Monday 30 April 2012

Bosco 'Terminator' Ntaganda takes over DR Congo towns


Bosco Ntaganda photographed in Goma in October 2010 
 
 Bosco Ntaganda used to fight with Thomas Lubanga, the first person convicted by the ICC

Troops loyal to Bosco Ntaganda, wanted by the International Criminal Court, have taken two towns in eastern Democratic Republic of Congo.
A BBC reporter in the area says thousands of people are fleeing the fierce fighting towards nearby Goma.
Hundreds of heavily armed soldiers loyal to Gen Ntaganda recently defected from the Congolese army.
Known locally as the Terminator, Gen Ntaganda has denied the ICC accusation that he recruited child soldiers.
'Counter-offensive' The BBC's Thomas Hubert in Sake, 30km (18 miles) west of Goma, says local residents told him they heard the fighting between forces loyal to Gen Ntaganda and government troops going on well into Sunday night.
Government soldiers were pushed out of the towns of Mukashe and Rubaya, our correspondent says, and have retreated 12km east to Sake, where they are regrouping for a counter-offensive.
The renegade soldiers, who deserted their Congolese army base in Goma earlier this month, number between 400-500, according to UN and Congolese military sources.
In another front of fighting, in the area of North Kivu province between Mweso and Kiechanga, Congolese army officials told our reporter that they had halted the progress of Gen Ntaganda's men.
Diplomats says Gen Ntaganda, known locally as the "Terminator", may not have personally defected - but residents say that he has not been seen in Goma since early April.
Between 2002-2005, Gen Ntaganda was chief of military operations for the Congolese UCP rebels, led by warlord Thomas Lubanga - who in March was the first person to be convicted of war crimes by the ICC, after he was found guilty of recruiting child soldiers.
Gen Ntaganda was his co-accused - but President Joseph Kabila has previously refused to arrest him for the sake of DR Congo's peace.
In 2009 he and his rebel forces were integrated into the Congolese army, with him promoting to general.
The president earlier this month called for his arrest - but says he will not hand him over to the ICC.
Despite the end of DR Congo's war in 2003, several armed groups still roam the mineral-rich east of the country despite attempts by the UN and army to disarm them.

BBC

DIAMOND APAGAWISHA DAR LIVE

Mwanamuziki Diamond  anayevuma kwa sasa hapa nchini  kifanya onyesho zito na la kukata na shoka mbele ya mashabiki wake  kwenye ukumbi wa Dar Live, onyesho hilo  lililofanyika jana siku ya jumapili na kuvuta hisia za mashabiki wake lukuki waliojitokeza kumshuhudia akishuka na helikopta kama ilivyokuwa imetangazwa na waandaji wa onyesho hilo.
 Mwanamuziki Diamond akijiandaa kwenda kupanda helikopta tayari kwa kuelekea katika ukumbi wa Dar Live
 Mwanamuziki Diamond akiwa kwenye helikopta tayari kuelekea Dar Live.
 Hapa akionyesha ishara ya kuwasalimia mashabiki wake kwa heshima.
 Akiuangalia umati mkubwa uliojitokeza kwenye ukumbi wa Dar Live ili kushuhudia wakati akishuka na helikopta.
 Wacheza shoo wake wakifanya vitu vyao jukwaani.
Wasanii wa Pah One, Watanzania wenye maskani yao Afrika Kusini wakifanya vitu vyao
Timbulo akifanya vitu na dancers wake
Katika shoo zote za Dar Live, Diamond amevunja rekodi ya idadi ya mashabiki

Saturday 28 April 2012

RAIS KIKWETE AWA MWENYEJI WA MKUTANO WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI ARUSHA LEO


Rais Jakaya Kikwete na viongozi wenzake wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wakitia saini mkataba wa makubaliano ya ushirikiano katika ulinzi wa nchi hizo leo Aprili 28, 2012 katika hoteli ya Ngordoto jijini Arusha.

Rais Jakaya Kikwete na viongozi wenzake wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wakionesha hati baada ya kutia saini mkataba wa makubaliano ya ushirikiano katika ulinzi wa nchi hizo leo Aprili 28, 2012 katika hoteli ya Ngordoto jijini Arusha.
Rais Jakaya Kikwete na viongozi wenzake wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wakikaribishwa chakula cha mchana na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Dk. Richard Sezibera baada ya picha ya pamoja kufuatia kutia saini mkataba wa makubaliano ya ushirikiano katika ulinzi wa nchi hizo leo Aprili 28, 2012 katika hoteli ya Ngordoto jijini Arusha

PICHA NA IKULU

TRAFFIC LIGHT PARTY IN BONGO SOON!

Afro Smaka Dance Date Changed: More Artists Added!

Stockholm in women's refuge guarantee

Stockholm in women's refuge guarantee


Stockholm city council has announced that all women in need of a secure refuge will be guaranteed a place.
The guarantee is part of a series of measures adopted by the council last week aimed at increasing the safety of women in the Swedish capital.

"I am passionate about making our work even better and so we have adopted further measures addressing the safety of women," said Anna König Jerlmyr, head the municipality's social welfare and labour division, in a statement.

"The City of Stockholm is to introduce a women's refuge guarantee. All who are in need of shelter are guaranteed a place," the Moderate Party councillor said.

König Jerlmyr pointed out that five out of every six victims of domestic violence are women and underlined the importance of offering protection for women who elect to flee abuse in the home.

"It is a life-changing decision to leave a man who abuses, there should thus not be any doubt that they is a place for them," she added.

According to statistics from Sweden's National Council on Crime Prevention (Brottsförebyggande rådet), 27,312 reports of violence against women were reported in 2010.

In 85 percent of these cases, the suspect was a man, and in 75 percent of the cases, he was acquainted with the woman.

In previous studies, the council has come to the conclusion that the vast majority of cases go unreported, with as few as one fifth being reported to the police.

Guinea-Bissau leaders seized in coup are freed


Carlos Gomes Junior (file image)Carlos Gomes Junior was considered the front-runner in the presidential election
Troops in the West African country of Guinea-Bissau have freed the interim president and ex-prime minister seized in a coup.
Former PM Carlos Gomes Junior and interim President Raimundo Pereira have been flown to Ivory Coast's commercial capital of Abidjan, officials said.
The coup leaders have also agreed to a 12-month transition to civilian rule, as demanded by regional bloc Ecowas.
The army seized power during a presidential election on 12 April.
The soldiers claimed that Mr Gomes - who was considered the front-runner in the election - planned to reduce the size of the army.
The BBC's John James, in Ivory Coast, says both freed men are due to meet Ivorian President Alassane Ouattara over the weekend, after more than two weeks of detention.
On arrival at Abidjan airport they were welcomed by Ivory Coast's Foreign Minister Daniel Kablan Duncan and African Integration Minister Adama Bictogo, an AFP reporter there said.
Mr Pereira thanked President Ouattara, the current head of Ecowas, for his role in their release.
Earlier, Ecowas leaders agreed to send troops to Guinea-Bissau - and also Mali - following coups in both countries.
Ecowas warned Guinea-Bissau's coup leaders on Thursday that they faced targeted sanctions if they failed to agree to the deployment of troops within 72 hours.
The bloc said it expected both countries to hold presidential elections within the next 12 months.
No elected leader in nearly 40 years of independence has finished their time in office in the former Portuguese colony.
Guinea-Bissau has become a major staging post for gangs smuggling cocaine from Latin America to Europe.
BBC

BAADHI YA MARAIS WA (EAC) WAWASILI JIJINI ARUSHA LEO...




Mhe. Mwai Kibaki, Rais wa Kenya akipokelewa na Mhe. Bernard K. Membe, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa mara alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) jana kwa ajili ya kuhudhuria mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki utakaofanyika mjini Arusha tarehe 28 Aprili, 2012.
Mhe. Rais Kibaki akifurahia burudani ya ngoma mara baada ya kuwasili KIA.
Mhe. Rais Kibaki akiwa na wenyeji wake Mhe. Membe (kulia) na Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Samwel Sitta (kushoto) mara baada ya kuwasili KIA
Mhe. Yoweri Museveni, Rais wa Uganda akisalimiana na Mhe. Samwel Sitta, Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki mara baada ya kuwasili KIA kwa ajili ya kuhudhuria mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki tarehe 28 Aprili, 2012.

Ujerumani Yaipa Tanzania Euro Milioni 176 Kwaajili Ya Maendeleo


Katibu mkuu wa wizara ya fedha Bw. Ramadhani Khijjah kushoto.na
Mkurugenzi wa ushirikiano na maendeleo wa Africa mashariki wa Ubalozi wa Ujerumani Dr. Ralph
Mohs kulia.wakisaini msaada wa EURO 176 million kutoka serikali ya
ujerumani kwa ajili ya kusaidia miradi mbalimbali ya maendeleo hapa
nchini Tanzania.ulofanyika jana  katika ukumbi mikutano wa wizara hiyo
jijini Dar es salaam.
Katibu mkuu wa Wizara ya fedha Bw. Ramadhani Khijjah kushoto.na
Mkurugenzi wa ushirikiano na maendeleo wa Africa mashariki  wa Jumuiya ya Ulaya Dr Ralph
Mohs kulia.wakikabidhiana nyaraka za mkataba wa msaada huo.
Baadhi ya waandishi wa habari walioudhuria katika utiaji saini wa mkataba huo
Katibu mkuu wa wizara ya fedha Bw. Ramadhani Khijjah akiwa kwenye
picha ya pamoja na waakilishi wa Tanzania na Ujerumani

Tuesday 24 April 2012

SHEREHE YA UFUNGUZI -CHAMA CHA WATANZANIA SWEDEN (TANZANISKA RIKSFÖRBUNDET)

 

 

 Kwa watanzania pamoja na marafiki

kamati ya muda iliyoteuliwa ubalozini kwa nia ya kuanzisha chama cha watanzania sweden inawakaribisha katika hafla fupi ya ufunguzi wa chama na pia kuchagua viongozi watakaoendeleza shughuli za chama.

mgeni wa heshima katika ufunguzi na uchaguzi wa chama cha watanzania atakuwa mh,

BALOZI MOHAMED MWINYI HAJI MZALE

sehemu-Tanzania House Nasby Alle 6, Taby

Wakati na tarehe-tar 28 april 2012 saa tisa mchana mpaka saa kumi na moja jioni


mwaliko utatumwa kwa barua pepe ikiambatanisha fomu za kujiandikisha kugombea uongozi wa chama,

pia waweza kupakua fomu za kugombea katika tangazo zilizowekwa kwenye mtanzao wa ubalozi.

wote mnakaribishwa na mkipata taarifa hii tafadhali mjulishe na mwenzio

kamati ya wanamchakato kupitia

katibu wa muda

KUPATA FOMU BOFYA HAPA



1.       JINA LA MGOMBEA UONGOZI:…………………………………………………………………………………….

2.       UMRI/MIAKA YA MGOMBEAJI:……………………………………………………………………………………...

3.       JINSIA MKE/MUME:…………………………………………………………………………………………………………

4.       MJI/MKOA ……………………………………………………………………………………………………………………….

5.       ANUANI …………………………………………………………………………………………………………………………..

6.       SIMU …………………………………………………………………………………………………………………………

7.       ANUANI YA BARUA PEPE…………………………………………………………………………………………………

8.       MGOMBEA UONGOZI ANAWEZA KUANDIKA MACHACHE KWA NINI ANGEPENDELEA KUONGOZA CHAMA HIKI CHA JUMUIA YA WATANZANIA SWEDEN.
  ……………………………………………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………………………………………………………
……………………………………………………………………………………………………………………………………………………..
………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

TAREHE……………………………MAHALI……………………………………………SAHIHI……………………………………………..

CHAMA CHA WATANZANIA SWEDEN

Monday 23 April 2012

'Force' municipalities to receive refugee children: minister



The Swedish Migration Board (Migrationsverket) is having trouble convincing Sweden’s municipalities to receive sufficient numbers of unaccompanied refugee children. Tobias Billström, Minister for Migration and Asylum Policy, now wants to force municipalities to step up, reported national radio station SR.

“Even though the number of cooperative municipalities is rising steadily, we still don’t have enough spaces,” Billström said to SR.

Today, 235 of Sweden’s 290 municipalities have a deal with the Migration Board, agreeing to receive a number of unaccompanied children.

Billström is now suggesting to make this deal mandatory for all municipalities, a change he wants to see come into effect before the next general election in 2014.

How the minister’s suggestion will be received in the Riksdag remains to be seen, but several municipalities are strongly critical.

“We can’t take all this responsibility on our own. The government can’t just make laws and then not send us enough money. We’ve got several other things, schools and elderly care, to take responsibility for,” Göran Dahlström told SR.

Dahlström is the social democratic head of Katrineholm, one of the municipalities which has no current deal with the Migration Board.

Another issue pointed out is what sort of reception the children are given.

“Pedagogically and psychologically, it’s not much fun to arrive to a municipality where you aren’t welcome,” said Per Åhdén in Skellefteå, one of the municipalities which accept most unaccompanied refugee children.

Last year 2,657 unaccompanied refugee children came to Sweden, an unusually high number.

THELOKAL

US embassy in Kenya issues terror attack warning


Nairobi skyline  
Some of Nairobi's hotels may be targets, the statement said
The US embassy in Kenya has issued a terror warning to its citizens in the country, warning them of a possible attack on Nairobi hotels and prominent Kenyan government buildings.
The timing of the potential attack was not known, it said in a statement, but it had reason to believe that it was in the last stages of planning.
It urged US nationals to be cautious.
In 1998, the US embassy in Nairobi was bombed by al-Qaeda operatives who rammed its gate with a truck.
A total of 213 people, including 12 Americans and 34 local embassy staff, died in the bombing.
More recently, al-Qaeda-linked al-Shabab militants from neighbouring Somalia have vowed to carry out an attack on Kenya for sending troops into Somalia.
Kenya sent hundreds of troops into Somalia last year after a wave of kidnappings, including those of four Europeans on Kenyan soil, blamed on al-Shabab.
The UK issued a similar warning to its nationals in Kenya earlier this year

BBC

RAY AMBURUZA MANGE KORTINI



Mange Kimambi.
Vincent Kigosi ‘Ray’.



Na Mwandishi Wetu
JINSI kifo cha muigizaji supastaa Bongo, Steven Kanumba kilivyotokea, kilikuwa lazima kiibue mshindo mkubwa na ‘apdeti’ ni kwamba ‘godfather’ wa Bongo Movie, Vincent Kigosi ‘Ray’ atasimama kortini na mwanamke kiroporopo, Mange Kimambi.
Ray, amejiapiza kuwa lazima amfikishe Mange mahakamani kwa sababu ya kumzulia tuhuma kwamba yeye ndiye aliyehusika na kifo cha Kanumba.
Madai ya msingi kutoka kwa Ray ni kuwa Mange aliropoka kwenye blogu yake akimtaja godfather huyo wa Bongo Movie kwamba ndiye mhusika nambari moja wa kifo cha Kanumba.
Inadaiwa kuwa Mange alichapisha maneno kuwa aliyemuua Kanumba siyo muigizaji aliye mahabusu hivi sasa, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ila mhusika ni Ray.
Ijumaa iliyopita, Ray alimfungulia Mange mashtaka ya kumdhalilisha na kumchafulia jina kwenye Kituo cha Polisi Oysterbay.
Kabla ya taarifa za polisi, Ray alinukuliwa kwenye tovuti moja nchini akibainisha kuwa hawezi kukaa kimya kwa sababu Mange amemchafua kwa kiasi kikubwa.
“Mimi huyo dada anayeitwa Mange Kimambi simjui na hili suala ni zito kwa hiyo siwezi kumuacha hivihivi, lazima nimfikishe mahakamani,” alisema Ray, akinukuliwa na tovuti hiyo.
Akizungumza na ripota wetu, Ray alisema kuwa mambo yote anayapeleka kisheria lakini hakusema ni lini shauri lake litafikishwa mahakamani.
Alisema: “Nilimuweka ndani leo (Ijumaa) lakini nasikia ameachiwa kwa dhamana. Nataka mashabiki wangu wajue hata iweje lazima nimfikishe makamani, siwezi kumuacha.
“Kanumba alikuwa mdogo wangu, nina historia ndefu na yeye. Tumeshirikiana mambo mengi kuliko mtu wa kawaida anavyoweza kukaa na kufikiri, sasa nawezaje kufanya njama ya kumuua mdogo wangu?
“Yote kwa yote, yeye ambaye anasema nimehusika, itabidi aithibitishie mahakama ni kwa namna gani nilihusika na kifo cha Kanumba.”
Wakati huo leo Lulu anatarajiwa kufikisha katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam kwa mara ya pili akikabiliwa na kesi ya kuhusishwa na kifo cha Kanumba.

chanzo: gpl

lulu amepandishwa tena kizimbani leo,kesi imeahirishwa mpaka tar 7 may

Lulu akitoka mahakama ya Kisutu leo kurejeshwa Segerea
MWIGIZAJI nyota wa filamu Tanzania, Elizabeth Michael ‘Lulu’ leo amewatoa machozi baadhi ya watu waliohudhuria kesi yake katika Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu, Dar es Salaam.
Lulu mwenye umri wa miaka 17, anayekabiliwa na kesi ya mauaji ya mwigizaji mwenzake, Steven Charles Kanumba, aliwasikitisha watu na baadhi kumwaga machozi, kutokana na jinsi alivyowasili Mahakamani hapo akiwa chini ya ulinzi mkali wa askari Magereza.
“Masikini biti anapata matatizo sasa, inatia huruma, nawaonea huruma wazazi wake, wanakosa raha sasa,”alisikika mtu mmoja akisema mahakamani hapo.
Pamoja na kufikishwa mahakamani hapo,
Hakimu Mkazi wa Mahakama Kisutu, Ritha Tarimo aliahirisha kesi hiyo hadi Mei 7, mwaka kwa sababu upelelezi bado unaendelea.
Lulu anayekabiliwa na tuhuma za kumuua The Great Kanumba aliyefariki dunia, Aprili 7, mwaka huu nyumbani kwake Vatican, Sinza Dar es Salaam, hii ni mara ya pili kufikishwa mahakamani hapo.
Lulu aliyecheza filamu kadhaa na marehemu Kanumba waliyeibuka naye katika kundi la Kaole, Magomeni, hakutakiwa kutoa maelezo yoyote Mahakamani, kwa kuwa Mahakama hiyo haina mamlaka ya kusikiliza kesi za mauaji.
Wakati kesi hiyo ikiwa katika hatua za mwanzoni, Polisi bado inaendelea na uchunguzi wake na baadhi ya watu wakiwemo wasanii wamekuwa wakihojiwa kulisaidia jeshi hilo upelelezi.
Taarifa za awali baada ya kifo cha Kanumba, zilisema kwamba mwigizaji huyo alifariki baada ya kusukumwa na Lulu nyumbani kwake Sinza Vatican, ambaye inadaiwa alikuwa mpenzi wake.
Inaelezwa baada ya tukio hilo, Lulu alikimbia nyumbani kwa Kanumba na mdogo wa Ther Great, Sethi Bosco akaenda kuchukua gari kumpeleka kaka yake hospitali ya Muhimbili, ambako alipofika iligundulika amekwishafariki dunia.
Sethi alikaririwa akisema kwamba siku ya tukio, Lulu alikwenda kwao usiku wa manane na alipofika yeye (Sethi) alimuacha aongee na kaka yake. Sethi alidai aliwaacha sebuleni akaingia chumbani kwake na baadaye akasikia wameingia chumbani (kwa Kanumba).
Sethi alisema baada ya muda alisikia kelele za dalili ya ugomvi na baada ya muda Lulu alitoka kumwambia (Sethi) juu ya hali ya Kanumba kubadilika na kuwa mbaya.
Sethi alidai aliposikia hivyo akashituka na kwenda chumbani ambako alimkuta kaka yake katika hali mbaya, povu likimtoka mdomoni hivyo kuchukua hatua ya kumuita daktari wake, kabla ya kumkimbiza Muhimbili.
Lulu alikamatwa asubuhi ya kuamkia siku ya tukio hilo, linalodaiwa kutokea usiku wa manane na kuwekwa kizuizini katika kituo cha Polisi Oysterbay, Kinondoni, Dar es Salaam.
Tayari baadhi ya wanaharakati wa haki za wanawake wamekwishatangaza azma yao ya kumsaidia Lulu katika kesi hii.
Miongoni mwao ni Mbunge wa Jimbo la Kawe, (CHADEMA), Halima Mdee.
Bado watu wanajiuliza maswali mengi kuhusu kifo cha Kanumba, mojawapo kama kweli Lulu anayedaiwa kumuuwa wakati wakigombana ‘ana ubavu’ huo.
Lakini pia, siku ya kifo cha Kanumba, inadaiwa alionekana katika ukumbi wa starehe, Club Maisha akinywa pombe.
Uchunguzi wa madaktari katika hospitali ya Rufaa ya Muhimbili ulisema pombe kali aina ya Jackie Daniels ilisababisha kifo cha mwigizaji huyo.  
Lakini baadhi ya vielelezo vilipelekwa kwa mkemia mkuu wa serikali, ili kutaka kujua kama msanii huyo aliwekewa sumu.
Kifo cha Kanumba kimewaumiza wengi, kwani msanii huyo alikuwa mahiri na kipenzi cha wapenzi wa filamu nchini.
Wapembuzi wa mambo wanasema huu ni msiba wa kwanza kuteka hisia za watu wengi zaidi, tangu kifo cha baba wa taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Oktoba mwaka 1999.

habari:dinamariosblog

TAMKO LA RAY JUU YA KIFO CHA KANUMBA

Yapata wiki tatu sasa tangu msanii mwenzangu Steven Kanumba aage dunia, na kama ilivyo kwa kila kitu kinapotokea huandamana na kila aina ya maneno na hisia mbali mbali kutokana na mitazamo ya watu kupishana kuhusiana na jambo husika. Kulingana na muktadha huo, msiba wa Steven Kanumba umekumbwa na maneno na hisia kama hizo, hususan mazingira ya kifo chake; kinachosikitisha zaidi watu wengi (ambao wanajitambulisha kama wapenzi wa Kanumba), na baadhi ya vyombo binafsi vya habari vimekuwa vikinihusisha na kifo hicho, kwa kusema kwamba kwa njia moja au nyingine ninahusika na mauaji ya Steven Kanumba. Kwa muda wote huo tangu msiba ulipotokea mpaka leo hii nashika kalamu kujaribu kuyaweka sawa na kuondosha hisia chafu katika fikra za watu, nimekuwa nikipitia katika wakati mgumu sana kwa jinsi ambavyo nimekuwa nikinyooshewa vidole kila upande nikihusishwa na kifo hicho, kiujumla nimezingatia maoni ya wapenzi ya mashabiki wangu wakinitaka kuwa na subira,  ila kuna ukweli usemao kwamba, uongo ukirudiwa sana jamii huusadiki na kuuona ukweli, nimeona nisikae kimya ila niweke sawa hili kwamba sihusiki na kifo cha Steven Kanumba.
Nasema wazi kwanza sihusiki kabisa na kifo cha Kanumba kwanza kwa kuzingatia mazingira yenyewe ya kifo kilivyotokea. Wakati kifo hicho kinatokea, nilikuwa sehemu nyingine kabisa na mimi nilikuwa mtu wa tatu kutaarifiwa kwamba Kanumba amepatwa na mkasa ambao baadae ulisababisha kifo chake. Na na hata nilipofika katika hospitali ya Muhimbili (tofauti na watu wanavyodhani kuwa nilifika nyumbani kwake; ukweli mimi nilimkuta tayari amepelekwa Muhimbili), nilikuta tayari alikuwa ameshafariki ndio maana hata Polisi wanaohusika na usalama wa raia, si tu kwamba hawakuniweka chini ya ulinzi, sikuitwa hata kuhojiwa kwa sababu hakuna mazingira yoyote yanayonihusisha mimi na kifo hicho.
Pili, watu wanahusisha tofauti za kibinadamu zilizokuwepo baina yetu na kifo hicho, nasema hii sio sahihi kwa sababu kwanza ni kawaida kwa binadamu kutofautiana, isipokuwa kwetu sisi baadhi ya vyombo vya habari vilikuwa vinakuza kwa sababu nisizozijua, hivyo jamii ikachukulia kuwa tofauti zile ni uadui kitu ambacho sio sahihi, kwani sisi hatukuwa watu pekee tunaotofautiana kwani huu ni mwenendo wa kawaida wa dunia; hivi jana tumeshuhudia Waziri mmoja akieleza bayana katika mkutano na waandishi wa habari kuwa na tofauti na naibu wake, lakini hatuajasikia ikiandikwa wana ‘bifu’ bali imetafutwa lugha nzuri ya kupamba tofauti hizo, kwa kuwa waliohusika ni waheshimiwa, ila kwa wengine kutokana na sababu tusizozijua, inaonekana kama ni haki yetu kuandikwa vibaya. Kinachosikitisha, kwa nini jambo hili linachukuliwa kwa mkazo mkubwa sana, kwani hatujawahi kusikia watu wakiwa wanatofautiana na ndugu jamaa hata na marafiki zao na inaonekana kawaida tu? Kwani vyombo vya habari havikuwahi kuandika kuwa marehemu Steven Kanumba alikuwa na tofauti na baba yake, na yeye mwenyewe alitamka hivyo katika vyombo vya habari, mbona wameliongea bila kuongeza chumvi, na jamii inaona kuwa ni jambo la kawaida la kibinadamu.
Pengine watu wanaojaribu kuongea hayo, hawajui mimi na Steven Kanumba tumetoka wapi? Sisi si watu tuliokutana barabarani, tuna historia katika kazi yetu ya sanaa na pia katika maisha maisha yetu. Mwanzoni kabisa, mimi ndiye niliyempokea Kanumba pale Kaole na ndiye niliyemfundisha sanaa pale (nadhani watu wanakumbuka tamthiliya za wakati huo ITV) na baada ya hapo tulienda pamoja katika kampuni ya Game 1st Quality pamoja na tukafanya filamu kama Johari, Sikitiko Langu, Dangerous Disire na nyinginezo, na tuliendelea kuwa pamoja katika kampuni hiyo mpaka tulipofanya filamu ya Oprah mwaka 2008 ambapo niliingia rasmi kufanya kazi za kampuni yangu, lakini tuliendelea kuwa pamoja hata wakati nikiendelea na kazi za kampuni yangu. Pia mimi nilikuwa wa kwanza kuanza kufanya kazi na Steps na baadae Kanumba alipoanza kufanya kazi zake mwenyewe na kunikuta huko tuliendelea kuwa pamoja kama siku zote. Kitu kikubwa kilichokuwa kinaendelea baina yetu, ni kwamba tulijenga ushindani wa kuendeleza kazi mbele kwa kila mmoja akitoa kazi, mwingine anamjibu,  Isitoshe hata vitu vyetu binafsi utaona kama kuna kufanana; kuna wakati Kanumba alinunua Toyota Ruv 4 nyeusi mimi nikanunua ya kijani, aliponunua Harrier na mimi nikanunua pia, na hata gari za hivi karibuni, ukitazama utaona kuwa zinafana kwa karibu; hii ilikuwa ni kama maisha yetu, hatukuwa na uadui, ilikuwa tunapeana changamoto za maendeleo.
 Watu wanaojaribu kuonesha kuwa tofauti zetu ilikuwa ni uadui, huwa hawajui wapi tulikotoka ndio maana wanasema wasemavyo na katika kuthibitisha kuwa tofauti hizo hazikufikia katika uadui, kuna watu ambao wanafanya kazi nami katika kampuni yangu ya RJ ndio hao hao Kanumba alikuwa anawatumia siku zote katika kazi zake, hata baada ya tofauti hizo hakuna aliyekoma kufanya kazi na yeyote kati yetu. Hii inathibitisha kuwa tofauti ilikuwa kati yetu kama binadamu, sio chuki za kimafanikio, ingekuwa hivyo watu kama Junior Syaary ambaye mara nyingi hufanya final editing katika RJ ndio huyo huyo alikuwa akifanya na Kanumba, Ally Yakuti ambaye anaandika script za RJ, ndiye huyo huyo aliyekuwa anaandika kwa Kanumba, Steven Shoo ambaye ni mtaalamu wangu wa light, ndiye huyo huyo anayetumiwa na Kanumba na wengine wengi kama Juma Chikoka aliyecheza kikamilifu katika filamu ya kijiji cha Tambua Haki, ambaye pia anashiriki filamu nyingi za RJ, na wote hao, hawakuanzia kwa Kanumba, wote wameanza kwangu mimi ndio niliompatia na hata baada ya hayo yanayosemwa kuwa kuwa ni uadui, sikuwahi kuwakataza kufanya kazi na Kanumba.
Tatu kumtuhumu mtu kwa namna yoyote ile bila ya uthibitisho wa tuhuma hizo, ni kosa kwa sheria za nchi na pia kama ni mfuasi wa dini yoyote ni dhambi, kwani wakati ukisema hayo huku hujui uhalisia bali unasukumwa na nguvu za hisia tu ni sawa na kumchafua mtu huyo katika jamii bila ya kujua jamii inamchukuliaje. Napenda kusema wazi wazi kuwa, kwa kila anayetekwa na wimbi hili, ajaribu kufikiria leo ipo kwangu mimi, kesho inaweza kuhamia kwako, kwani mimi sio wa kwanza kufikwa na haya, inaweza kukukuta hata wewe au ndugu yako, utajisikiaje.
Mwisho kabisa napenda kumaliza kwa msemo usemao, ajidhaniaye amesimama, aangalie asianguke, kwani kadri mambo haya yanavyoendelea, usidhani yataishia kwangu, kwani mkono wa dhuluma haushii karibu, ukisikia jirani anapiga kelele za mwizi, usilale kamsaidie, usiseme kuwa hatuhusiki kwani hayupo kwetu, kesho utafikwa na wewe utakosa wa kukusaidia. cha msingi kama tunampenda sana ndugu yetu ni kumuombea kwa Mungu, kwani hatujui makao yake huko aliko, na sio kuunda vitu ambavyo kamwe hata yeye angekuwa hai asingeviafiki.
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU STEVEN KANUMBA MAHALI PEMA
 PEPONI
MUNGU IBARIKI AFRIKA MUNGU IBARIKI TANZANIA

Sunday 22 April 2012

HATIMAYE LULU AOKOKA





Na Sifael Paul
Habari za kuaminika zinadai kuwa staa mkubwa wa filamu za Kibongo ambaye ni mshikiliwa wa kwanza katika kesi ya kifo cha Steven Charles Kanumba ‘The Great’, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameokoka, Risasi Jumamosi linafunguka.
Kwa mujibu wa mmoja wa waumini 53 wa Kanisa la Efatha Foundation Tanzania lililopo Mwenge, Dar es Salaam linaloongozwa na Nabii Josephat Mwingira, Lulu aliombewa na ‘kondoo’ hao wa Mungu wakati akiwa nyuma ya nondo za mahabusu ya Kituo cha Polisi cha Oysterbay, Kinondoni.
Chanzo hicho cha habari kilidai kuwa, waumini hao walijikuta wakimwongoza staa huyo sala ya toba huku nao wakiwa na ‘kimeo’ baada ya kufikishwa kituoni hapo wakidaiwa kuhusika kwenye msala wa vurugu na kutaka kubomoa majengo ya kiwanda cha uchapaji cha Afro Plus kilichopo jirani na kanisa lao.

“Ilikuwa Jumatatu ya Pasaka, habari za kifo cha Kanumba zilikuwa zimeshika kasi katika kila kona, tulipopelekwa mahabusu ya Oysterbay ndipo tukamkuta Lulu. Ukweli ni kwamba aliongozwa sala ya toba na waumini akitamka mwenyewe: “Eee Mungu… naomba ulifute jina langu kwenye kitabu cha hukumu…liandike katika kitabu cha uzima wa milele…Ameni.” Alisema mtoa habari huyo.
 

Wakati huohuo, habari za ndani kutoka lupango Segerea alikowekwa Lulu zilidai kuwa katika siku za karibuni amekuwa kama kachanganyikiwa huku akifanya vitu tofauti ikiwemo kucheza kiduku mara kwa mara.

chanzo:GPL