Monday 5 November 2012

NEW TALK OF THE TOWN FRIENDS ARENA STOCKHOLM

 Friends Arena inaaminika ndio uwanja mkubwa wa mpira na matukio mbalimbali in the Nordic countries kwa sasa,inaaminiwa una uwezo wa kuingiza watu zaidi ya 65,000 kama kukiwa na concert ama 50,000 kama kukiwa na mechi.
pia wana uwezo wa kuupunguza na ikafika kufanya tukio la watu mpaka 10,000.uwanja huu ni mpya na umefunguliwa 0ctober 27 nikiwemo ndani pia.kwa sasa mechi zote kubwa kubwa na matukio yote yatafanyikia humo ndani.next week tarehe 8 november Sweden itamenyana na England humo humo ndani pia.
uwanja una uwezo wa kufunguliwa juu na kuufunga pia wakati wa winter na tukio hilo halichukui zaidi ya dk 20,humo ndani kuna lounge zaidi ya 90,na ukumbi mwingine(banquet) wenye uwezo wa kuchukua watu 1600.
 
  

Victoria Crown Princess of Sweden nae alikuwepo na mzee


                                            siku ya ufunguzi na nyomi lilikua si la kawaida




ROXETTE LIVE JUKWAANI
 
hapa ilikua ndio tunaandaa na siku ya ufunguzi




show ikiendelea siku ya uzinduzi
 set-up ladies night last week


 kwenye msafara wa mamba hata vyura tumo kama hutaki shauri yako
                                                                       maeneo ya jikoni
                                                              maeneo yangu ya kupiga round

                         upaparazi kazi,huku shughuli inaendelea huku nalamba taswira kishkaji

                                       hapa ndo fainali fainali tunamalizia shughuli

for more bofya HAPA

No comments:

Post a Comment