Wednesday, 6 June 2012

AIDA"S BRIDAL SHOWER ILIVYOFANA

Bibi harusi mtarajiwa bi Aida
Dada Latifa na ndugu wa karibu wa bi Aida

Beautiful dada Latifa, mwanakamati wa shughuli


Hapa akilishwa keki na bi Aida

Nae alimlisha keki pia
Wageni wamependezaaaa

Mwanamke machoooo, bi Aida kwenye pozi

Happy people

Wadadaaaaaa
 
habari na picha toka-africa 4life blog

MEET JAMBO-KULA ACHAN IN STOCKHOLM EAST AFRICAN RESTAURANT

HAPPY SWEDEN NATIONAL DAY!


Sweden´s National Day celebration
Swedes celebrated National Day on Wednesday with events across the country, and in Stockholm at least the weather offered a sunny break from the recent rains.

 June 6th has been designated Sweden's National Day and Swedish Flag Day and in most parts of central and southern Sweden revellers have been treated to mild and sunny weather.

 From Uppland and to the north celebrations however had a distinctly wetter feel about them.

 One of the features of National Day is ceremonies held at town and city halls across the country to welcome those who became Swedish citizens during the past year.

 In Malmö, some 280 new Swedes were given a royal welcome at the opera house with Prince Daniel in attendance during the afternoon.

 The day is typically a busy one for the royal family.

 Prince Carl Philip and Princess Madeleine were on hand at 10am to open the doors to the royal palace in central Stockholm while the King and Queen spent the morning in Visby on Gotland.

 The royals are then due to gather in Stockholm for a horse-drawn procession from the palace to the open air museum Skansen where official National Day celebrations will begin at around 6pm.

 National Day and Swedish Flag Day is on June 6th due to recognise Gustav Vasa's ascent to the throne in 1523. It furthermore marks the Instrument of Government which was adopted on this day in 1809.

 National Day is typically a fairly low-key affair and has only been a national holiday since 2005.

TL

YUSUPH MANJI AWANIA UENYEKITI YANGA




MFADHILI wa klabu ya soka ya Yanga Yusuf Mehboob Manji ni miongoni mwa wanachama waliojitokeza kuomba kugombea nafasi ya uenyekiti wa klabu hiyo katika uchaguzi ukatkaofanyika Julai 15.
Katibu Mkuu wa Kamati ya uchaguzxi ya Yanga Franbsic Kaswahili amesema leo kwamba mbali na Manji wagombea wengine watakaowania nafasi hiyo ni poamoja na Sarah ramadha, John Jambele na Edger Chibura.
Kutangazwa kwa Manji kumevunja sintofahamu ya mdau huyo kugombea uongozi ndani ya klabu hiyo.

Sunday, 3 June 2012

UPCOMING STOCKHOLM SHOWS




TEAM TANZANIA YASHIRIKI RACE OF CURE

TEAM TANZANIA YASHIRIKI RACE OF CURE

Nancy G. Brinker mwanzilishi wa matembezi Susan G. Komen akiongea jambo kabla matembezi hayajaanza. Susan G. Komen ni dada yake aliyefariki na Saratani ya matiti. 
 
Mabango yaliyoandikwa kiswahili na Bendera ya Tanzania zikipepea kwenye matembezi hayo ya Susan G. Komen yaliyofanyikia Washington, DC, Nchini Marekani Jumamosi June 2, 2012 saa 2. asubuhi.
Team Tanzania ikiongozwa na mnusurika wa Saratani ya matiti Aunty Rehema (wapili toka kushoto)
 
Watanzania waliojumuka pamoja kwenye matembezi ya Susan G. Komen wakipata picha ya pamoja kwenye picha toka kushoto ni Aunty Asha, Afisa Ubalozi wa Tanzania Nchini Marekani Asia Dachi na Salma Londa.
 Team Tanzania wakiwa kwenye picha ya pamoja kabla ya kuanza matembezi hayo.
Dada Mariam akiwa na mwanae Monica ambao hushiriki kila mwaka matembezi haya  wakitokea Durham, North Carolina.
 
Kikundi cha matarumbeka kikiwa njiani yanakopita matembezi hayo kikiendelea kuto burudani kwenye matembezi ya Susan G. Komen.
Watanzania wakiwa wenye furaha wakati wa matembezi hayo yaliyofanyikia Washington, DC Juamamosi June 2, 2012
 
Wahudumu wakujitolea wakisaidia kugawa maji ya kunywa kwa wanaohitaji.
 Timu Tanzania ikipata picha ya pamoja.
Juu na chini ni Ulinzi kila kona pamoja na magari ya kubebea wagonjwa kwa ajili ya tahadhali kama litatokea lolote.
Kikundi cha sarakasi kikitoa burudani kwa watembeaji hao.
 
Umati wa watu waliojitokeza kutoka kila pembe ya Marekani wakitembeamatembezi hayo ya Susan G. Komen yaliyofanyikia Washington, DC Jumamosi June 2, 2012.
Team Tanzania ikiwa imemaliza maili 3 kwenye matembezi hayo.
Team Tanzania ikiwa inakaribia kwenye Finish Line kumaliza matembezi ya maili 3.2 sawa na kilomita 5 yalyofanyikia Washington, DC Jumamosi June 2, 2012.
 
Team Tanzania ikipata picha ya pamoja baada ya kumaliza matembezi hayo.
 
 
picha na habari toka matukio-michuzi