Friday 30 November 2012

Uongozi Mpya FC Kilimanjaro


Taarifa muhimu: Husika kichwa cha habari hapo juu, majina yameandikwa hapo chini ndio uongozi mpya wa fc.kilimanjaro, kwa wale wasioona majina yao hapo chini wameshindwa kutekeleza taratibu za fc.kilimanjaro mfano vigezo vya kuongoza fc.k, kutoripia ada ya kuongoza kilabu 4000/mwezi na kutoshiliki kikamilifu kilabuni, kivitendo. Uongozi uliopo umewateua viongozi wapya (supplianter) ili kuimarisha kilabu fc.k hususani katika kukabiriana na changamoto za mwaka 2012/2013 na kuendeza mafanikio ambayo fc.k imeyapata.

Barua rasmi ya kusimamishwa kwa wale ambao hawakutajwa majina yao humu ndani itatumwa baada ya mkutano mkuu wa mwaka, mkutano mkuu husika wa mwaka utapitisha pia majina ya viongozi wapya waliotajwa majina yao ndani ya barua pepe hii.
Mmoja wapo wa viongozi wapya amefikishiwa uhamuzi wa uteuzi husika via kikao cha bodi + well-wishers wa fc.k kilichofanyika Stockholm Sweden,mwezi wa 11 2012 na amekubari kujiunga katika gurudumu la kufanikisha malengo tuliyojiwekea, mwingine Adrey atawasiliana naye mapema kabla ya kukaa mkutano mkuu husika wa mwaka.

Michango ya wa-nauongozi wa zamani, wapya, itarudishwa (maendeleo/kazi/
proffessionalism ikianza) Au fc.k ikipata udhamini - basi waliotoa michango yao watarudishiwa ikiwa ni pamoja na asilimia chache kama kifuta jasho cha kazi ngumu, nzuri walioifanya mpaka upatikanaji wa udhamini au kazi.
Kama mjuavyo, kazi ngumu, nzuri yafaa iboreshwe hususani isimamiwe ipasavyo! (usome tena rules&terms of fc.k) Nachukua nafasi hii kuwashukuruni nyote mlioshiriki tokea mwanzo mpaka sasahivi,kadri ya uwezo wenu na amini bila nyie fc.k hisingelikuwepo, asante sana na mwendelee kuwa mabalozi wema wa fc.kilimanjaro.

OBS! Uongozi mpya: Tumeamua kuelekeza hasa hasa nguvu nyingi katika utafutaji wa udhamini/sponsorship. Lakini, tutekeleze vitendo kwa nguvu zetu zote, michango ya pesa kila mwezi..., tuazimie..,tuvumilie hususani ubidii na utafutajiviendeze kauli zetu ili tupate vitendo/maendeleo.Uongozi mpya karibuni.
Uongozi mpya ni kama ifuatavyo: Kamati ya association/Förening: Adrey, Amoni na Nyupi wakisaidiana na Mjengwa na Ndumbalo.
Kamati ya uongozi/administration for the whole club: Ndumbalo na Adrey wakisaidiana na Nyupi, Amoni na Mjengwa // Mwisho wa taarifa muhimu.

Wenu ktk fc.k.
Mulashani, Adrey Eustace
FC Kilimanjaro ORGNR: 802461-7808
TFN/TFX WORK: + 46 8 370274 MOBILE + 46 73 7106092

Thursday 29 November 2012

NI MWENDO WA SNOW SASA HAPA STOCKHOLM


jana mchana


jana usiku
 
 leo asubuhi
NI KIPINDI AMBACHO UZOEFU UNATAKIWA MAANA MTU UNAJITWISHA NGUO ZA KAMA KILO 20 HIVI UNAZUNGUKA NAZO DAILY,IKIFIKA KIPINDI HIKI KWA SISI MAGANGA KILA MTU ANALAANI MAANA HATUJAZOEA HALI HII,WENYEWE WANAFURAHIA MAANA WATASHEREHEKEA CHRISTMASS INAVYOTAKIWA.
ANGALIA MENYU YA VIWALO TUNAVAA NA KILO ZAKE HAPO CHINI

CHUPI
BOXA
KAPTULA
TIGHT
CARWOSH
SWETA YA NDANI
TSHIRT
PULL-OVER
HEAVY-JACKET-5KG
SCARF
GLOVES
KOFIA-SOX
SOX NDEFU
SOX-SWETA
CATERPILAR-BUTI-5KG
SOLE YA NYONGEZA YA BUTI USITEREZE

KUNA KILO 10 YA JACKET NA BOOT,HESABU VILIVYOBAKI KISHA NIAMBIE KM HAVIFIKI KILO 10.

GOOD DAY!

Wednesday 28 November 2012

video-mwili wa sharo ukiwasili kwao

Jengo La Jumuiya Ya Afika Mashariki Lazinduliwa


 Rais Jakaya Mrisho Kikwete na viongozi wenzie wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wakiangalia mfano wa jengo jipya la makao makuu ya Jumuiya hiyo pamoja na maelezo yake baada ya kulifungua rasmi  Novemba 28, 2012 jijini Arusha
 Mfano wa  jengo la Makao makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete na viongozi wenzie wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wakifunua pazia  kufungua rasmi jengo jipya la makao makuu ya Jumuiya  Novemba 28, 2012 jijini Arusha
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na wakuu wenzie wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wakiwa katika picha ya pamoja na wadau pamoja na wabunge wa Afrika Mashariki
PICHA NA IKULU

MAZISHI YA SHAROMILIONEA KATIKA PICHA


Marehemu Hussein Ramadhan Mkieti a.k.a Sharo Milionea enzi za uhai wake.
Waumini wa Kiislam wakiwa katika Ibada ya Kuuswalia Mwili wa Marehemu Hussein Ramadhan Mkieti a.k.a Sharo Milionea aliefariki kwa ajali ya Gari hivi karibuni huko Muheza,Mkoani Tanga.
Jeneza lenye Mwili wa Marehemu Hussein Ramadhan Mkieti a.k.a Sharo Milionea likiwasili Nyumbani tayari kwa Taratibu za Mazishi yaliyofanyika leo kwenye Kijiji cha Lusanga,Wilayani Muheza,Mkoani Tanga.
udogo ukitupiwa kaburini wakati wa mazishi ya Msanii wa Muziki na Filamu hapa nchini,Marehemu Hussein Ramadhan Mkieti a.k.a Sharo Milionea,ambayo yalihudhuliwa na Watu mbali mbali hapa nchini,wakiwemo viongozi katika kijiji cha Lusanga,Muheza Mkoani Tanga.
Muigizaji Maarufu hapa nchini,Mzee Athuman Amri a.k.a King Majuto ambaye ni Baba Mdogo wa Marehemu Hussein Ramadhan Mkieti a.k.a Sharo Milionea akitupa mchanga kaburini wakati wa Mazishi ya Sharo yaliyofanyika leo katika kijiji cha Lusanga,Muheza Mkoani Tanga.
 
 kuna waliopoteza fahamu

 Nape Nnauye alikuwepo pia kutoa pole za chama

Mwana FA KITOA POLE KWA NIABA YA WANA BONGO FULEVA


WASANII MBALIMBALI WALIFIKA KUMUAGA MAREHEMU
Vijana wakiwa wamepanda mnazi kuona mazishi ya Msanii wa Muziki hapa nchini,Marehemu Hussein Ramadhan Mkieti a.k.a Sharo Milionea katika kijiji cha Lusanga,Muheza Mkoani Tanga.Picha na Bashir Nkoromo.

Man shot in the face in central Stockholm

Man shot in the face in central Stockholm

A 27-year-old man was shot in the face outside a shop in central Stockholm on Tuesday night in what police believe is a case of attempted murder.
 The shooting took place around 8.30pm at the entrance of a 7-Eleven convenience store near Odenplan on the city's north side.

"I heard three bangs that sounded like gunshots. There was a person lying on the ground and there was a lot of blood," one witness told the Aftonbladet newspaper.

Police patrols and an ambulance arrived shortly thereafter to find the victim conscious but seriously injured.

"The man was shot in the face. His injuries are serious and his condition has been described as critical," Norrmalm police commander Torgny Wallström told the TT news agency.

According to Aftonbladet, the man had been shopping at the 7-Eleven before the incident, and upon leaving the store was shot several times in the face.

In their search for the perpetrator, police closed down the Odenplan metro station in hopes of finding the shooter.

Later in the evening, a 26-year-old man was arrested on suspicion of attempted murder and taken in for questioning.

About an hour after the incident, police responded to calls about another shooting south of the city in Botkyrka.

On the scene they found an injured man who was taken to hospital for treatment.

Police have classified the shooting as attempted murder, but have yet to make any arrests in the case.

There are no indications that Tuesday's two shootings are related.

TT/The Local/dl

WASHIRIKI MISS EAST AFRIKA WAPO TAYARI JIJINI DAR ES SALAAM




Miss East Africa 2012-Burundi. Grand Finale to be held on 07th December at Mlimani City, Dar es salaam Warembo wa Miss East Africa 2012 wakiwa katika vazi la ufukweni, jijini Dar es salaam.
shindano hilo litafanyika tarehe 7 ijumaa wiki ijayo, kwenye ukumbi wa Mlimani City, Dar es salaam.
Yanaandaliwa na kumilikiwa na kampuni ya Rena Events Ltd na kudhaminiwa na TANAPA, Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro, Ethiopian Airlines, Seascape Hotel, Darlings Hair, Ako Catering, DTP, Satguru, na Clouds FM.
Miss East Africa 2012-Eritrea. Grand Finale to be held on 07th December at Mlimani City, Dar es salaam


Miss East Africa 2012-Kenya. Grand Finale to be held on 07th December at Mlimani City, Dar es salaam
Miss East Africa 2012-Rwanda. Grand Finale to be held on 07th December at Mlimani City, Dar es salaam


Miss East Africa 2012-Uganda. Grand Finale to be held on 07th December at Mlimani City, Dar es salaam.


Miss Esat Africa 2012-Somalia. Grand Finale to be held on 07th December at Mlimani City, Dar es salaam


Miss East Africa 2012-Tanzania. Grand Finale to be held on 07th December at Mlimani City, Dar es salaam


Miss East Africa 2012-Ethiopia. Grand Finale to be held on 07th December at Mlimani City, Dar es salaam

Wakazi Wa Muheza -Tanga, Wamlilia Sharo Millionea


Gari aina ya Toyota Harrier lenye namba za usajili T 478 BVR alilokuwa akiendesha msanii wa filamu na muziki Hussein Ramadhani Mkieti ‘Sharo Millionea’ kutoka jijini Dar es salaam kuelekea Kijijini kwao Lusanga Wilaya ya Muheza  mkoa wa Tanga. Sharo Millionea alikufa papo hapo na mwili wake kuhifadhiwa Hospitali ya Teule Muheza Tanga.
Baadhi ya watu wakiliangalia gari aina ya Toyota Harrier lenye namba za usajili T 478 BVR alilokuwa akiendesha msanii wa filamu na muziki Hussein Ramadhani Mkieti ‘Sharo Millionea’ kutoka jijini Dar es salaam kuelekea Kijijini kwao Lusanga Wilaya ya Muheza  mkoa wa Tanga. Sharo Millionea alikufa papo hapo na mwili wake kuhifadhiwa Hospitali ya Teule Muheza Tanga.

Gari aina ya Toyota Harrier lenye namba za usajili T 478 BVR alilokuwa akiendesha msanii wa filamu na muziki Hussein Ramadhani Mkieti ‘Sharo Millionea’ kutoka jijini Dar es salaam kuelekea Kijijini kwao Lusanga Wilaya ya Muheza  mkoa wa Tanga. Sharo Millionea alikufa papo hapo na mwili wake kuhifadhiwa Hospitali ya Teule Muheza Tanga.
Mbunge wa Jimbo la Muheza Hebert Mtangi akiwasili nje ya jengo la Chumba cha Kuhifadhia Maiti cha Hospitali ya Teule Muheza kwa ajili ya kushuhudia mwili wa msaniii Sharo Millionea aliyekufa katika ajali ya gari wakati akitoka Dar es Salaam kwenda Lusanga, Muheza mkoani Tanga, ajali hiyo imetokea katika kijiji cha Kijiji cha Songa Kibaoni .
Wakazi wa wilaya ya Muheza na maeneo mengine wakiwa wamefurika nje ya Chumba cha Maiti cha Hospitali Teule Muheza, kusubiri kushuhudia mwili wa Sharo Millionea, aliyefariki kwa ajali ya gari.
 
chanzo:mjengwablog

Tuesday 27 November 2012

CHANZO CHA AJALI NA KIFO CHA SHARO MILIONEA HIKI HAPA

 

last tweet !

 Habari za uhakika kuhusiana na chanzo cha kifo cha msanii Hussein Ramadhan a.k.an Sharo milionea ni kwamba gari yake aina ya Toyota harrier ilipata pancha tairi la upande wa kulia na kukosa mwelekeo kisha ikaacha njia na kuelekea mtaroni lakini ule mtalo haukuizuru sana gari hiyo ikaruka na kuingia katika shamba la maindi.
 Kitu kilichoshangaza wengi ni sehemu ambayo si hatarishi sana kiudereva sababu iko tambarare na kona si kali eneo hilo.
 Chanzo cha habari kinaendelea kufafanua kuwa baada ya gari kuacha njia ilienda kugonga mti mkubwa na kuung'oa baada ya kuuchana katikati kutokana na gari ilivyokuwa mwendo kasi.
Mwili wa marehemu ulitupwa nje ya gari baada ya kugonga mti huo ambapo gari hiyo iliharibika vibaya kuanzia kwenye roof hadi vioo vyote kupasuka japo vizuizi vilifunguka lakinini havikusaidia.

 Baada ya kishindo kikubwa cha mlio wa pancha kilisikika kwa wakazi wa kijiji hiko na kuamua kujitokeza kujua nini kimejili pale na wakati wanafika hapakuwa na mwili wa marehemu katika  eneo la tukio,ndipo mama mmoja aligundua mwili wa msanii huyo mita chache kutoka gari ilipogonga mti na kuharibika vibaya.
 Mganga mkuu wa hospitali teule ya Muheza amesema kuwa chanzo cha kifo cha Sharo ni kubonyea kwa kichwa ikiambatana na majeraha yaliopo kichwani na sehemu ya mabega ndiyo yalipelekea msanii huyo kupoteza maisha papo hapo.
 Hata hivyo jeshi la polisi lilikuja masaa mawili baada ya kutokea ajali hiyo,ambapo gari la Tanesco ndilo lililotumika kuvuta gari hiyo hadi kituo cha polisi wilayani humo.

Dekula Band"Ngoma Ya Kilo"Live 30/11/&/01/12/2012





Akadevu-Music present's;
Bobo Sukari & Yaya Sella
Dekula Band"Ngoma Ya Kilo"
Place:Lilla Wien"Little Nairobi"
Date:30/11/&/01/12/2012
Time:21.00-01.00
Addr:Swedenborgsgatan 20
Pendel:Södra Station

Monday 26 November 2012

KALI ZA SHARO MILIONEA





ajali ya sharomilionea ktk picha




Ooooh maaama,amepumzika meeeen.

mungu ahimidiwe

R.I.P. SHARO.

JB MPIANA MUKULUKULU PAPAA CHERIE MELOVERIE NDANI YA BONGO-KUTUMBUIZA IJUMAA

 Mwanamuziki nguli wa dansi Barani Afrika, JB Mpiana (mwenye kofia) akiongoza na baadhi ya wenyeji wake pamoja na wanamuziki wa Bendi yake ya Wenge BCBG wakati wakiwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere,jijini Dar es Salaam usiku huu. JB Mpiana na Bendi yake ya Wenge BCBG wanatarajiwa kufanya Onyesho moja kubwa jijini Dar,Novemba 30,2012 kwenye Viwanja vya Leaders,Kinondoni jijini Dar.
Mwanamuziki nguli wa dansi Barani Afrika, JB Mpiana (mwenye kofia) akiongoza na Mwanamuziki mwingine Mkongwe hapa nchini,Ndanda Kosovo (mwenye shati nyeupe) wakati akiwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere,jijini Dar es Salaam usiku huu.
Mwanamuziki nguli wa dansi Barani Afrika, JB Mpiana akifanya mahojiano na Baadhi ya Waandishi wa Habari waliofika katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere,jijini Dar es Salaam usiku huu.
 
MICHUZI

SHARO MILIONEA AFARIKI DUNIA KWA AJALI YA GARI

Msanii maarufu wa Luninga, Sharo Milionea (pichani), amefariki dunia leo katiak ajali ya gari iliyotokea kijiji cha Lusanga, Muheza, mkoani Tanga. Kamanda wa Polisi Tanga, Constantine Massawe, amethibitisha kutokea kifo cha msanii huyo aliyekuwa anaimba muziki wa kizazi kipya pia. Habari zaidi zitafuatia.

SWEDISH HOUSE MAFIA @ FRIENDS ARENA - INTRODUCTION 22/11-2012



more storo to come.

Sunday 25 November 2012

RACISM NOW IN LILLA WIEN BAR SODRA!!

 
A Kenyan woman was, on Saturday 17th November, denied entry into Lilla Wien pub (also known as “Little Nairobi”) on grounds that friend believe, were “purely racist”. The woman had arrived at the pub together with her Swedish boyfriend and two Kenyan friends when she was denied entry at the door.
According to one of the Kenyans who was together with the woman, her friend was denied entry by one of the waiters who claimed that she was “too drunk” to be allowed in the pub. A female friend, who was in the entourage, called KSB to report the incident live which occurred shortly before midnight on the material day. As she spoke on the phone, shouts of “racism” and “discrimination” could be heard in the background.
The three friends disputed the position by the Lila Wien staff member that their colleague was drunk, arguing that the staff had misjudged the woman’s status in relation to alcohol consumption. According to friends, the woman had not taken any intoxicants because prior to her arrival at the club, she had been working all day.
“It’s her who proposed that we come to Lilla Wien to chill so that she could let off steam after a hard day’s work and we agreed”, a woman friend told KSB as the incident unfolded. Friends told KSB that the staff member who had banned the woman from entering the pub had mistaken the woman’s big eyes to mean that she had taken too much alcohol.
“The truth is that my friend simply has big eyes and since staff here are not used to seeing big African eyes, they thought that my friend was drunk”, the woman friend told KSB adding that staff members had refused to understand this explanation because they had turned into racists.
Another friend who accompanied the woman told KSB that at the time of the incident, there were two white customers who were so drunk that they were sleeping with their heads bowed on the table but that they were never shown the door.
“Whites were already asleep on the table after too much consumption but my friend was still on her feet, talking. If these whites remained inside and my friend was being denied entry, then there is something more”, a Kenyan friend who was at the scene told KSB.
“The truth is that my friend has been denied entry because of growing racism and discrimination of black people in Swedish pubs”, the friend told KSB.
“I am very disappointed because this is a pub Africans have always regarded as their own but now, we are being openly discriminated”, the friend told KSB.
The view of the woman’s Kenyan friends was that Africans had lifted Lilla Wien from a sleepy pub which used to have no more than ten customers to a vibrant meeting place always packed with Africans but that now, the pub’s management had begun to use the very racist tactics used by other pubs to deny Africans entry into various entertainment joints.
According to the Kenyans, they had hired a taxi to be at the pub for the evening with their friend but that all had now gone to waste because of the changing face of Lilla Wien.
Fruitless intervention by Vumbi and Kasule
It is known that over the past few years, the pub has been popularized by Vumbi Dekula’s band which has been playing regularly at the pub thereby attracting huge enthusiastic crowds which has, in turn, been according the pub booming business in terms of high beer consumption.
The concern among friends of the woman who felt that she was being treated unfairly is that the pub feels so secure in terms of customer base that it has now began to discriminate against Africans.
The problem was not made any better when both Vumbi Dekula and Sammy Kasule (who left the stage to attend to the case) tried to intervene so that the woman could be allowed entry. The pub’s management refused to listen to the two giant musicians who had reportedly tried to convince the management to admit the Kenyan woman because she was one of their greatest fans known to be of very good character.
There was total chaos at Lilla Wien when the African crowd became aware of the development. The whole crowd that had been shaking their bodies on the dance floor walked out of the pub in protest, arguing that Lilla Wien is one of the most respected pubs by Africans in Stockholm and that it was unfair for the pub’s management to deny an African entry on grounds of bogus claims of alcoholism which could not be substantiated.
Some members of the crowd who wanted to establish the real truth did inspect the woman’s level of inebriation before concluding that she was not anywhere near to being classified as “drunk”. They demanded that the woman be admitted into the pub but when the management maintained its ground, the Africans walked out of the pub and left it empty. According to eye witnesses, Vumbi and his team had to close business because there was nobody left to dance to their music.
The incident will, most likely, shock many Africans who regard Lilla Wien as “their pub”. The main problem is that Vumbi and his groups thrives on their African fans and once this fan base is eroded due to managerial problems, what is known as “Little Nairobi” may simply disappear into oblivion. Observers can only hope that this is an isolated incident because if it is a tendency, then the days of “Little Nairobi” may as well be numbered.
KSB has been promoting the pub because of its “African orientation” and the hope is that the management will quickly understand the implications of discriminating against Africans at the pub and sort out the issue before it blows out into a huge problem which may ignite a mass boycott of the pub by Africans in Stockholm.
Okoth Osewe
KSBlog

PRESS RELEASE: Shilingi Bilioni 86 zaibwa Wizara ya Nishati/TANESCO, Gridi ya Taifa hatarini



Gazeti la The East African la Novemba 24 – 30, 2012 limetoa taarifa kwamba jumla ya dola za kimarekani milioni 54 zimegundulika kuibwa na watumishi waandamizi wa Wizara ya Nishati na Madini na Shirika la TANESCO kupitia manunuzi ya Mafuta ya kuendesha mtambo wa Umeme wa IPTL. Gazeti hili limenukuu taarifa ya ukaguzi kutoka kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Tanzania (Controller and Auditor General). Taarifa hiyo inasema kuna kikundi (racket) ambacho kazi yake kubwa ni kujifaidisha binafsi na mpango wa umeme wa dharura kupitia manunuzi ya Mafuta mazito ya IPTL.
Itakumbukwa kwamba toka mwaka 2011 kumekuwa na shinikizo lililotolewa na Kamati ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma, Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini na Waziri Kivuli wa Nishati na Madini kwamba zabuni za ununuzi wa mafuta ya kuendesha mpango wa umeme wa dharura na mchakato mzima wa manunuzi ya mafuta haya ufanyiwe uchunguzi wa kina (forensic audit).
Katika mkutano wa 3 wa Bunge la Kumi (April 2011) niliuliza swali Bungeni kuhusu kashfa hii ya ununuzi wa mafuta ya kuendesha mtambo wa IPTL na baadaye tarehe 16 Aprili 2011 nilimwomba Spika airuhusu Kamati ya Nishati na Madini kufanya uchunguzi kuhusu kashfa hii. Kamati ya Nishati na Madini chini ya aliyekuwa Mwenyekiti ndugu January Makamba ililitaka Bunge kuazimia kufanyika kwa uchunguzi kuhusu suala hili kwenye Taarifa yake ya mwaka 2011 iliyowasilishwa Bungeni mwezi Aprili mwaka 2012. Waziri Kivuli wa Nishati na Madini ndugu John Mnyika katika Hotuba yake ya Bajeti ya Wizara hiyo mwaka 2011 alipendekeza kufanyika kwa uchunguzi kuhusu kashfa hii pia. Juhudi zote hizo hazikuzaa matunda.
Kipindi hicho kiwango kilichokuwa kinahojiwa kuibwa ni shilingi bilioni 15 tu. Taarifa ya The East African kama walivyonukuu kutoka kwenye taarifa ya CAG inaonyesha fedha zilizoibwa ni shilingi bilioni 86.
Zabuni za kununua mafuta ya kuendesha umeme wa dharura zimekuwa zikitolewa bila kufuata utaratibu wa zabuni kwa mujibu wa Sheria ya manunuzi. Hivi sasa kila mwezi Tanzania inatumia dola milioni 70 kununua mafuta ya kuendesha mitambo ya umeme. Fedha hizi zinatoka Hazina na sehemu ndogo kutoka TANESCO. Wakati fedha hizi bilioni 112 zinachomwa kila mwezi kununua mafuta mazito na dizeli ya kuendesha mitambo ya umeme, Taarifa za kitaalamu zinaonyesha kwamba Bwawa la Mtera hivi lina kina cha maji chini ya kiwango kinachotakiwa na uzalishaji wa umeme ni asilimia 20 tu ya uwezo (installed capacity). Iwapo TANESCO wataendelea kutumia zaidi maji yaliyopo Mtera, Mitambo itashindwa kazi na Gridi nzima itasimama maana Mtera ndio nguzo kuu ya Gridi ya Taifa. Hali hii ni hatari sana kwa uchumi na ulinzi na usalama wa Taifa. Kimsingi Gridi ya Taifa ipo hatarini kutokana na kiwango cha Maji kilichopo Mtera hivi sasa na kuendelea kupungua kwa kina hicho cha maji.
Wananchi wanapaswa kuelezwa kinaga ubaga nini kinaendelea katika sekta ndogo ya umeme hapa nchini;
1.      Taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali kuhusu zabuni za manunuzi ya Mafuta ya kuendesha mitambo ya umeme wa dharura iwekwe wazi na ‘racket’ inayosemekana kuiba jumla ya shilingi bilioni 86 ionyeshwe na hatua za kisheria zichukuliwe mara moja na bila kuchelewa.
2.      Waziri wa Nishati na Maadini auleze umma hali yalisi ya sekta ya umeme nchini, uzalishaji wa umeme upoje, hali ya maji katika bwawa mkakati la Mtera na nini hatma ya mitambo ya IPTL, kesi zake na utekelezaji wa mapendekezo ya Bunge kuwa kesi za kampuni hii zimalizwe nje ya mahakama. Pia Taifa lielezwe Mpango wa Dharura wa umeme unakwisha lini maana muda uliotolewa na Bunge mwezi Agosti mwaka 2011 tayari umekamilika. Waziri aeleze hatua agni amechukua baada ya kukabidhiwa taarifa na CAG kuhusu maafisa waandamizi wa Wizara waliohusika na wizi wa shilingi bilioni 86 za kununua mafuta ya IPTL.
3.      Waziri wa Fedha na Uchumi aueleze umma ni kiwango gani cha fedha Hazina imetoa kununua mafuta ya kuendesha mitambo ya umeme wa dharura kati ya Mwezi Novemba mwaka 2011 na Oktoba mwaka 2012 na kama taratibu zote za zabuni zilifuatwa na pale ambapo hazikufuatwa ni hatua gani PPRA wamechukua dhidi ya waliokiuka sheria ya manunuzi na kuleta hasara ya mabilioni ya fedha kwa Serikali.

Kabwe Zuberi Zitto, Mb
Naibu Kiongozi wa Upinzani Bungeni na Waziri Kivuli wa Fedha
Dar es Salaam. Novemba 25, 2012

Tanzania Ready To Send Troops To DRC



Tanzania is ready to send troops to the Democratic Republic of Congo to fight M23 rebels who are making advances to the capital Kinshasa, a minister has said.
Foreign Affairs and International Cooperation minister Bernard Membe said Thursday that the country would, however, only send its troops if the UN headquarters in New York immediately mandated the Southern Africa Development Community (SADC) to deploy troops in DRC.
Presidents from the Great Lakes Region are meeting in Kampala Friday for a crisis summit during which they will discuss the deteriorating situation in eastern DRC where the rebels have captured Goma and Sake, 20km away, and vowed to press on with their offensive to take the South Kivu provincial capital of Bukavu, 300km south of Goma.
Mr Membe said leaders within the region under their chairman, Ugandan President Yoweri Museveni, had called a crisis summit to discuss the matter and see how they could arrest the situation.
The minister said the UN was currently using Chapter 6 of its resolutions, which basically allowed peacekeeping and not peace enforcement. In peace enforcement, the UN troops would, if need be, use force to execute their mandate.
Presently, there were over 17,000 troops under the UN who were not doing much to protect the Congolese people and instead, they were only “observing things”.
“We condemn what the rebels are doing in eastern Congo….it is unacceptable to Tanzania. But there is an International Conference of the Great Lakes Region (ICGLR) in Kampala tomorrow (today), which was called expressly to discuss the matter,” Mr Membe said. 
He said the situation in eastern Congo had huge impact on all East African states and, if left unchecked, would result in huge numbers of refugees and internally displaced people. 

Source: http://www.africareview.com

Saturday 24 November 2012

MWENYE MZIGO "MKUBWA MKUBWA"-FANTA


JINA KAMILI: Magreth John
A.K.A: Fanta
KAZI: Mfanyabiashara.
MAKAZI YAKE: Sinza , Dar
AMEYAPATAJE MAKALIO HAYO?
“Tangu nilipokuwa mdogo nilikuwa na wowowo ila nilipoingia ukubwani ndipo yalipoongezeka zaidi, hili ni orijino, siyo Mchina”.
USUMBUFU ANAOKUTANA NAO
“Walahi najuta kuwa na umbile hili, yaani wanaume wananisumbua ile mbaya ila sina jinsi nawavumilia tu.”
ANATAMANI KUPUNGUA?
“Kwa kweli natamani sana kupungua kwa sababu hii imeshakuwa kero kwangu.”
KUHUSU MAVAZI
“Huwa napenda kuvaa magauni mafupi yanayonishepu, mini sketi na taiti maana ndiyo nguo zinazonipendeza zaidi.”
SAIZI YA NGUO YA NDANI
“Sijui hata navaa saizi gani maana huwa nanunua tu siangalii saizi.”