Tuesday 31 May 2011

AWILO LONGOMBA&MAGIC SYSTEM STOCKHOLM SHOW 03-JUNE





MCHAKATO MWINGINE HUU

 Mchakato wa kununua meli mpya umeanza
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa mchakato wa kununua meli mpya kwa ajili ya kusafirisha abiria katika Ziwa Victoria umeanza kwa ajili ya ununuzi wa meli hiyo.

Rais Kikwete amesema kuwa kwa sasa wataalamu washauri wa kupatikana kwa meli hiyo, yaani Kampuni ya OSK-Ship Tech ya Denmark, tayari wamekamilisha upembuzi yakinifu juu ya aina ya meli inayofaa kwa matumizi katika Ziwa Victoria.

Rais Kikwete amesema kuwa fedha za ununuzi wa meli hiyo zitatengwa katika Bajeti ya Serikali ya mwaka 2012/2013 baada ya kuwa maandalizi yote ya ununuzi wa meli hiyo kuwa yamekamilika.

Aidha, Rais Kikwete amesema kuwa kazi ya tathmini ya kuzikarabati meli za Mv Victoria, Mv Umoja na Mv Sengerema ambazo zote zinatoa huduma ya usafiri wa abiria na mizigo katika Ziwa Victoria umefanywa na sasa fedha zinatafutwa kwa ajili ya kuanza kazi yenyewe ya ukarabati.

Rais Kikwete ametangaza hayo leo, Jumatatu, Mei 30, 2011, wakati alipokuwa akizungumza na wananchi wa eneo la Usagara, Bukumbi, Wilaya ya Misungwi, Mkoa wa Mwanza, kabla ya kuzindua rasmi barabara ya lami ya kilomita 90 kutoka Usagara hadi Geita.


Amewaambia wananchi hao, “Kwa upande wa usafiri katika Ziwa Victoria, ninafurahi kuwafahamisha kwamba mchakato wa kununua meli mpya umeanza. Hivi sasa wataalam washauri, yaani Kampuni ya OSK-Ship Tech ya Denmark, wamekwishakamilisha upembuzi yakinifu juu ya aina ya meli itakayofaa katika Ziwa Victoria.”

Ununuzi wa meli hiyo utakuwa ni utekelezaji wa ahadi aliyoitoa Mheshimiwa Rais Kikwete wakati wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu mwaka jana wakati alipowaahidi wananchi wa mikoa ya Ziwa kuwa Serikali yake ingenunua meli ya kusafirisha abiria ndani ya Ziwa hilo kuchukua nafasi ya Mv Bukoba iliyozama miaka 1996.

Tokea kuzama meli hiyo miaka 15 iliyopita ambako watu wanaokadiriwa kufikia 1,000 pia walipoteza maisha, Serikali haijapata kununua meli nyingine kwa ajili ya usafiri wa abiria katika Ziwa hilo na wasafiri wameendelea kutumia meli ndogo zaidi.

Mbali na Ziwa Victoria, Rais Kikwete pia aliahidi kununua meli ya abiria katika Ziwa Nyasa kuchukua nafasi ya Mv Mbeya iliyozama katika Ziwa hilo. Aidha, aliahidi kununua meli kwa ajili ya usafiri wa abiria katika Ziwa Tanganyika ambako meli inayosafirisha abiria ya Mv Liemba imekuwa inatumika kwa miaka 100 na imechoka na kuchakaa.


Imetolewa na:

Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu,
DAR ES SALAAM.

30 Mei, 2011

NI VIZURI RAIS ANAPOKUMBUKA AHADI ZAKE NA KUZITIMIZA,LAKINI HAPO NILI-BOLD KIDOGO NNA MASHAKA.HATA HIVYO TUFANYE SUBRA.

Monday 30 May 2011

"HEJ"


ni kutoka kwa bw.milton

Think tank: cut wages to boost immigrant jobs



The government should work to cut wages in low paid jobs so that more new Swedes can get into the labour market, according to Swedish free market think tank Timbro.
Swedes born overseas are often in work, but not as often as Sweden-born citizens and Timbro has argued in a new report that high wages for jobs requiring little or no formal qualifications are a problem.

"More would have found work if there were jobs with lower wages than there are today," said Jenny von Bahr at WSP Analys & Strategi, the firm commissioned to compile the report.

According to von Bahr the reasoning has its basis in elementary economic theory - cut the price of something then you increase demand.

"The government has ignored this. They have had a one-sided focus on various reception measures," she said, referring to assistance offered to the jobless in the form of training and education in order to break into the labour market.

When asked if a person should be able to survive on their salary, she replied:

"You have to have your first job at some point. Integration increases if you get a job, even if your first is not really well paid," von Bahr said.

Lasse Thörn at the Swedish Trade Union Confederation (Landsorganisationen – LO) did not agree with Timbro's analysis.

"Lower incomes cut purchasing power. If employers have goods to produce they can manage it with the base level salaries that are in place today."

The migration minister Tobias Billström, integration minister Erik Ullenhag and labour market minister Hillevi Engström are on Monday engaged in a full-day seminar to discuss employment among overseas-born Swedes.

thelokal

DK SLAA ACHAFUA HEWA UCHAGUZI CHADEMA


BARAZA la Vijana la Chadema (Bavicha), limepata viongozi wapya katika uchaguzi uliotawaliwa na mizengwe na vurugu zilizotishia usalama wa wapigakura.Habari zilizolifikia gazeti hili jana zilieleza kuwa, vurugu hizo zilichochewa na kitendo cha Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk Willibrod Slaa (pichani) kuonyesha visu alivyodai kuwa vilikamatwa na walinzi wa chama hicho jana asubuhi.

Mbali na kuonyesha visu kadhaa, Dk Slaa alitangaza kuenguliwa kwa wagombea watatu wa nafasi ya uenyekiti; Bernard Saanane, Greyson Nyakarungu na Mtela Mwampamba kwa madai ya ukiukaji wa maadili.

Dk Slaa aliwaeleza wapigakura kuwa kamati ya ulinzi ya chama hicho pia ilibaini kuwapo kwa mabaunsa waliodaiwa kupandikizwa katika mkutano huo kwa lengo la kuuvuruga.Alisema watu hao waliletwa na baadhi ya wagombea wa nafasi za uongozi ambao kimsingi chama hicho kilikuwa kimebaini kuwa ni mamluki waliopandikizwa kwa lengo la kuvuruga uchaguzi huo. Kuhusu wagombea walioenguliwa, Dk Slaa alidai kuwa kuondolewa kwao kumetokana na kukiuka maadili.

Baadhi yao ndani ya mkutano huo walionyesha huzuni kutokana na uamuzi huo uliodaiwa kuwa ni mgumu kuwahi kufanyika katika vyama vya siasa.“Ingawa chama kinasema kimechukua hatua hiyo kwa malengo mahususi, mimi bado ninapata shaka kama kweli hakuna mgombea ambaye hajafanya kampeni kabla ya wakati,” alisema mjumbe mmoja kwa sharti la kutotajwa gazetini.

Hata hivyo, matokea ya uchaguzi huo yaliyotangazwa saa 12 asubuhi jana na Dk Slaa baada ya kukamilika kwa shughuli ya kuhesabu kura iliyofanyika usiku kucha. Akitangaza uamuzi huo uliochafua hali ya hewa ndani ya ukumbi wa mkutano saa tano usiku juzi, Dk Slaa alisema uamuzi huo ulifikiwa na kamati ya uchaguzi iliyoundwa na watu sita  ikiongozwa na yeye.Akifafanua sababu za kuenguliwa kwa wagombea hao, Dk Slaa alisema inatokana na wao kujihusisha na vitendo vya ukiukaji wa maadili ya chama hicho kwa kupiga kampeni kabla ya muda uliopangwa.

“Nafasi mnayowania ni kubwa na ina umuhimu wake kwa taifa. Kwa kuwa sisi sera yetu kubwa ni kupinga vitendo vya ufisadi na kusimamia maadili hatuwezi hata siku moja kuruhusu vitendo vya ukiukwaji wa maadili kufanyika ndani ya chama chetu,”alisema Dk Slaa na kuongeza:
“Tulikubaliana kuwa kampeni zitapigwa ndani ya ukumbi wa mkutano, lakini wapo wagombea wamekiuka agizo hilo na kupiga kampeni kabla ya muda. Tunao ushahidi kuwa wapo waliofanya hivyo katika maeneo ya Kinondoni, Manzese na hata jana (juzi) makao makuu,”alisema Dk Slaa.

Chadema imara
Alisema Chadema siyo chama cha makundi bali ni cha watu wote chenye dhamira ya kulikomboa taifa na kusisitiza kuwa kitaendelea kuchukua hatua kila kinapobaini kuna sababu za kufanya hivyo.

Kwa mujibu wa Dk, Saanane alitajwa na wajumbe wanane wa mkutano huo kuhusika na vikao vya siri, mara nane katika kukigawa chama kimakundi na mara tatu alitajwa kutaka kujitoa baada ya kuingia ukumbini. Mgombea mwingine aliyekuwa na tuhuma kama hizo ni Nyakarungu ambaye naye alitajwa na wajumbe wanane akidaiwa kufanya vikao vya siri mara nane, kukigawa chama katika makundi na mara tatu kuhusika na vitendo vya rushwa.

Kuhusu Mwampamba alisema yeye alikataa tuhuma zote zilizokuwa zimeelekezwa kwake, lakini baadaye alikiri jambo lililofanya kamati hiyo kuona kuwa ni mwongo na hafai kuwa kiongozi. Katibu huyo mkuu alisema Chadema inachukua hatua hizo kwa vitendo ili kuhakikisha inatekeleza kwa vitendo suala la maadili ya viongozi na kupinga kwa nguvu zote vita dhidi ya ufisadi.

“Sisi (Chadema) tunajinadi kupambana na vitendo vya ufisadi, sera yetu tunayosimamia ni maadili, katika kutekeleza hilo kwa vitendo ni lazima tuanzie ndani na ndipo tutoke nje,”alisema Dk Slaa.
Baada ya maelezo hayo, Dk Slaa alimtangaza John Heche kuwa mshindi wa nafasi ya mwenyekiti wa Bavicha baada ya kuwabwaga wapinzani wake watano.

Alisema Heche aliibuka mshindi kwa kura 143 sawa na asilimia 53.6 kati ya kura zote 239 zilizopigwa. Heche alishinda nafasi hiyo ya uenyekiti ambayo ataishika kwa miaka miwili.Awali, ilikuwa ikiongozwa na kamati ya muda chini ya mbunge wa Ubungo, John Mnyika kufuatia kuvunjika kwa mkutano mkuu wa uchaguzi mwaka 2009.

Wagombea wengine wa nafasi ya mwenyekiti waliopambana na Heche ni Aidan Sadick, Bernard Mao, Deogratius Kisandu, Edwin Soko na Masoud Suleman.

Dk Slaa pia aliwatangaza Juliana Shonza kuwa mshindi wa nafasi ya makamu  mwenyekiti (Bara) na Sharifa Suleiman Hamisi kwa nafasi hiyo Zanzibar.Walioshinda ujumbe wa baraza kuu ni Edward Kinabo, Frank Fumpa, Zainab Mussa Bakari na Alex Mushi. Uchaguzi huo wa Bavicha umefanyika baada ya kushindikana Septemba mwaka 2010, kufuatia vurugu ambapo uongozi wa Chadema ulilazimika kuusimamisha.
chanzo:mwananchi

Deadly bomb blast at army barracks in nigeria

 Goodluck Jonathan, file pic
nigeria president goodluck jonathan


At least 10 people have been killed and about 20 injured in a bomb blast near an army barracks in northern Nigeria, local officials say.
The explosion hit the Mamy market in the city of Bauchi late on Sunday. The injured were taken to hospital.
No group has so far said it carried out the blast.
It came just hours after Goodluck Jonathan was sworn in as Nigeria's president for a new four-year term in the capital Abuja.
Another - smaller - explosion hit a beer parlour on the outskirts of Abuja, causing minor injuries, officials say. The cause of the blast was not immediately known.
Popular spot
The blast at the popular Mamy market happened at about 2000 local time (1900 GMT), officials said, describing it as "powerful".
 Mr Jonathan secured nearly 60% of the vote in April's elections
Other reports say there were three explosions in quick succession.
"There were lots of people since it's a Sunday evening. People were relaxing, eating and drinking," Bauchi state police commissioner Abdulkadir Indabawa was quoted as saying by the AFP news agency.
Army barracks in Nigeria sometimes contain small market areas where traders sell food, drink and other goods to soldiers and civilians.
All roads leading to the barracks were sealed off by security personnel.
Earlier on Sunday, Mr Jonathan was sworn in as president during a lavish ceremony in Abuja, following his clear election victory.
Mr Jonathan was promoted from vice-president after Umaru Yar'Adua died in office in 2010.
The April election was largely considered free and fair, but hundreds of people were killed in three days of rioting following the announcement of the result.
Mr Jonathan, 53, won nearly 60% of the vote.
He is a southern Christian and had defeated his leading challenger from the mainly Muslim north.
Analysts say that Mr Jonathan will have to tackle the continuing Christian-Muslim conflict and also the simmering tension in the oil-producing Niger Delta.

BBC

Sunday 29 May 2011

bus crash in pedestrian square slussen


The driver lost control of the number 55 bus bound for Sofia as she attempted to pull in at a bus stop. Instead the vehicle rolled down a set of steps and into a crowd of pedestrians at the busy Södermalmstorg square.

Police investigating the accident said it appeared that the engine had revved as the driver attempted to bring the bus to a halt.

”We have lots of witnesses and many of them are very shocked by what they saw,” said police inspector Stefan Färdigs.

One man was seriously injured when the bus careered into the crowded pedestrian square. Five others, including a 17-month-old-child, were treated for minor injuries. The child’s stroller was crushed by the vehicle before the bus came to a halt at the steps leading to the Stockholm City Museum.

A reporter for news agency TT said the square “resembled a war zone” immediately after the accident.

Stockholm’s streets were crowded at the time as people thronged to catch sight of the runners in Saturday’s Stockholm marathon.

Tests showed that the driver was not under the influence of alcohol.

“The bus driver is in shock and was taken to hospital but does not have any physical injuries. She has been driving with us for more than ten years,” said Martin Hägglund at Keolis Sverige, a transport company that operates services for the Stockholm public transport system.

Hägglund said the bus had been in for repairs three days earlier due to a faulty brake pedal.

“But it’s hard to see that there might be a connection with this accident. Buses are regularly taken in for repairs.”

The 15-year-old Scania bus was inspected and serviced in mid-April. It was scheduled to be taken out of service later this year since 15 years is the upper age limit for buses plying routes in the Stockholm region.

Bengt Bryungs, chair of the transport section at the Swedish Municipal Workers Union (Kommunal), praised Keolis’ track record and said the age of the bus should not matter unduly if the vehicle was well maintained.

“They have a very good service level and a high level of safety. My impression is that they maintain a good standard,” said Bryungs.

A second driver who operated the bus earlier in the day said there had been no problems with the vehicle.

Stockholm police have indicated that they will conduct a full examination of the vehicle and question the driver as they investigate the cause of the accident.

thelokal

Friday 27 May 2011

Babu ataka vizuizi, ushuru vipunguzwe


 Send to a friend
Thursday, 26 May 2011 22:39
MCHUNGAJI Mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Ambilikile Mwasapila, ameiomba serikali kupunguza vizuizi vya barabarani na  vituo vya kudai ushuru kwa magari yanayopeleka wagonjwa Samunge kwani vimekuwa kero kwa wagonjwa.

Mchungaji Mwasapila aliliambia gazeti hili jana kuwa baadhi ya vizuizi vya barabara na vituo vya ushuru wa magari hayo vimegeuka vitegauchumi vya baadhi ya watu

"Wagonjwa na madereva wanalalamika kunyanyaswa katika vizuizi kwa kudaiwa fedha bila sababu na pia kuwapo mlolongo wa ushuru barabarani, hasa kwa magari toka nje ya nchi, nadhani sio haki,"alisema Mwasapila.

 Alisema kwa sasa kutoka mpakani mwa Tanzania na Kenya na kutoka wilayani Bunda hadi Samunge kuna vizuizi vya barabara zaidi ya saba na vituo zaidi ya vitatu vya ushuru.Katika hatua nyingine, raia wa Uingereza na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), wakiwamo maofisa wa jeshi, jana walitua Samunge na kupata tiba.

Raia hao wa kigeni, walitua Samunge kwa helikopta mbili za kukodi wakitokea uwanja wa ndege wa Arusha
Waingereza waliotua Samunge wanatoka katika Mji wa London, ambao ni Manoj Jethwa, Keval Jethwa, Dharika Jethwa na Nita Jethwa.

Wakongo waliojitambulisha walikuwa ni Mbuyi Meda, Nyago Mulonda na  Foola la Eutche ambao katika kundi hili mmoja aliyetajwa ni brigedia katika jeshi la Kongo.Pia, jana kulikuwa na raia 250 kutoka nchini Kenya ambao walifika kijijini hapo na kupata tiba kisha kuondoka muda mfupi baadaye.

mwananchi

ALICHOSEMA LOTUS BAADA YA KUTOLEWA B.B.A

ASULUBIWE!!!!!


bahati yao wako hukoo hawa,wangekuwa hapa wangefungwa mpaka wakome

Thursday 26 May 2011

Nato yaishambulia Libya usiku kucha

Takriban milipuko mikubwa mitano imeitikisa Tripoli usiku kucha, wakati harakati za majeshi ya umoja wa nchi za kujihami za Ulaya Nato zikiendelea kwenye mji mkuu wa Libya.
Kwa usiku wa pili, mashambulio ya anga yalilenga ngome ya Bab al-Aziziya ya Kanali Muammar Gaddafi.
Nato inatekeleza azimio la umoja wa mataifa la kulinda raia wa Libya, kufuatia maandamano dhidi ya uongozi wa Kanali Gaddafi.
Lakini Urusi, ambayo haikuunga mkono azimio hilo, imesema uvamizi huo ni ukiukwaji wa umoja huo.
Mwandishi wa BBC Andrew North mjini Tripoli alisema mashambulio ya Jumanne usiku si makubwa kama yaliyofanyika Jumatatu usiku, lakini bado yalitikisa majengo eneo kubwa.
Moshi ulionekana kutanda kwenye mji huo.
Nato ilisema ngome hiyo ya Bab al-Aziziya imekuwa ikitumika kama kituo cha majeshi na magari ya kijeshi yaliyotumika kushambulia raia.
Lakini serikali ya Libya imesema Nato inajaribu kumwuua Kanali Gaddafi na mashambulio ya usiku yanawatisha raia wa Tripoli.

bbcswahili

Unemployment up among immigrant youth

Youth unemployment among immigrants has risen sharply despite a record number of vacancies in the Swedish labour market.

Unemployment among foreign-born young people has increased by more than three percent over the past year at the same time as it has declined by ten percent among Sweden-born.

"They are a vulnerable group with a fragile educational background which we have seen find it hard to take advantage of the upswing," said Tord Strannefors, forecasting director at the National Public Employment Service (Arbetsförmedlingen).

More than every fifth young person with an immigrant background lacks high school qualifications and twice as many get stuck in long-term unemployment in comparison with Sweden-born counterparts.

"This is serious. There is a risk that will be excluded from the labor market," Strannefors said.

Many also feel discriminated against because of their background.

"Sweden has great ambitions for integration. But there is nothing in practice," said one young job-seeker.

"Employers must get accustomed to having people with different backgrounds in the workplace. Many have never had it, they hire through their own networks and then it is only Swedes."

The image of the fragmented labor market is both alarming and of concern, according to Sweden's integration minister Erik Ullenhag.

"If you as a young and foreign-born do not secure a foothold in the labor market the risk is that you feel a very weak connection to society. You feel that that there is no future," Ullenhag said.

The reasons behind the increase in unemployment within the group is explained by the international crisis and economic downturn, Ullenhag said.

"We know that in a situation where the economy is declining, it is mainly young and foreign-born who are not able to establish themselves or remain in the workforce."

Ullenhag identified education and schools as having a key role.

"To break the cycle more investments are required. Secondary schools have a key role, as well as an apprentice system that will soon be launched in full," he said.

Ullenhag also said that a review of the system of income support (socialbidrag) could be required.

"This is a group that is likely to be dependent on income support and there we need to consider whether we can have a clearer line on jobs."

thelokal

AFRICAN CULTURE MEGA PARTY IN STOCKHOLM

awilo longomba
Magic System and Awilo Longomba ( with dancers ) are scheduled to perform at the Africa Culture Mega Party 2011 on Friday the 3rd of June at Münchenbryggeriet in Stockholm Sweden . From Ivory Coast, Magic System with full live band will be rocking the city with their electrifying blend of magic system’s zouglou, an Ivorian pop-dance style.
Magic System have entertained audiences worldwide.
magic system
Recent Magic System tracks have gone even more global, incorporating South Asian bhangra drumming and collaborations with Algerian Rai star Khaled. Now widely considered the leading ambassadors of Afro-pop,
Awilo Longomba, the Congolese  african music superstar makes history as a 2 time winner 2009/2010 and 3rd time nominee for Best Soukous Entertainer 2011 at Irawma Awards to be held in Tridad & Tobago may 28th2011. Making Awilo one of the most demanded african artist i the World.
The show will also Feature Sweden based MAKONDE and URKRAFTThe Stockholm based makonde band fronted by singer-basist ,songwriter Kasule will spice up the evening with their east african soukous-highlife, some injections of African-rumba salsa.
Sammy and christina frank of makonde
URKRAFT meanwhile will feature in live performance by dancers and a collection of acclaimed drummers (Guinea, Gambia, Elfenbenskusten) combining an array of drumming styles… authentic African beats in an exhilarating live collaboration together with the dancers…and taking the crowds on a rhythmic motherland vibes journey.
4 STAGES . 4 DANCEFLOORS . 4 SOUNDSYSTEMS
Djs MIKE & MALEEQ – Swagga floor
Dj MAGNUS ( Multi Kulti ) – Orient Floor
Djs HUMBAL CREW – Mbalax Floor
Djs JIM. DUTTY P & RAS I DOOR -Reggae/Dancehall floor
VENUE: MÜNCHENBRYGGERIET
ADR: TORKEL KNUTSONGATAN 2. T- MARIATORGET
TIME: 20.00 – 03.00
AGE: 18.00
Tickets :
https://secure.zeticket.se/
Vison’s Butik 08-4620665
Taj Mahal 08-212281
Mawdo’s Streetwear 08 7508887
Soundkilla 08-6541400
For more
tim.maestro@gmail.com

Wednesday 25 May 2011

Dekula Band"Ngoma ya Kilo live at Lilla Wien"sodra station"



 hiki kionjo tu,ukitaka kupata mabo haya live njoo sodra station



Dekula Band"Ngoma ya Kilo"
 Place:Lilla Wien"Little Nairobi"
 Date:27-28 May/03-04 June 2011
 Time:21.00-01.00
 Add:Swedenborgsg.20
 Pendel:Södra Station

NURU THE LIGHT & BOB JUNIOR NEW HIT-MUHOGO



eehe muhogo weeeee wa naziiii weeeeeeeee,eeeh muhogooo weeeeee wa kachumbareeeeeeeeee eeeeeh muhogo weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.

safi sana,soon namimi ntaanza kuimba wadau kaeni tayari.si naweza eeeh?natumai hamtanidai kiingilio

New asylum policies pave way for boost in forced deportations

Forced deportations of rejected asylum seekers are expected to increase by 30 percent compared to last year due in part to Sweden's new asylum policies.
Earlier this year, the centre-right Alliance government and the Green Party reached an agreement to overhaul Sweden's immigration and asylum policies.

One of the key elements of the agreement was a promise to ensure that asylum seekers who had their applications rejected would leave the country quickly.

In an effort to come up with new ways to carry out deportation orders more quickly, police in Skåne have implemented a special surveillance team to track down rejected asylum seekers, the Dagens Nyheter (DN) newspaper reports.

The squads—sometimes acting on tips from members of the public—carry out inspections at workplaces and detain those who lack residence permits.

"Those who lack residence permits often work for very low wages. I can imagine that customers should realise that something isn't right if it costs only 50 kronor ($8) to have your tires changed," Petra Stenkula, head of the Skåne border police, told DN.

The more active method has shown results. Between January and March, authorities in Skåne carried out 115 deportations compared to 81 during the same period in 2010.

The latest forecasts project that 3,200 people will be forcibly deported from Sweden this year, a roughly 30 percent increase from the 2,500 people who were forcibly deported last year, DN reports.

A continued bottleneck in Sweden's efforts to deport rejected asylum seekers is a lack of holding facilities.

Currently, there are only 230 spots in the entire country which often results in frustration on the part of police who locate people who are avoiding deportation orders only to discover there is no place to put them.

"When politicians now say that returning is important it feels strange that there aren't more places," said Filippa Nordfelt, a section head with the Migration Board (Migrationsverket), to DN.

"We probably need 500 spots. But that's expensive. At the same time, our goal is to reduce the time people spend in detention."

A consultant report which helped motivate the Skåne police to look at new methods for dealing with the issue, also proposed that more people who have been handed deportation orders should be kept under observation rather than placed in detention.

Source:thelokal

Nato night raids on Gaddafi Tripoli compound

At least five large explosions have rocked areas of Tripoli overnight, as the Nato military campaign on the Libyan capital continues.
For a second night, the air strikes targeted the area around Col Muammar Gaddafi's Bab al-Aziziya compound.
Nato is enforcing a UN resolution to protect Libyan civilians, following the uprising against Col Gaddafi's rule.
But Russia, which did not back the resolution, has said the raids are a violation of its terms.
The BBC's Andrew North in Tripoli said Tuesday night's strikes were not as large as those on Monday night, but still shook buildings over a wide area.
Large plumes of smoke could be seen drifting over the city.
Nato says the large Bab al-Aziziya compound has been used by the regime as a base for troops and vehicles used to carry out attacks on civilians.
But Libyan authorities say Nato is trying to kill Col Gaddafi and that the night-time strikes are terrorising Tripoli residents.
 
End Quote Russia foreign ministry
Rebels control much of Libya's east, but Col Gaddafi's forces are still in control of most of the west of the country.
Attack helicopters
A senior Nato official said the regime had become "very apathetic" in the last fortnight.
"It has lost the military initiative and appears on the defensive, which is a sign that we are on the right path," the unnamed official was quoted as saying by the AFP news agency.
French Foreign Minister Alain Juppe also insisted on Tuesday that the strikes were having an effect, with resistance to Col Gaddafi growing in western Libya and an increase in the number of defections from the army.
Rebel fighters near Misrata, Libya (24 May 2011) The anti-Gaddafi rebels are largely in control of western Libya
"I can assure you that our will is to ensure that the mission in Libya does not last longer than a few months," he told the French parliament.
France has announced it is deploying attack helicopters to escalate their strike power. The UK has said it is considering doing the same.
But Russia has condemned the air strike strategy, saying it is "in no way moving us closer toward achieving the overall goal of quickly ending the armed conflict".
"Air strikes are not stopping the military confrontation between the Libyan parties and only creating more suffering among peaceful civilians," Russia's foreign ministry said in a statement.
The rebellion against Col Gaddafi's rule began in February, spurred on by uprisings in Tunisia and Egypt that saw the presidents of those countries overthrown.

BBC

kuuzwa mitambo ya dowans kwazua balaa

KUUZWA kwa mitambo ya Dowans kwa kampuni ya Kimatekani ya symbion Power kumezua balaa jipya baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kuombwa
iwakamate wahusika wa mitambo huyo kukamatwa na kupelekwa gerezani kwa kudharau mahakama.

Aliyetoa maombi hayo ni Mwandishi wa habari mwandamizi anayepinga Tuzo ya Dowans iliyotolewa na Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Migogoro ya Kibiashara (ICC) kusajiliwe na Mahakama Kuu ya Tanzania, Bw. Timoth Kahoho.

Bw. Kahoho aliwasilisha ombi hilo jana mchana akiwataka wakurugenzi wa Dowans Holdings SA na Dowans Tanzania Limited kukamatwa baada ya kudaiwa kuuza mitambo ya Dowans kinyume na kauli ya mahakama iliyotaka kampuni hiyo kutoa taarifa mahakamani kwa chochote ikatakachotaka kufanya.

Mnamo Machi 3, mwaka huu, Jaji Emilian Mushi anayesikiliza kesi ya kuomba kusajiliwa kwa tuzo ya Dowans alitoa amri ya kutaka pande zote mbili katika kesi hiyo 'kuacha mambo yote kama yalivyo' na endapo watataka kufanya jambo lolote wangepaswa kuomba kibali cha mahakama.

Katika ombi lake la dharura, Bw. Kahoho anadai kuwa wakurugenzi wa Dowans wamekwenda kinyume na agizo hilo baada ya kudaiwa kuuza mitambo ya kampuni hiyo bila kuomba kibali cha mahakama. 

Katika maombi hayo, Bw. Kahoho alidai kuwa taarifa za madai ya kuuzwa mitambo ya Dowans ziliandikwa na gazeti la The African la Mei 21 mwaka huu, lilichapisha habari mitambo ya Dowans imeuzwa kwa kampuni ya Symbion Power ya Marekani kwa thamani ya dola za Marekani 120.

Sambamba na ombi hilo, pia Bw. Kahoho ambapo kwa mujibu wa hati yake ya maombi, anaiomba mahakama itoe amri ya kuwataka wadaiwa hao waweke dhamana dola la Marekani 120 kama dhamana, na walimpe gharama za kesi hiyo aliyoifungua jana.

Hata hivyo ombi hilo ambalo limewasilishwa chini ya hati ya dharura bado haijapangiwa jaji wa kuanza kuisikiliza.

Katika kesi ya msingi ya kupinga kusajiliwa tuzo ya Dowans itatajwa Julai 28, mwaka huu mbele ya Jaji Mushi, mbali na Bw. Kahoho wengine wanaopinga tuzo hiyo ni Kituo cha Kutetea Haki za Binadamu (LHRC), Shirika la Umeme (TANESCO), ambao wanapinga tuzo ya Dowans isisajiliwe.

Mapema Januari 25 mwaka huu, Dowans iliwasilisha ombi lake la kutaka Mahakama Kuu ya Tanzania isajili tuzo waliyopewa na ICC na siku chache baadaye Tanesco, LHCR, Kahoho wakawasilisha hati ya nia ya kupinga ombi hilo la kutaka tuzo hiyo isajiliwe kwa kuwa mahakama hiyo ya kimataifa haikuzingatia sheria za nchi katika hukumu yake.

Mahakama ya ICC, ilitoa hukumu ya kesi ya Dowans dhidi ya TANESCO, Novemba 15 mwaka jana, na kuitia hatiani Tanesco kwa kosa la kuvunja mkataba na Dowans na ikaimuru iilipe fidia ya sh. bilioni 94.

majira

MGAO WA UMEME KUISHA MIAKA MITATU IJAYO


 Send to a friend
Tuesday, 24 May 2011 22:02
 
SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco), limesema mgao wa umeme utaisha baada ya miaka mitatu ijayo.Tanesco wamesema hatua hiyo inatokana na serikali kuacha kuwekeza katika shirika hilo kuanzia mwaka 1997 kwa sababu liliwekwa kwa iliyokuwa chini ya Tume ya Kurekebisha Mashirika ya Umma (PSRC) ili kusubiri kuchukuliwa na mwekezaji.

Hayo yalisemwa jana na Meneja Uhusiano wa Tanesco, Badra Masoud alipokuwa akihojiwa na Redio Clouds.Alisema miundombinu mingi ya shirika hilo imechakaa kwa sababu ni ya siku nyingi.“Mgao haukwepeki, ingawa hatupendi uwepo kwasababu hata sisi unatukosesha mapato.

 “Kutokana na jitihada mbalimbali tunazozifanya tuna imani katika miaka mitatu ijayo mgawo wa umeme utaisha,”alisema.Alisema mgao unaoendelea sasa umesababishwa na kukosekana kwa gesi ya kutosha katika mitambo ya kuzalishia umeme.

Masoud alisema kampuni ya Pan Afrikan inaiuzia Tanesco gesi ambayo inawekwa  kwenye mitambo ya kuzalishia umeme.Alisema ukarabati unaoendelea sasa katika  kisima cha gesi cha kampuni hiyo umesababisha kukosekana kwa gesi ya kutosha kwa ajili ya kuwekwa kwenye mitambo hiyo.

“Wao walisema ukarabati huo utafanyika kwa siku nane kwa hiyo tunategemea  kufikia Mei 26, mwaka huu, mgao utapungua,”alisema.

Alisema pia wanatarajia kununua mtambo wa kuzalisha megawati 50 badala ya kukodisha.Alisema tayari kampuni nyingine imeanza mchakato wa kuzalisha megawati 70 katika eneo la Majani Mapana Tanga kwa ajili ya kuiuzia Tanesco.

Alisema kampuni hiyo ni kati ya kampuni 17 zilizoomba zabuni hiyo na kushinda na kwamba katika kituo cha Ubungo na Mwanza, kuna mipango mingine inaendelea kwa ajili ya kuzalisha umeme zaidi.

Katika hatua nyingine, Meneja huyo alisema wameshindwa kutumia mitambo ya kuzalishia megawati 120 iliyoko Ubungo kwasababu teknolojia yake imepitwa na wakati.Alisema mitambo hiyo ni ya muda mrefu na hata vipuri vyake havipatikani.

mwananchi

Tuesday 24 May 2011

DIAMOND KUTUMBUIZA STOCKHOLM JUNE 10

 
katika europe tour atakyofanya kwa mwezi wa june,aanategemewa pia kutumbuiza hapa sweden tar 10.hivyo mashabiki wote wa mbagaraaaaaaa muandae kurona maana mipakazo ya mwezi huo ni ya kufamtu

BANDUGU VP

POLENI SANA KWA UKIMYA MSIDHANI NILIZIMIKA HAPANA KIDOGO BOX LILIBANA SI UNAJUA TENA MSHIKE MSHIKE HUKU TULIPO SI MCHEZO.SASA HIVI KIDOGO KUNA AFADHALI NA KANAFWASI KA KUWEKA POST KAPO.KWAHIYO TUNAANZA BAK BANDU KAMA KAWA
MAGANGA STYLE

Saturday 21 May 2011

LOTUS NJE B.B.A


Tanzania has two female housemates in the Big Brother Amplified and one of them is Bhoke who is best of friends with Uganda’s Ernest and the other is Lotus who can be best described as the housemate with a pin in her nose.
Lotus was on Friday afternoon disqualified from continuing with the show after she slapped Luclay from South Africa who is up for eviction with three other female housemates.
The announcement was made two hours after biggest fight of the season so far. Biggie said: “The Big Brother House Rules state very clearly that: “Any Housemate who becomes physically violent will be removed from the House immediately.
“In addition, the Rules also make it very clear that:
Housemates will be disqualified by Big Brother if they have broken any of the rules or undermined the world of Big Brother. In this event they cannot return and may be replaced.
The two housemates were involved in a quarrel which later turned physical. Biggie disqualified Lotus and asked her to pack her bags immediately while Luclay was assigned the duty of washing dishes and cleaning the house for as long as he is in the house.
Luclay was involved in another fight with Karen from Nigeria though for this particular fight she lost and opted on crying. Lotus will be the second Big Brother contestant to be disqualified after Hannington Kutesa from Uganda who was disqualified last year for beating up Lerato from South Africa.
Tanzania now joins Angola, Mozambique and Namibia which have one housemate each. Meanwhile, Lotus had voted for her fellow country mate Bhoke to be evicted because she wanted to be the only Tanzanian in the game.

BBA

Friday 20 May 2011

MPAKA MUDA HUU BILA BILA MWISHO WA DUNIA VIPI?

WAUNGWANA MPAKA SASA NAONA NIKO HAI SIAMINI;NAJARIBU SHINGO NA MAGUU KM IKO SAWA NAONA POA TU,LABDA MUNGU KATUPA VISIKU KIDOGO TUTUBU SIJUI,AMA LABDA ANATUSIKILIZIA MPAKA TOMOROW YA KESHO MCHANA  HATUJUI TUENDELEE KUSUBIRI,MIE NAINGIA KULALA TUAMSHANE TUKIONA AU KUSIKIA DALILI MBAYA.
SIKU MWEMA 

HIVI KESHO NDIO MWISHO WA DUNIA TUNAKUFA EEH NILISAHAU


KAMA KWELI BASI KWAHERINI WADAU,MWENZENU NISHAJIVALIA NA SUTI YANGU YA MSIBA ILI NISIENDE UTUPU HUKO,TUNAENDA KUAGANA VIZURI PALE SODRA LEO MAANA HATUJUI KAMA HUO MWISHO UTAFIKA SAA SITA USIKU BASI TUTAKUA PALE.
SIO MBAYA TUKAENDA MBINGUNI NA BENDI YETU YA VUMBI TUKAENDELEZE BURUDANI HUKO JUU.

HALAFU KAMA KWELI BASI SHEIKH YAHYA TUTAMKUTA HUKO KASHAJENGA ATUPANGISHE PA KUKAA MAANA YEYE KAWAHI NAFASI.

VINGINEVYO KAMA HATUJAFA HAYA MANENO YAISHIE HAPA HAPA MAANA HAMCHELEWI KUANZA KESI.

TUTAONANA MBINGUNI AU HAPA HAPA J,TATU

lunch time jana"UGALI DAGAA&BAMIA" enjoy


dagaa na bamia tayari

msosi tayari kwa kuliwa
mahitaji:

*dagaa kiasi
*bamia kiasi
*nyanya (kopo au fresh sawa)
*vitunguu vilivyokatwa katwa 1
*nazi tui(coco milk) 1
*cury powder(ukipenda)
*mafuta vijiko 2
*piri piri 1
*ndimu 1
*chumvi kiasi

matayarisho

weka mafuta yako kwenye sufuria yapate moto,kisha weka vitunguu na dagaa waliooshwa vizuri kwenye mafuta kaanga mpaka vitunguu na dagaa vianze kuwa brown,weka nyanya zilizokatwa au ya kopo huku ukigeuza geuza mpaka nyanya iive (dk5),kisha kamulia ndimu  weka  cury powder vijiko viwili,changanya kwa muda kidogo then weka nazi hapo na kama una youghout ya kupikia weka km huna pia poa tu nazi inatosha,weka bamia na maji kiasi na chumvi ya kutosha,tupia pilipili nzima(km unatumia)funika na acha ichemke pamoja mpaka uone mchuzi umekua mzito na dagaa wameiva.

tengeneza ugali na pakua mboga

baada ya hapo ungoje nini tena zaidi ya kufakamia?enjoy mdau

MTANISAMEHE WADAU HII MENYU ILIKUA JANA,LAKINI SI UNAJUA TENA BAADA YA KUTENGENEZA NIKAIFANYIA THEN NIKAJIKUTA NIMEPIGA MBONJI JUU YA KEYBOARD KWA AJILI YA KUVIMBIWA,LAKINI NIKAONA HAKIJAHARIBIKA KITU LEO MNAWEZA KUIPATA PIA




SHEIKH YAHYA HATUNAYE TENA


YASEMEKANA SHEIKH YAHYA AMEFARIKI GHAFLA LEO MCHANA HUU KATIKA HOSPITALI YA MOUNT UKOMBOZI.

HABARI ZAIDI BAADAYE

UPDATEMnajimu na Mtabiri maarufu Afrika Mashariki na Kati, Sheikh Yahya Hussein amefariki dunia asubuhi hii jijini Dar es Salaam.
Chanzo chetu cha habari ndani ya ofisi ya Sheikh Yahya kimesema mtabiri huyo amefariki dunia wakati akikimbizwa Hospitali ya Ukombozi iliyopo Morocco, jijini.
Sheikh Yahya amekuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa moyo kwa muda mrefu na aliwahi kwenda India kwa matibabu. Habari zaidi tutawaletea katika mtandao huu na magazeti yetu.

SOURCE:GPL

Swedish man accused of sex with sheep

A Swedish man in his fifties who was allegedly caught having sex with a sheep near Alingsås in western Sweden denies being guilty of animal cruelty.

In the beginning of June last year a sheep farmer and his wife heard a curious bleating sound from one of the farm’s pastures. When they went to investigate they were shocked to find a man engaged in sexual conduct with one of the ewes.

“This is an unusual case. Earlier it would have been classified as bestiality but nowadays it is seen as cruelty to animals,” Tomas Tell of the police told daily Göteborgsposten (GP).

The witness reports are in themselves not enough to convict the man of cruelty to animals.

Therefore a specialist veterinary surgeon has been called in from the Swedish Board of Agriculture (Jordbruksverket) as an expert witness.

“Because there were no visible injuries the prosecutor must be able to prove that the ewe has suffered from the unpleasant event,” Tell told GP.

At the trial the specialist will be heard on the subject of sheep physiology and behaviour. But according to GP, the main issue will be whether the ewe has suffered any lasting distress due to sexual abuse or not.

The farmers will have to testify as to what they witnessed the man do with their grazing livestock and the police officer that apprehended the culprit will also be heard during the trial.

Sex crimes against animals have been reported to be on the rise in Sweden earlier this year with an increase in reported cases of sexual mutilation of horses and other livestock.

The man denies the charges, despite the witnesses' claim to have caught him in the act. If found guilty he could be sentenced to anything from a fine to two years in prison.

thelokal.

UKAME.COM... 

ZITO ATAKA NGELEJA AACHIE NGAZI

 Send to a friend
Thursday, 19 May 2011 22:39

NAIBU Katibu Mkuu wa Chadema, Zitto Kabwe amemtaka Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja kuachia ngazi kwa kuwa tangu amekaa kwenye wizara hiyo, mgao wa umeme umekuwa kitu cha kawaida na kusababisha uchumi wa taifa kuporopoka kwa kasi.
Alisema kuwa waziri huyo amekuwa sasa ni waziri wa mgawo badala ya kuwa waziri ambaye angewasaidia wananchi kuondokana na adha ya umeme unaowawezesha vijana na watu wote kufanya kazi.
"Huyu si waziri na hafai kwa kuwa mgawo kila siku saa 16 kukosa umeme ni hatari kwa makampuni, wafanyabiashara na wananchi kwa jumla,"alisema Zitto na kuongeza:
"Umeme wa mwaka huu kutoka Januari hadi Mei, umeikosesha Serikali kiasi cha Sh850 bilioni. Mwaka 2006 mgawo uliozaa Richmond ulisababisha uchumi kushuka kwa asilimia moja, kitu ambacho ni hatari,"alisema.
Kauli ya Zitto imekuja wakati Tanesco ikiwa umetangaza kuanza kwa mgawo wa umeme ambao ulianza jana na utaendelea kwa wiki kadhaa zijazo. Mgawo huo wa umeme unaelezwa kwamba utakuwa unadumu kwa saa 16 kwa siku na hivyo kuathiri shughuli za kiuchumi.
Alisema kuwa aliposema kuwa Serikali haina fedha hivi karibuni alishambuliwa na viongozi wa Serikali, lakini taarifa yake imewaamsha kwani Serikali na kutaka mishahara iwe inalipwa tarehe 25 ya kila mwezi.
"Nimeambiwa Wizara ya Fedha na Uchumi imewaagiza wakuu wote wa Serikali kuwa ikifika kila tarehe 25 ya mwezi lazima wafanyakazi wawe wamelipwa la sivyo watawajibishwa,"
"Tumekwenda vijijini kabisa ambapo raia wa nchi hii wanaishi pamoja na wakulima ambao ni uti wa mgongo wa taifa, lakini hali zao ni mbaya na Serikali inaendelea kuwakandamiza wananchi hao na hawana pa kusemea,"alisema Zitto.
Mbowe na mauaji Tarime
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe jana alitoa tamko la chama kuhusu mauaji ya Tarime akieleza kuwa haiwezekani polisi wakaendelea kuua raia hivyo wanahamia Tarime mpaka kieleweke.
"Tutahamia Tarime kwa kuwa kwa mujibu wa taarifa ya awali hakuna raia ambaye alipigwa risasi kwa mbele hivyo inaonekana walikuwa wakikimbia hata kama wana makosa wameuawa kikatili,"alisema Mbowe.
Mbowe alisema kuwa hawaendi Tarime kuwatetea wahalifu bali wanakwenda kuwahakikishia haki inatendeka.
Dk Slaa amkaba Membe
Wakati huo huo Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa amemshangaa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernad Membe kwa kueleza kuwa Tanzania ni nchi inayojitegemea na yenye Rais, lakini walipoletewa barua kutoka SFO kuhusu Andrew Chenge, hawakuchukua hatua.
Dk Slaa alisema ni bora hizo fedha ambazo Serikali ya Uingereza inataka kuzitoa kwenye NGO ziende huko kuliko kuzipeleka serikalini kwa kuwa Serikali iliyopo madarakani ni ya kifisadi.
"Ni bora hizo fedha ziende kwa NGO ambayo inaaminika na kuweza kuwasaidia wanyonge,"alisema Dk Slaa.
Alitumia wakati huo kumtaka Ridhiwani Kikwete kwenda mahakamani kwa siku zake alizotoa kwani hana cha kuweza kumsumbua kwa kuwa ni mtoto mdogo.
Alisema kuwa maisha ya wananchi yameendelea kuwa magumu hivyo ni bora Rais Kikwete akae chonjo kutokana na hali hiyo."Juzi nimejiwa na askari polisi wameniambia kuwa usione tunawapiga mabomu, maisha yetu ni magumu,"alisema Dk Slaa.
Mbunge wa Iringa Mjini, Peter Msigwa aliwaambia wananchi wa jimbo hilo kuwa CCM ni meli inayozama, hivyo wawahi mitumbwi Chadema ili waweze kuokoka."CCM njooni Chadema tuwaokoe kutoka katika meli inayozama na msihangaike kupanga viti katika meli inayozama,"alisema Msingwa.Msigwa ambaye ni Waziri Kivuli wa Maliasili na Utalii, alisema kuwa ata
pambana katika bajeti yake ili kuhakikisha maliasili zinawanufaisha wananchi maskini na si viongozi wa CCM waliokalia ufisadi."Nimeagizwa na chama changu kuhakikisha bajeti ijayo tunabanana na Serikali ya CCM ili kuhakikisha wananchi wananufaika na rasilimali zao,"alisema Msigwa.

Chanzo:mwananchi

Thursday 19 May 2011

FALLY IPUPA LIVE-NYOKALESSE & TSHILENGI-LENGI




Sikia sebene hili la pili lilivyochapwa,huyu jamaa watazomea watafanya nini lakini kama juu yuko juu tu.week end njema .

eeh bado week end soriii

Dekula Band"Ngoma ya Kilo"


Dekula Band"Ngoma ya Kilo"
Place:Lilla Wien"Little Nairobi"
Date:20-21 May 2011 Friday & Sat.
Time:21.00-01.00
Add:Swedenborgsg.20

MCHINA BANA


Nilikutana na hii ngwasuma mitaa ya kati pale HM imebananishwa nikaiangalia vizuri nikakuta ni plastic,ukicheki ni ngwasuma kali la kufuta gamba la nyoka,lakini famba.hii itawafaa wacongo maana wao anakupigia juu DG na HUGO BOSS kisha chini anachomekea na hii hapo dada zetu wanajaa king kwa wiingi.

A.G.T.CRUISE MIPAKAZO TIME

wazee wa kuchapa wakiuliza
"are you ready"

lets goo

shughuli ikaanza hapo


jessie na lily

nikamkuta mr osewe(KSB) kaweka silaha pembeni kwanza anapooza koo


Jawajawabell ndani ya nyumba



mabegi,minyororo,miwai ya jua usiku ni vijimambo tu mdau usikonde ndio tunavyoishi

kuna mahala nilitambulishwa shemeji huyu mara nikamkuta huku anachanganya habari nikachoka



nikamkuta mc mr mbazira naye kabwaga mic sasa anakula sebene

lily na mpui

ohoooo unauliza tena?hapo ni mserereko sebene limechanganya


"yeeahhh"


jawa na fredie






pendo na fredie

jamaa alitufungia kurasa,inaelekea alilala hoi sana siku hiyo
hapo inapigwa nyimbo ya awilo"carolina mamaaaa sebeneee selebuka cha cha cha cha,carolina" pata picha ilikuwaje


MAPHOTO MENGINE KESHO MAANA HATA SIJUI KULIKUCHA VIPI WATU WAKARUDI KUPARY TENA  ASUBUHI