Saturday 22 March 2014

CHOZI LA MUNYONGE-NGWASUMA LIVE



Yaah miaka hiyo albam tulizindua wenyewe mitaa ya Fm Club kino.na hii ilikua paty two.ya kwanza tulizindua fm band pale miaka hiyo pia,papii kocha yuko underage anakuja omba japo apigepige tumba,enzi za kina serge mwila,B52,Motoo kwenye tumba.kulikua na bebee Kigoma,Elly kichinja na wengine kibao wamenitoka.
Enzi hizo watu vitineja lakini pengar za bia na matanuzi za kumwaga

MAPENZI-NGWASUMA LIVE 2013

Friday 7 March 2014

Franco Makiadi-MUJINGA


Good Day wadau

Malaysia Airlines loses contact with plane flying to Beijing

BBC


The aircraft never made it to Chinese airspace as John Sudworth reports from Beijing International Airport
Malaysia Airlines says it has lost contact with a plane travelling from Kuala Lumpur to Beijing, with 239 people on board.
The airline said in a statement that flight MH370 disappeared at 02:40 local time on Saturday (18:40 GMT on Friday).
It had been expected to land in Beijing at 06:30 (22:30 GMT).
The plane went off the radar south of Vietnam, according to a statement on the Vietnamese government website.
Its last known location was off the country's Ca Mau peninsular although the exact position was not clear, it said.

At the scene

For more than six hours after it was due in, the flight was listed as delayed, but MH370 has now been removed from the international arrivals board.
Friends and relatives expecting to meet passengers from the flight have been instructed to go to a nearby hotel where officials are on hand to provide support and, when it comes, information.
The flight was a code share with China Southern Airlines CZ748 and more than 150 of the 227 passengers on board are Chinese Nationals. State media are reporting that two rescue boats have been sent into the South China Sea, from the ports of Haikou and Nansha, to assist with the search and rescue effort.
The weather along the route from Kuala Lumpur to Beijing was reportedly good and Malaysia Airlines, and the plane, a Boeing 777, both have good safety records.
Malaysia Airlines said it was "currently working with the authorities who have activated their search and rescue team to locate the aircraft".
"Our team is currently calling the next-of-kin of passengers and crew."
The Boeing B777-200 aircraft was carrying 227 passengers, including two children, and 12 crew members.
In a brief press conference on Saturday, Malaysia Airlines chief executive Ahmad Jauhari Yahya said the company was still working to establish the location of the plane.
He said the company was "deeply saddened" at the situation and that it would provide regular updates.
'Very worried'
The passengers were of 14 different nationalities, he added.
Among them were 152 Chinese nationals, 38 Malaysians, 12 people from Indonesia and six from Australia.
A woman, believed to be the relative of a passenger onboard Malaysia Airlines flight MH370, covers her face as she cries at the Beijing Capital International Airport in Beijing on 8 March 2014Relatives of passengers have faced an anxious wait at Beijing International Airport
Relatives of missing passengers at Kuala Lumpur airport (8 March 2014)Relatives of passengers also waited for news at the plane's departure airport in Kuala Lumpur
Malaysia Airlines Boeing 737 passenger plane prepares to take off at Kuala Lumpur International Airport in November 2012Malaysia Airlines is the national carrier of Malaysia and one of the largest in Asia
The pilot was Capt Zaharie Ahmad Shah, 53, who joined Malaysia Airlines in 1981, Mr Yahya said.

Flight MH370 passengers

  • 153 Chinese including one child
  • 38 Malaysians
  • 12 Indonesians
  • 6 Australians
  • Four Americans including one child
  • Three French
  • Two each from New Zealand, Ukraine and Canada
  • One each from Russia, Italy, Taiwan, Netherlands and Austria
The flight went missing two hours after taking off from Kuala Lumpur.
The aircraft did not enter airspace controlled by China and did not make contact with Chinese controllers, China's state-run Xinhua news agency said.
A Vietnamese navy official told the BBC that the plane had gone missing within Malaysian maritime territory.
Officials have refused to confirm that the aircraft has crashed.
Meanwhile, China has sent two ships to the South China Sea to help in any rescue, Chinese state television said.
Malaysia Airlines chief executive Ahmad Jauhari Yahya: "Focus now is to work with the emergency response"
Chinese Premier Li Keqiang is reported to have told government departments to "start the emergency procedures, strengthen communication with Malaysian Civil Aviation authorities, prepare search and rescue efforts", says the BBC's John Sudworth in Beijing.
The flight has now been removed from the international arrivals board at Beijing International Airport, our correspondent reports from the terminal. It had been listed as delayed for more than six hours after it was due.
Friends and relatives expecting to meet passengers from the flight have been instructed to go to a nearby hotel where officials are on hand to provide support, our correspondent adds.
The Associated Press reported a woman weeping on a shuttle bus who was heard to say on a mobile phone: "They want us to go to the hotel. It cannot be good."
BBC map showing Malaysia, Vietnam and China
"This news has made us all very worried," Chinese Foreign Minister Wang Yi said.

Boeing 777 fact sheet

  • Twin-engine jet launched in June 1995
  • One of the world's most popular long-distance planes
  • Seats between 300 and 380 passengers
  • Has flown around five million flights
  • Often used for non-stop flights of 16 hours or more
  • In September 2001 a crew member died in a re-fuelling fire on a 777 at Denver International Airport
  • In 2013 three Chinese women died when the 777 Asiana Flight 214 crashed in San Francisco
"We hope every one of the passengers is safe. We are doing all we can to get more details."
Fuad Sharuji, Malaysian Airlines' vice-president of operations control, told CNN the plane had been flying at an altitude of 35,000ft (10,700m) and that the pilots had not reported any problems with the aircraft.
"Our thoughts and prayers are with all affected passengers and crew and their family members," Malaysia Airlines said.
The airline is the national carrier of Malaysia and one of Asia's largest, flying nearly 37,000 passengers daily to some 80 destinations worldwide.
The route between Kuala Lumpur to Beijing has become more and more popular as Malaysia and China increase trade, says the BBC's Jennifer Pak in Kuala Lumpur.
The Boeing 777 had not had a fatal crash in its 20-year history until an Asiana plane came down at San Francisco airport in July 2013. Three teenage girls from China died in that incident.
Boeing said in a statement posted on Twitter: "We're closely monitoring reports on Malaysia flight MH370. Our thoughts are with everyone on board."

OLDIES-LE TP OK JAZZ LIVE 1980

JAY MARTINS LIVE IN SWEDEN 29 march 2014



JAY MARTINS LIVE IN SWEDEN AND HE IS BROUGHT TO YOU BY RITZ SOCIETY IN CO-OPERATION WITH SHELBY PRODUCTION. 29TH MARCH 2014 IS THE DAY TO WITNESS THE NAIJA ARTIST. FOR TICKETS AND MORE INFO PLEASE VISIT OUR WEBSITEWWW.RITZSOCIETY.COM OR CONTACT 0728638000

MAYA ORIGINAL-SIMARO LUTUMBA



Ukisikia hii rhumba tune yake lazima umkumbuke Mafumu Bilal Mbombenga ambaye nae aliimba nyimbo hii kwa kiswahili na kujipatia umaarufu mkubwa sana.kuna watu mpaka sasa ukiwaambia watu kwamba haukuwa utunzi wake alimuiga huyu jamaa hapa hawatakuamini.

UJUMBE-PASSWORD




-

Wednesday 5 March 2014

MAZISHI YA MAREHEMU HUSSEIN SAID HUSSEIN 6/03/2014 - MÄRSTA

Kwa Jumuia ya Watanzania na Marafiki


MAZISHI YA MAREHEMU HUSSEIN SAID HUSSEIN 6/03/2014 - MÄRSTA

Ubalozi umepata taarifa leo asubuhi toka kwa Bi Victoria Hussein, mjane wa Mtanzania mwenzetu Marehemu Hussein Said Hussein kwamba mazishi yatakuwa kesho Alhamisi 6/03/2014 saa 5.30 (tano na nusu)asubuhi. 

Swala ya mazishi itaongozwa na Imaam Zakir na itafanyika Husby Ärlinghundra Kyrkogård, Husby Kyrkby 131, 195 91 Märsta

Baada ya mazishi wote wanakaribishwa kuungana na familia kwa chakula cha mchana katika Mgahawa wa Arlandastad uliopo Pionjärvägen 2, Arlandastad.

Kwa maelezo zaidi tafadhali piga simu Na. 0705263303 kwa Bw. Tengo Kilumanga

Atakayepata taarifa hii amwarifu na mwingine.

Ubalozi wa Tanzania
Stockholm

Monday 3 March 2014

BILIONEA SHKUBA ADAKWA NA MADAWA YA KULEVYA DAR

BILIONEA maarufu jijini Dar es Salaam, Ali Khatibu Haji ‘Shkuba’(44) ambaye alikuwa akisakwa kwa muda mrefu na Kikosi Maalum cha Polisi Tanzania kwa madai ya kujihusisha na biashara haramu ya ‘unga’, amenaswa.


Bilionea Ali Khatibu Haji ‘Shkuba’(44) aliyenaswa na polisi.

Vyanzo vililiambia gazeti hili kwamba, mtuhumiwa huyo alikamatwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar, Februari 23, mwaka huu, saa sita mchana akijianda kwenda nchini Afrika Kusini.

Kwa mujibu wa chanzo hicho, mara baada ya Shkuba kukamatwa alisafirishwa usiku huohuo kwenda mkoani Lindi chini ya ulinzi mkali wa polisi ambapo Februari 27, mwaka huu aliunganishwa na watuhumiwa wengine na kufikishwa katika Mahakama Kuu Kanda ya Kusini.

Click image for larger version. 

Name: Pipi2000.jpg 
Views: 0 
Size: 74.9 KB 
ID: 142645



Madawa ya kulevya.


Shkuba ambaye ni mkazi wa Mikocheni, Dar ni mfanyabiashara mwenye maduka ya kubadili fedha (bureau de change) jijini, ana makampuni ya ulinzi na nyumba Mikocheni pia anamiliki magari ya kifahari likiwemo aina ya Jeep lenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 150.


Vyanzo hivyo vilisema mtuhumiwa huyo alikuwa akisakwa na kikosi kazi tangu Januari 12, 2012 na inadaiwa kwamba alikimbilia nje ya nchi na kurudi kwa siri na ndipo jeshi hilo liliamua kumuwekea mtego.

Taarifa ziliendelea kusema kuwa, tangu vita ya kuididimiza biashara ya unga ianze nchini, hakuna bilionea aliyewahi kukamatwa zaidi ya mtuhumiwa huyo.

Click image for larger version. 

Name: pipi20000.jpg 
Views: 0 
Size: 71.4 KB 
ID: 142646

Gari aina ya Jeep lenye thamani ya zaidi ya milioni 150 ambalo ni mojawapo ya magari ya kifahari anayomiliki Shkuba.



Vyanzo vingine vya habari toka ndani ya jeshi hilo vinadai kwamba, Shkuba aliwahi kukamatwa mwaka 2006 kwa kuhusishwa na biashara hiyo haramu na kuwekewa ulinzi wa kifungo cha nje.



Habari zinadai kuwa, Januari 12, 2012, kikosi kazi cha kupambana na biashara hiyo kilipata taarifa ya kuwepo kwa madawa hayo aina ya heroin kiasi cha kilo 211 yenye thamani ya shilingi bilioni 9.4 mkoani Lindi yakiwa tayari kusafirishwa nje ya nchi.



Kikosi hicho kiliweka mtego maeneo ya Machinga Two mkoani humo na kufanikiwa kukamata unga huo uliokuwa umefichwa katika hoteli moja.


Click image for larger version. 

Name: pipi200000.jpg 
Views: 0 
Size: 44.5 KB 
ID: 142647


Binti wa Liyumba, Maureen Liyumba, siku alipokamatwa pamoja na wenzake wakiwa na madawa ya kulevya yenye thamani ya shilingi bilioni 9.4 mkoani Lindi yakiwa tayari kusafirishwa nje ya nchi.



Watu wanne walikamatwa sanjari nao, akiwemo binti wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Utumishi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Amatus Liyumba, Maureen Liyumba ambaye yuko mahabusu mpaka sasa na ameungana na Shkuba.



Vyanzo hivyo vilidai kwamba watu hao walikuwa wakiwasiliana na Shkuba ambaye watuhumiwa walimtaja na ndipo polisi walipoanza kumfuatilia.


Click image for larger version. 

Name: pipi200000000.jpg 
Views: 0 
Size: 48.8 KB 
ID: 142648


Madawa ya kulevya aliyokamatwa nayo binti wa Liyumba na wenzake.



Siku moja nusura polisi wamkamate ambapo alikimbia na kulitelekeza gari lake aina ya Toyota Land Cruiser lenye namba za usajili T921 BPY ambalo bado linashikiliwa katika Kituo Kikuu cha Polisi Mkoa wa Lindi.



Inadaiwa kwamba polisi walipokwenda nyumbani kwake jijini Dar walimkosa na kila walipopiga simu zake zilikuwa hazipatikani hewani lakini baada ya kumkamata walimpeleka Lindi kwa helikopta.



Kamanda wa Polisi Kikosi cha Kudhibiti na Kupambana na Madawa ya Kulevya Tanzania, SACP Godfrey Nzowa alipoulizwa juzi na Uwazi kuhusu madai hayo alithibitisha kukamatwa kwa Shkuba na kwamba tayari ameunganishwa na wenzake mkoani Lindi na wanaendelea kuwasaka mabilionea wengine ndani na nje ya nje ya nchi.



Click image for larger version. 

Name: pipi343.jpg 
Views: 0 
Size: 54.7 KB 
ID: 142649


Maureen Liyumba pamoja na watuhumiwa wenzake.



“Ni kweli tulikuwa tukimsaka kwa muda mrefu Bwana Shkuba na tulijipanga vizuri sisi kikosi kazi hali iliyotufanya tumnase.



“Hii vita ya biashara haramu kwa sasa si kwa Tanzania tu bali ni vita ya dunia nzima, nawaomba wananchi wazidi kutupa ushirikiano na tutayafanyia kazi kwa siri maelezo yao,” alisema Kamanda Nzowa.




source; Global Publishers

LUPITA NYONGO WINS OSCAR AWARD



Bomb scare clears central Stockholm street

Bomb scare clears central Stockholm street


A bomb threat on the Stockholm island of Södermalm saw hundreds of workers forced to leave their offices on Monday morning. Police and bomb technicians remain on the scene.
The threat was called in via telephone at 8.30am on Monday for Sankt Paulsgatan on Södermalm. All 165 employees at the Swedish Standards Institute (SIS) were told to leave the building, as were employees at nearby offices and buildings.
 
The area, which is right by the corner of the Oliver Twist pub, was cordoned off by police soon after, and remained closed off at 11.30. 
 
Police have launched an investigation into aggravated illegal threats (grovt olaga hot), reported the TT news agency.
 
"We have no idea what this is all about, everyone is equally perplexed," Lovisa Krebs at SIS told TT. She added that she was unsure if the threat was specifically directed at the office. SIS works with developing standards in domains including constructions, healthcare, and engineering.
 
Employees have spread to cafés in the area awaiting further instructions. 
 
TT/The Local/og (news@thelocal.se)