wabunge na watumishi wengine wa umma, lakini kikabainisha kuwa suala hilo linaweza kujadiliwa na kufikia mwafaka.
 Kwa upande wake,  Waziri wa Fedha na Uchumi, Mustafa Mkulo alisema viongozi wa Chadema wamekuwa wakitafuta umaarufu wao binafsi kwani nao wamekuwa wakipokea posho hizo.

Chadema watishia kurudi kwa wananchi
Katika hatua nyingine, Chadema kimesema kuwa kama Serikali haitasikiliza hoja yao kuhusu posho watarudi kwa wananchi na kuandamana.

Hayo yalisemwa jana na Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe mara baada ya kutoka kwenye Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma alikokwenda kuhojiwa kuhusiana na kutojaza fomu za kuorodhesha mali anazomiliki.
Alisema hata Mpango wa Maendeleo wa Serikali wa miaka mitano umezungumzia suala la kupunguzwa kwa posho za safari na kusema kuwa hoja yao ni ya msingi na inazungumzika.

“Ni bahati mbaya sana kusikia Waziri Mkuu anasema wasiochukua posho zitarudi Hazina, wakati Serikali anayoiongoza imeleta hoja hiyo hapa bungeni kwenye mpango wa maendeleo wa miaka mitano,”alisema Mbowe na kuongeza:
“Mbunge kwa mwezi anapata zaidi ya Sh7 milioni, je ni watumishi wangapi katika nchi hii wanapata mshahara wa zaidi ya Sh1 milioni?”Alihoji.

Alisema Waziri Mkuu anazungumzia suala hilo kama ni la wabunge pekee wakati wao wanazungumzia wananchi wote, kwani pesa hizo zitapelekwa kwenye shughuli mbalimbali za maendeleo.

“Kama wasipobadilisha hizi posho tutakutana na wananchi kwenye maandamano,”alisema.
Alisema posho wanayoilalamikia ni (sitting allowance) na kwamba kila mtu anahitaji mishahara mizuri na si mbunge pekee.

Alisema kuzungumza bungeni na kukaa kwenye kamati ni kazi ya mbunge na kuhoji kwanini mbunge huyo alipwe kwa ajili ya kukaa tu.Mbowe alisema hivi sasa mapato mengi yanayokusanywa na Serikali yanaishia kwenye kulipana posho.

MWANANCHI.


NENO LANGU:
si ndio huyu bwana alijiita mtoto wa mkulima hapo nyuma?sidhani kama anapenda kuitwa hivyo tena maana na yeye atakuwa ni mmojawapo ya wafanyabiashara wakubwa wa si hasa.haya bana hongera yako muhishimiwa