
Friday, 17 June 2011
Thursday, 16 June 2011
MISS AFRICA SCANDINAVIA MICHELLE JENG KATUA DAR LEO

miss africa scandinavia michelle jeng alipowasili dar

Miss Africa Crown Scandinavia 2010 Bi Michelle Jeng akishuhudia kikundi cha ngoma toka Mburahati jijini Dar es salaam wakati kumlaki mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere jana jini Dar es salaam . Bi. Michelle ni mtanzania anayeishi Sweden ambaye alishinda nafasi hiyo na atakuwa nchini kwa ajili ya shughuli za kijamii kama vile kuwatembelea walemavu wa ngozi , waathirika wa mabomu ya Gongo la Mboto na watoto yatima na kuwapa misaada. Picha na Tiganya Vincent, Dar es salaam
NEW SONG IN TOWN-VIFUU TUNDU
kuna mipasho ya kufa mtu humo unaweza kupiga ngumi keyboard yako au kioo.
SUMMER TRAFFIC LIGHT PARTY TOMOROW 21:00 AT RED LINE SÄTRA DNT MISS

DRESS CODE: traffic lightsRED - taken!YELLOW - it's complicatedGREEN - singel, come and get me!
DJ's
Dj Dutty P. (dancehall)
Dj EZ Frank from Sound Of Blackness (hiphop, rnb & african music)
Performances
Step Out Dance Crew (dancehall)
Unbreakables (dancehall)
100kr vid förköp. 100kr in advance
120kr i dörren. 120kr door
When: 17 June
Time: 21-03
18+ ID - IMPORTANT!
- Vid förköp!
skriv ett inlägg till någon av dessa eller ring:
- For tickets in advance!
write to someone of these or call:
Linda L Jordan @facebook - 0720321767
Hallex Berry @facebook - 0737536982
Anette London @facebook - 0736459382
Evaline James @facebook - 0707920146
DJ's
Dj Dutty P. (dancehall)
Dj EZ Frank from Sound Of Blackness (hiphop, rnb & african music)
Performances
Step Out Dance Crew (dancehall)
Unbreakables (dancehall)
100kr vid förköp. 100kr in advance
120kr i dörren. 120kr door
When: 17 June
Time: 21-03
18+ ID - IMPORTANT!
- Vid förköp!
skriv ett inlägg till någon av dessa eller ring:
- For tickets in advance!
write to someone of these or call:
Linda L Jordan @facebook - 0720321767
Hallex Berry @facebook - 0737536982
Anette London @facebook - 0736459382
Evaline James @facebook - 0707920146
Wednesday, 15 June 2011
lunch time leo"STEAMED RED SNAPPER"
unatakiwa kuwa na samaki mzima kama hivi


mix veg,kama hivi

samaki akiwa ready kwa kufungwa
unamuweka motoni iwe mkaa au hata oven max degree

ready!
mara nyingi samaki akiiva huwa anatoa smile la kichoovu km hili kwenye picha
INGREDIENTS
*whole red snapper(changu)
*spring onion,carrot,green pepper
*garlic paste
*fresh lemon
*vinegar
*soy sauce
*salt to taste
*foil paper
*olive oil(or any)
METHOD
cut all veggies in julliene cut(stripes) and keep aside
in a bowl mix olive oil (2tb spoon),soy sauce (2 tb spoon),vinegar (2tb spoon) and garlic paste
cut lemon pieces and put inside fish stomach and head
now cut foil long two times size of fish,then sprinkle half veggies on foil,put the fish on top of veggies,then put 3 tb spoon of mixture of soy,vinegar and oil,then turn the fish around.
sprinkle other veggies left on top of fish,then put the rest of mixture of soy,garlic,vinegar on top
after you can cut another piece of foil same size and put on top of fish,then you start to close foil side by side(carefully)
the folding foil time is more important,you have to close one side by another and make sure you close well so that steam cannot get away from the fish inside.you have to close all for side and after put the fish on fire or oven for 30-45 min it will be ready.
ANGALIZO:
mtasamehe sana waungwana hapo imebidi niweke maelezo kwa ngeli maana mashabiki wa recipe ni wengi na wengine hawaelewi kiswahili,hivyo tutakua tumewapisha tukiandika kwa kimatumbi,kwa hiyo kama kuna ambaye tumemkwaza mtu kwa hilo pole na pia unaweza kujaza maelezo mwenyewe kwa picha.thanx
ANGALIZO:
mtasamehe sana waungwana hapo imebidi niweke maelezo kwa ngeli maana mashabiki wa recipe ni wengi na wengine hawaelewi kiswahili,hivyo tutakua tumewapisha tukiandika kwa kimatumbi,kwa hiyo kama kuna ambaye tumemkwaza mtu kwa hilo pole na pia unaweza kujaza maelezo mwenyewe kwa picha.thanx
RUMBA LA J,TANO-(FERRE GOLA CHANTE FRANCO) MATATA MUASI YA MOBALI
NATUMAI wengi mnalikumbuka hili rumba la marehemu franco si vibaya tukisikiliza huku tunaitafuta week-end taaratibu kama hivyo
Subscribe to:
Posts (Atom)

