Friday 30 April 2010

MUGONGO MUGONGO WA SIMBA

naona simba nae kambinjulia mwenzie chuma mboga,kaz kwel

MSANII RAY C KATIKA POZI TATA


swali langu moja tu kwako,kwanini hukuja sweden baada ya mashabiki kukusubiria kwa muda mrefu?

Thursday 29 April 2010

KOFFI OLOMIDE NEW SEBENE EXTRAIT 2010

linapofika swala la burudani mzee mukulu koffi huwa hana utani,anaaacha vijana wafanye mambo kweli,hilo sebene waweza cheza ukaacha chupi magotini,lakini zote raha kula sebene.

FALLY IPUPA NEW LIVE GRANDE HOTEL KINSHASA

kuna mshkaji kanitumia hii video toka zaire,perfomance imefanyika wiki mbili ziliozopita muziki umetulia,watazamaji,na kila kitu kiko sawa,rapper chriss anafanya rap iendane na bolingo haha,kiafrika zaidi,kwanini tusiweze,waafrika tunaweza kilakitu bwana kivyetu lakini.hivyo hivyo iko siku bara la afrika litakua kama europe lakini lazima mchina asiwepo.

MDOGO MDOGO TUTAFIKA TU



HALI HALISI YA MAISHA YA MWAFRIKA BORA LIENDE

WHAT CAN I SAY HERE:JUST BEAUTIFULY NANCY SUMARI


HAPA SIJUI HATA NISEMEJE,KWELI MTOTO MZURI NA AMETIMIA KILA KITU,KWA WAREMBO TANZANIA HATUJAMBO PIA MAANA MMH,UNAWEZA JIKUTA UNAMFUATA MTU HATA HUMFAHAMU UMBALI MREEEFU AL MRADI TU UENDELEE KUMUONA LOL.

NCHI NZURI TANZANIA NA UMASKINI HUU

KATAVI NATIONAL PARK
MAHALE
NGORONGORO CRATER
SELOUS GAME RESERVE

TARANGIRE

UDZUNGWA MOUNTAIN WATER FALLS






Nchi nzuri yenye hazina ya kila kitu,lakini basi tu sijui tulilogwa na nani kwa ufisadi na rushwa,gap kati ya matajiri,vigogo na masikini ni kubwa na inazidi kuongezeka siku hadi siku,sijui nani atakuja kutukomboa,ni kuomba mungu tu atusaidie maana hakuna anayejali kuhusu vifo maradhi na umasikini uliozidi wa watanzania wa kawaida,aah wao wakiugua si wataenda kutibiwa nje bwana,wahangaike na nini kila kitakachojitokeza misaada kila kitu ni kutia kumfuko tu hakuna simile,lakini iko siku tu.

MOVIE MPYA LOVERLY GAMBLE YAZINDULIWA RASMI DAR

usishangae mdau michuma kama hiyo ndio ilikuwepo eneo la tukio,nikiwaambia bongo new york hamtaki rudini tulijenge taifa.

wadau wote wa filamu za nyumbani walikuwepo kumpa tafu mwenzao kanumba.

khalid chokoraa akiingia na mamaa kwenye uzinduzi huo.

Wednesday 28 April 2010

MANDINGO JUNIOR


yaani dogo huna haja ya kumwambia aende shuleni akasome,mwache tu afanye shughuli anayoipenda basi.

WERRASON NEW SEBENE SIMEKOLI.LE LE LE LE LE


hii ikipigwa kwa sisi wapenda masebene lazima kijasho kikutoke,maana juzi niliijaribu mahali doh,nilimiminikwa na jasho la kufa mtu,aah lakini zote raha tu sio mbaya.

NBA STAR HASHEEM THABIT IN DAR


hasheem na dj choka,kama mamtoni vile,bongo new york au sio.

hapa akiwa ndani ya mchuma wake range rover vogue kama kawa,wabongo tunatisha bana.

pozi la kishkaji na mdau

kula maisha wakati meno bado ipo mzee,hazichelewi kukimbia hizo.

EAST AFRIKAN BEAUTY GIRLS

HUO MKAO UNAITWA BANIKA BATA,NI NADRA SANA KUPATA MAMBO KAMA HAYA SEHEMU NYINGINE,KWELI EAST AFRIKAN TUNATISHA

SASA SIJUI NDO MKAO GANI HUO,SI BALAA HII JAMANI.

Thursday 8 April 2010

TEH TEH MIPAKAZO NOMA KWELI

Nike brings back the voice of Earl Woods in new Tiger ad

Earl and Tiger @ Yahoo! Video
Earl and Tiger @ Yahoo! Video

"I want to find out what your thinking was. I want to find out what your feelings are. Did you learn anything?" Earl asks.

Powerful stuff, that, especially given how significant a role Earl Woods played in Tiger's life.

Now, there's an argument to be made that the ad is over the line, using Earl Woods' words in a way that he obviously didn't have approval over. On the other hand, this ad was made with Tiger's consent and participation. And really, who better to pass judgment on Tiger than Earl?

Nike, of course, has a history with provocative Woods ads; they crafted the classic "Hello World" and "I am Tiger Woods" spots. And they're one of the few companies to stick with him through his recent troubles. So it's appropriate that they'd be the ones to set about shaping his new public commercial image. Clearly, they're not taking the safe, conservative route.

All right, your take. Exploitative or appropriate? Cast your vote below.