
wakongwe wa maquise du zaire,Vumbi na Boboo sukari wakiwa kazini pale sodra stockholm,ukitaka kusikiliza zembwela piga mbizi,kiongo,makumbele na nyingine kibao usikose pale
bila kusahau ukumbi mpya unafunguliwa karibuni na watakuwepo mpaka kuche tega sikio.
hivi vionjo tu yanayotokea pale sebuleni

Bass guitar utamkuta huyu jamaa na analitwanga inavyotakiwa kazi kazi hamna kulemba,na pale nyuma kuna keyboard aaah basi ni raha tupu
kuwa inauma hiyo msiseme sijawaambia

akakwepa kamera baadaye nipige picha nikamwambia tukio hilo lishapita

Nyomi si la kawaida na siku hizi pale sebuleni sura za zamani kuchanganya abari zimekuwa pensionair kuna sura mpya tupu

siku hizi mtu mzima nashughulika na glass zaidi mambo ya kina FALLY IPOUPA nimewaachia vijana

pia huyu jamaa ALIKIBWA alikuwepo pia siku hiku hiyo maganga jaaaaaaaaaz.

Biggie biggy mutu mukubwa mzee wa 1,2,3,....

NIKAKUTANA NA MKADAM HAPA NA JIRANI JIRANI WAKAPEWA
No comments:
Post a Comment