Sunday 19 January 2014

Happy Birthday Tamim Strongo Man a.k.a mzee wa Nakos


Leo bwana Tamim bondia wetu wa kijijini Hapa mtakuja Stoconyoko amefikisha miaka yake kadhaa ya kuzaliwa.blog yetu ya kijiji Pia inamtakia maisha mema,na afya njema aendelee kuwatandika Nakos.
Happy Birthday Mkubwa.

Kafikisha miaka mingapi muulizeni mwenyeewe mi sitaki kesi

No comments:

Post a Comment