Tuesday, 3 May 2011

Lady J.D STOCKHOLM SHOW PT-2 SHOWTIME

FREDDIE NA NYUPI

yanga yeye alikua anaongea sana

mrembo wa siku



naxy naxxy aliwaka kinoma

mara shwaaa mo fire show ikaanza


"mnataka niwaimbie nyimbo gani"





mama alikua busy sana siku hiyo naona alipania



"mimi ndo muzee mbegu mutu ya pesa kamata hii"




mzee wa mipango miji mathias hakukosekana


nikaenda kuuza sura kidogo na staa wetu
mmh mrembo toka kenya hapo nae hakuwa nyuma

stanley utamtaka siku hiyo mnyamwezi lazima kuuza nyago sana


hizi pozi dizaini hakieleweki lala salama


dada jack nae alikuwepo
jack,naxxy na brian

hili pozi kichochoroni"dondosha kila kitu chini hapo"

blogga maarufu stockholm osewe kenyastockholm.com/ na adam

politician mr danny mwaura(botkyrka councellor) na colonel samson mande walitufungia ukurasa siku hiyo

Monday, 2 May 2011

Libya inasema mtoto wa Gaddafi ameuwawa


Serikali ya Libya inasema kuwa mtoto mwanamume wa Kanali Gaddafi, pamoja na wajukuu watatu, waliuwawa katika shambulio la karibuni la ndege za NATO dhidi ya Tripoli.
 

Msemaji alieleza kuwa kiongozi wa Libya mwenyewe alisalimika katika nyumba hiyo alimokuwa akiishi mwanawe, Saif Al-Arab Gaddafi.
NATO, kwenye taarifa yake, inasema ililenga pahala pa uongozi wa shughuli za kijeshi, haikulenga mtu maalumu, lakini inasikitika kuwa kuna watu walikufa.
Hakuna maiti waliooneshwa lakini shambulio hilo lililenga eneo la makaazi mjini Tripoli.
Serikali inasema watu wane waliuwawa, yaani Saif al-Arab, mtoto mwanamme mdogo kabisa wa Gaddafi, na watoto wa Saif watatu.
Mwaka 1986, Gaddafi alipoteza mtoto wa kike, katika shambulio la ndege za jeshi la Marekani.

Msemaji wa Libya, Moussa Ibrahim, anasema shambulio la jana ni ushahidi wa wazi kuwa sasa kiongozi wa Libya, na familia yake, wanalengwa.
Punde NATO ilitoa taarifa kusema kuwa inaendelea kulenga vituo vya uongozi vya serikali lakini haiwalengi watu fulani.
Msemaji wa serikali, Moussa Ibrahim anadai kuwa Kanali Gaddafi na mkewe walikuwako ndani ya nyumba hiyo wakati wa shambulio hilo, lakini ni shida kuona vipi aliweza kunusurika bila ya kujeruhiwa, katika uharibifu uliosababishwa na makombora matatu yaliyoangushwa papo kwa papo.
Uchina na Urusi katika baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, zina wasiwasi kuwa NATO inapindukia idhini ya mwaka 1973.

BBC SWAHILI

MZIGO WA MADENI WAWAELEMEA WATANZANIA

MZIGO  wa madeni umeendelea kuwaelemea Watanzania  hususan walalahoi  kutokana na kuendelea kuongezeka kwa deni la Taifa ambalo limefikia zaidi ya Sh10.5 trilioni.
Kwa mujibu wa taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Ludovick Utouh, deni la taifa limeongezeka kwa asilimia 38 kutoka Sh7.6 trilioni katika mwaka wa fedha 2008/09 hadi Sh 10.5 trilioni  mwaka 2009/2010.
Ongezeko hilo limebainika wakati wa ukaguzi wa Fedha za Serikali Kuu katika kipindi cha mwaka wa fedha wa 2009/2010, kilichoishia Juni 30/2010.Kuongezeka kwa deni hilo ni mzigo mkubwa kwa walalahoi kwa kuwa ndio walipaji wakubwa wa kodi mbalimbali licha ya kuwa fukara.
Utouh alibainisha hayo katika taarifa hiyo kwamba jumla ya deni la Taifa kwa kipindi cha mwaka mmoja, limeongezeka kwa zaidi ya Sh2.8 trilioni.Alisema katika kipindi hicho deni la nje liliongezeka kwa zaidi ya Sh2.5 trilioni sawa na asilimia 44, huku deni la ndani likiongezeka kwa zaidi ya Sh521.2 bilioni sawa na asilimia 23.

Mchanganuo huo ulionyesha kuwa Serikali ilikopa kiasi kikubwa cha fedha kutoka taasisi mbalimbali za nje kuliko kiasi kilichokopwa katika taasisi za ndani ya nchi.

“Hii inamaanisha kuwa Serikali ina dhima kubwa katika kuwalipa wadai wa nje kuliko wadai wa ndani, na hii kiuchumi ina maana kuwa kiasi kikubwa cha mtaji katika fedha za kigeni kitalipwa nje ya nchi,” inasema taarifa ya CAG.Taarifa hiyo ilifafanu kuwa uchumi wa taifa, umekuwa kwa asilimia  6.5 tu kutoka mwaka 2008/09 hadi 2009/10. “Hali hii ni ya kutisha kama haitaendana na ukuaji wa hali ya uchumi wa nchi,” ilisema sehemu ya taarifa hiyo.

Mbali na deni hilo la fedha ilizokopa serikali, taarifa ya CAG pia imebaini kuwapo kwa deni lisilotarajiwa la Sh26 bilioni yaliyozihusisha Wizara tisa na Mikoa mitatu, huku CAG akibainisha kwamba madeni kama hayo ni mzigo mkubwa kwa serikali. 

“Hata hivyo, chanzo cha madeni haya hakikuonyeshwa. Madeni yasiyotarajiwa kama haya ni mzigo mkubwa kwa Serikali hasa pale yanapoiva na kutakiwa kulipwa.“Hivyo ningependa kuishauri Serikali  kujiepusha katika kufanya maamuzi ambayo yatasababisha kushamiri kwa madeni yasiyotarajiwa,”alisemaUtouh katika taarifa yake.
Wakati deni la taifa likizidi kukua kwa kiasi hicho, taarifa CAG ilibaini kuwapo kwa  mikopo isiyorejeshwa ya Sh424 bilioni katika kipindi hicho, ikiwa ni ongezeko la Sh7.6 bilioni sawa na asilimia 2 ikilinganishwa na mwaka 2008/09.

Ukaguzi huo umebaini kuwa madeni yamekaa bila kulipwa kwa muda wa zaidi ya miaka mitatu, huku taarifa ya  Msajili wa Hazina ikionyesha kwamba Serikali imeshindwa kuokoa Sh281.8 milioni  kutoka kwa kampuni ya Ginaac Industries Ltd na Sh44 milioni kutoka kwa Mansoons Ltd.

Deni lingine ambalo CAG amelibaini katika ukaguzi wake ni Sh2 bilioni katika  mfuko wa kubadilisha Madeni na Benki, ambalo lilionekana kupotea.

chanzo:mwananchi

yale yalee,pesa inayokopwa haieleweki inaenda wapi na wala inafanya nini,deni linazidi kupanda hela iliyokopwa haionekana,kilio cha watz sijui lini kitasikilizwa tuondokane na huyu luba wa ufisadi aliyetuganda.

OSAMA BIN LADEN KILLED


Al-Qaeda leader Osama Bin Laden has been killed by US forces in Pakistan, President Barack Obama has said.
The al-Qaeda leader was killed in a ground operation outside Islamabad based on US intelligence, the first lead for which emerged last August.
Mr Obama said after "a firefight", US forces took possession of his body.
Bin Laden was accused of being behind a number of atrocities, including the attacks on New York and Washington on 11 September 2001.
He was top of the US' "most wanted" list.
Mr Obama said it was "the most significant achievement to date in our nation's effort to defeat al-Qaeda".
The US has put its embassies around the world on alert, warning Americans of the possibility of al-Qaeda reprisal attacks for Bin Laden's killing.
Crowds gathered outside the White House in Washington DC, chanting "USA, USA" after the news emerged.
Compound raided
Bin Laden approved the 9/11 attacks in which nearly 3,000 people died, saying later that the results had exceeded his expectations.
Last night there were rumours an operation was going on in an area close to Abbottabad. There were unconfirmed reports of a military helicopter crashing in the area as well.
Witnesses said the whole area was cordoned off and nobody was allowed close although they did hear gunshots and firearms. But nobody had any inkling that this was an operation to get Osama Bin Laden.
For those who keep a close on eye on these matters it wasn't a total shock that he was ultimately hunted down in an urban area.
In the past we have had reports of him being treated in hospitals in Rawalpindi for kidney problems. There was even one report that he was treated in the southern city of Karachi. All of these were officially denied.
And some of the big al-Qaeda and Taliban names in the past have been captured in big Pakistani cities. Khalid Sheikh Mohammed, the Kuwaiti-born senior al-Qaeda leader, was captured in Rawalpindi and Afghan Taliban military commander Mullah Baradar was reportedly captured in Karachi.
He evaded the forces of the US and its allies for almost a decade, despite a $25m bounty on his head.
Mr Obama said he had been briefed last August on a possible lead to Bin Laden's whereabouts.
"It was far from certain, and it took many months to run this thread to ground," Mr Obama said.
"I met repeatedly with my national security team as we developed more information about the possibility that we had located Bin Laden hiding within a compound deep inside of Pakistan.
"And finally, last week, I determined that we had enough intelligence to take action, and authorised an operation to get Osama Bin Laden and bring him to justice," the president said.
On Sunday a team of US forces undertook the operation in Abbottabad, 100km (62 miles) north-east of Islamabad.
After a "firefight" Bin Laden was killed and his body taken by US forces, the president said.
Mr Obama said "no Americans were harmed".
Giving more details of the operation, a senior US official said a small US team had conducted the operation in about 40 minutes.
One helicopter was lost due to "technical failure". The team destroyed it and left in its other aircraft.
"After a firefight, US forces killed Osama Bin Laden and took custody of his body"
Three other men were killed in the raid - one of Bin Laden's sons and two couriers - the official said, adding that one woman was also killed when she was used as "a shield" and two other women were injured.
The size and complexity of the structure in Abbottabad had "shocked" US officials.
It had 4m-6m (12ft-18ft) walls, was eight times larger than other homes in the area and was valued at "several million dollars", though it had no telephone or internet connection.
The US official said that intelligence had been tracking a "trusted courier" of Bin Laden for many years. The courier's identity was discovered four years ago, his area of operation two years ago and then, last August, his residence in Abbottabad was found, triggering the start of the mission.
Another senior US official said that no intelligence had been shared with any country, including Pakistan, ahead of the raid.
"Only a very small group of people inside our own government knew of this operation in advance," the official said.
The Abbottabad residence is just 700 metres (2,300 ft) from the Pakistan Military Academy - the country's equivalent of West Point.
'Momentous achievement'
Former US President George W Bush described the news as a "momentous achievement".
 
"The fight against terror goes on, but tonight America has sent an unmistakable message: No matter how long it takes, justice will be done," Mr Bush said in a statement.
His predecessor, Bill Clinton, said in a statement: "This is a profoundly important moment not just for the families of those who lost their lives on 9/11 and in al-Qaeda's other attacks but for people all over the world who want to build a common future of peace, freedom, and cooperation for our children."
BBC security correspondent Frank Gardner says that, to many in the West, Bin Laden became the embodiment of global terrorism, but to others he was a hero, a devout Muslim who fought two world superpowers in the name of jihad.
The son of a wealthy Saudi construction family, Bin Laden grew up in a privileged world. But soon after the Soviets invaded Afghanistan he joined the mujahideen there and fought alongside them with his Arab followers, a group that later formed the nucleus for al-Qaeda.
After declaring war on America in 1998, Bin Laden is widely believed to have been behind the bombings of US embassies in East Africa, the attack on the USS Cole in Yemen in 2000 and the attacks on New York and Washington.

BBC

Sunday, 1 May 2011

Lady J.D show STOCKHOLM ILIVYOFANA

mambo yote ilianzia hapa namuimbisha bosi wangu wangu kama ntaenda kupakaza midamida akashtuka  
akaniuliza"unasemaje wewe"
nikajibu"kupakaza kidoogo"

hapa anapiga mkwara"nishakwambia kupakaza mafuruku,ukirudi umilewa hapa utakula ngumi mpaka ukome,na kwanza kabla hujaenda mipakazo tupeleke dinner"

teh teh furaha baada ya kupewa green light na bwa mdogo

mama mkwe nae akatoa "ruksa"

piga menyu hii kisha nikaingia maeneo

shughuli ikaanzia hapa,linda na ankal wake

nikamkuta monie na jassie wako busy na cam


naxy na fifi wako full


kama kawa naxy,fifi na salum

hehe bakora zimekubali,stan akiwa na washkaji zake

wee nini wewe,tulia hapo

anacheeeeka

happy happier

lily nae alikua full combat utamtaka,yuko na muzee ya mujini humphrey

"konzi" ilikua km hivi


maestro vumbi
"ndenge nini papa,mutu ya ukweli inakulaka ile kitu roho napendaka hapana maneno mingi inaleta nzala

 graca na happy full loaded chezea wao kidogo wanajilipuwa
duh hapa ni km vile"no picture pls"
lakini nikakomaa kazi ngumu hii

swagazzzz
"matoke,ugali,kachumbari,tafwadhali mkate,mlenda"
full pary like no tommorow


mambo juu ya mambo


konzi ingine ilitoka kwa "mama nibebe" hapa

josee josee,from rasta to papaa welcome to the world

fredynice na mzee wa mji nyupi

nuru a.k.a."mama nibebe"full pamba

picha zingine na video jioni bandugu si unajua majukumu
"usichezee kazi chezea mushahara"