Thursday, 5 May 2011

BANZA STONE AJIUNGA NA EXTRA BONGO

BANZA STONE NA ALLY CHOKI

Mkurugenzi wa bendi ya Extra Bongo Kamalade Ally Choki amesema, tayari wamemchukua mwanamuziki machachari na mtunzi mahili Ramadhan Masanja, au Banza Stone kama wanavyomuita mashabiki wake.

Ali Choki ameyasema hayo wakati alipoongea leo mchana kwa njia ya simu, akiwa pamoja na mwanamuziki Banza Stone jijini Dar es salaam, Choki amesema kwamba kutokana na uwezo wa Banza Bendi ya Extra Bongo imeona ni muhimu kumuongeza kwenye safu ya uimbaji na utunzi, pia mwanamuziki huyo mwenye uwezo mkubwa wa kutunga nyimbo.Naye Banza Stone ameithibitishia FullShangweBlog kwamba tayari kila kitu kiko sawa, na yeye ataanza kuonyesha makeke yake katika ukumbi wa Mzalendo Pubu kesho, wakati bendi hiyo itakapofanya onyesho lake kwenye ukumbi huo, uliopo jengo la  Milenium Makumbusho jijini Dar es salaam.

Ameongeza kwamba siku ya ijumaa atafanya mambo pamoja na Extra Bongo kwenye ukumbi wa Meeda aliopo Sinza jijini Dar es salaam, na kwa sasa anatengeneza nyimbo kali kwa ajili ya kuzitambulisha kwa mara ya kwanza katika bendi hiyo
 
 
 chanzo:FullShangweBlog
 
MY WORDS
 
AFADHALI CHOKI UMEMKUMBUKA HUYU JAMAA YAKO BANZA,KWA TUNAOWAFAHAMU MLIKOTOKA TUNASIKIA FURAHA SANA MMEJIUNGA TENA,SASA NI MUDA WA KUPIGA KAZI INAVYOTAKIWA NA TUNATUMAINI KWAMBA BANZA CHINI YAKO CHOKI HESHIMA ITAKUWEPO.

AFRICAN CHALLENGE CUP 2011

Joy for the Tanzanian team
mwaka jana Tanzania walishinda kikombe cha AFRICAN CHALLENGE CUP

Tanzania champions

Junior/Girls 15-19
Junior/Boys 15-19
Senior/Boys 20 and above
Now, time has come for the second Edition of the African Challenge Cup.
The first weekend of July is the date of the launch of the SAAS African Challenge Cup, a tournament which focuses on player’s development.
We believe in Swedish style of football in which young and talented players are given the opportunity to shine.
For this reason, we made an innovation this time by adopting an approach which mixes class and categories, unlike last year when we had categories alone.
Boys and girls who are 15-19 years old belong to the same category and are welcome to form a team. The same case applies to boys who are 20 and above.
In categories 15-19 and 20+, dispensation will automatically be given to two players per team who are one year over-aged at the maximum. Girls may play in boy’s teams in category 15-19.
This approach will allow us to identify organizations or teams which are seriously committed to Youth development while the process will also allow us to identify the stars of tomorrow.
To encourage all participants, the three winning teams in each category will share a prize while the winning team in each category will receive the prestigious trophy of the SAAS African Challenge Cup.
Do not wait!
Note: We believe in the principle of “first come first serve” and therefore, we request interested participants to register their teams as soon as possible to be certain of entry into the tournament. This year, participation will be limited to 24 teams.
We will also allow an Association to have two teams in the same category if there will be room.

Register your team today!
Best regards.
SAAS African Challenge Cup Organizing Team
Mob: 070-352 26 26
Email: info@ac-cup.se
Web: http://www.ac-cup.se/


NB:KILIMANJARO TEAM,RASHID (DEKO) NA HUMPHREY HILI TANGAZO LINAWAHUSU SANA.

Wednesday, 4 May 2011

KIMWANA MWANYWELE WA TWANGA 2011 may 6 SUNCIRRO

SPAIN JAIL PIRATES FOR 439 YEARS!


A Spanish court has sentenced two Somali pirates to 439 years in jail each for their role in the hijacking of a tuna fishing boat.
The two men have been detained in a Madrid jail since they were caught after the attack in late 2009.
The court said government-linked bodies had paid to have the vessel freed, but the government has insisted it does not pay ransoms.
The vessel and 36 crew members were held off Somalia for 47 days.
The Somalis were found guilty of 36 counts of illegal detention and robbery with violence, but absolved of charges of terrorism, membership in an organised crime group and torture.
Maximum sentence
The National Court identified them as Cabdiweli Cabdullahi and Raageggesey Hassan Aji, according to the Associated Press.
Under Spanish law, they will serve only a maximum of 30 years in jail, regardless of the sentence.
They were also ordered to pay 100,000 euros to each person detained.
During the trial, the suspects said they had been fishing and were themselves seized by the pirates who later hijacked the vessel.
The court said "public organisations linked to the Spanish government" had paid for the release of the crew.
Spain's Foreign Minister Trinidad Jimenez said the government did not pay ransoms.
Piracy is a highly lucrative trade in Somalia, where gangs can often demand millions of dollars in ransoms.

bbc

TALIBAN WASEMA OSAMA BADO YUKO HAI

KIONGOZI wa mtandao wa kigaidi wa al-Qaeda,  Osama bin Laden bado yupo hai na mzima wa afya.Washirika wa karibu wa al-Qaeda wa mtandao wa Taliban, umeeleza jana kuwa taarifa za kifo cha Osama hazina ukweli na ni za uzushi na hazina msingi.

Kituo cha televisheni cha GEO mjini Karachi nchini Pakistan limekariri taarifa za kundi la Taliban kwamba Osama yupo hai mafichoni na kusisitiza kwamba mwanzilishi huyo wa mtandao huo yupo salama.

Bin Laden, anayedaiwa kuhusika na mashambulizi ya kigaidi ya Septemba 11, 2001 katika kituo cha kimataifa na Pentagon nchini Marerkani ameripotiwa kuuawa nchini Pakistan na majeshi ya Marekani mapema juzi katika nyumba alikokuwa amejificha.

Rais Barrack Obama wa Marekani alisema mjini Washington kuwa mashambulizi yaliyomua Osama yalitokana na kazi nzuri ya kitengo cha upelelezi cha Marekani.Kwa mujibu wa Marekani, Bin Laden aliishi katika nyumba moja katika mji wa  Abbottabad nchini Pakistan na Obama alisema kuwa nyumba hiyo ilikuwa ikifuatiliwa tangu Septemba mwaka jana.

Televisheni ya Dunya nchini Pakistani imeripoti kuwa katika mashambulizi hayo yaliyomuua Osama na mtoto wake wa kiume huku wake zake wawili na watoto wake sita wakiwa wamewekwa chini ya ulinzi.


Katika hatua nyingine, kundi lingine la Tehrik-e  Taliban la nchini Pakistan limetangaza kulipiza kisasi kwa Marekani kufuatia hatua yake ya kutekeleza operesheni ya kumsaka na kumuua Osama."Tulijivunia uwepo na uwezo wa Osama. Ni lazima tutalipiza kisasi kwa Marekani,"alisema  Ahsan Ullah Ahsan, msemaji wa kundi hilo jana.

Alipoulizwa namna atakavyotekeleza azma hiyo Ahsan alisema:"Tayari tuna watu wetu ndani ya Marekani na tunawatuma wengine zaidi."Osama anatuhumiwa kuhusika na mashambulizi katika balozi za Marekani Dar es Salaam,Tanzania na Nairobi nchini Kenya yaliyotokea na kuua mamia ya watu huku wengine wakijeruhiwa Agosti, 1998.

Akizungumza na waandishi wa habari juzi jijini Dar es Salaam Rais Kikwete alikumbusha mashambulizi hayo ya mtandao wa Osama wa Al Qaida nchini na watu 11 kupoteza maisha na wengine kujeruhiwa.

Alisema katika shambulio pacha ililotokea ofisi za Ubalozi wa Marekani nchini Kenya zaidi ya watu 200 waliuawa.

Rais alisema baada ya mashambulizi hayo uchunguzi ulifanyika na kuonyesha Osama na mtandao wake walihusika na mmoja wa watuhumiwa ambaye ni mtanzania alikamatwa Pakistan na sasa amefungwa gereza la Guantanamo Bay nchini Cuba.

chanzo:mwananchi

Killed Swede's husband wanted 'a way out'


Slain Swede's husband wanted 'a way out'
A British businessman wanted in South Africa on charges of ordering his wife's murder while on honeymoon in Cape Town began his extradition hearing in a London court on Tuesday.

Hugo Keith, a lawyer representing South African authorities, disclosed to Belmarsh Magistrate's Court that Shrien Dewani, 31, had previously told a witness he "needed a way out" of his marriage to Anni, his 28-year-old wife, a native of Mariestad in central Sweden.

"Dewani told (the unnamed witness) in April 2010 how he was engaged and had to get married," Keith said.

"He said although she was a nice, lovely girl who he liked, he could not break out of the engagement because he would be disowned by his family.

"He went on to say to the witness he needed to find a way out of it," added the lawyer.

Dewani was allowed to leave court early on medical grounds and returned to Fromeside Clinic, a secure mental health unit in Bristol, south west England, where he is being held on bail.

He was detained there last month after being kicked out of another hospital for disruptive and aggressive behaviour.

An expert on South Africa's prison system warned that if extradited, Dewani would be targeted by prisoners due to rumours about his sexuality.

"He's likely to be very vulnerable to sexual violence because of certain of his characteristics," Sasha Gear, from Johannesburg's Centre for the Study of Violence and Reconciliation, said by video link.

"The connections that have been made with homosexuality put him at additional risk," she added. "Inmates perceived to be gay are very vulnerable in prison and allegations of homosexuality ... put him at risk."

Anni Dewani, whose family live in Sweden, was shot and killed in a reported carjacking on the outskirts of Cape Town last November.

Speaking with the London Times newspaper, Anni's father Vinod Hindocha expressed hope that Dewani's trial would shed light on the circumstances of his daughter's death.

"We hope and pray we will get all of the answers soon to what really happened to my Anni," he told the newspaper.

"We know that we shall never hear Anni's voice again, but she is in everybody's thoughts and we miss her. Time heals all wounds, but this one gets deeper and deeper. We hope we shall be relieved from the torture soon and get the answers we are begging for."

Zola Tongo, the driver of the taxi in which the young bride and her husband were travelling, said he was paid 1,500 rand ($220) for his role in the murder.

He was sentenced to 18 years in jail after he turned state's witness and implicated Shrien Dewani in plotting to kill his wife.

Dewani denies any involvement

thelokal.