Kenyatta wins presidency
50 minutes ago
Play
Uhuru Kenyatta has hailed Kenya's elections as a "triumph of democracy"
Kenya's Deputy Prime Minister Uhuru Kenyatta has been confirmed as the winner of the presidential election, and vowed to work with his rivals.
He won 50.07% of the vote, officials said, narrowly avoiding a run-off.
But his main challenger, Raila Odinga, alleged massive fraud and said he would challenge the results of the "tainted election" in the Supreme Court.
Mr Kenyatta is set to face trial at the International Criminal Court over violence that followed the 2007 polls.
He is accused of fuelling the communal violence that saw more than 1,000 people killed and 600,000 forced from their homes.
'System failures'
After the results were announced, Mr Kenyatta told cheering supporters he would serve all Kenyans "without fear or favour".
Speaking at the Catholic University in Nairobi, he called on Mr Odinga and other leaders to "join us in moving our nation forward."
Earlier, the Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) said the latest elections had been complex, but also credible and transparent.
It said the turnout, at 86%, was the largest ever
IEBC chairman Issack Hassan praised the candidates who had already conceded victory and urged others to follow suit.
However, Mr Odinga, the current prime minister, said the electoral commission had "failed Kenyans" and that democracy itself was "on trial".
But after announcing his Supreme Court challenge, he also appealed for calm, saying: "Any violence could destroy this nation forever."
The BBC's Gabriel Gatehouse in Nairobi says this was the tightest of races with the narrowest of margins.
He says that how Mr Odinga now handles his supporters will determine whether his dispute stays in the courts or spills out on the streets.
Court process
Mr Kenyatta's Jubilee Coalition party said it was "proud and honoured for the trust" bestowed on it, adding that it had taken a message to the people and that "we are grateful to the people of Kenya for accepting this message".
Early on Saturday, small groups of Kenyatta supporters celebrated in Nairobi, hooting car horns and singing.
But the newly confirmed president could face difficult relations with Western countries.
In July, he is due to go on trial at the International Criminal Court (ICC) in The Hague for alleged crimes against humanity.
Mr Kenyatta's running mate, William Ruto, also faces similar charges. Both men deny the accusations.
In his victory speech, Mr Kenyatta restated his promise to co-operate "with all nations and international institutions".
The ICC has agreed to postpone Mr Ruto's trial by a month until May after his lawyers complained of not having enough time to prepare his defence.
Countries including the US and UK have hinted that Mr Kenyatta's election as president would have consequences for their relations with Kenya. The comments have been dismissed in Nairobi as foreign interference.
A new electronic system for transmitting vote results was designed to eliminate the risk of fraud, and thus avoid a repeat of the post-poll violence of 2007.
But the count has been plagued with technical glitches, including a programming error that led to the number of rejected votes being multiplied by a factor of eight.
Mr Odinga's Cord alliance had earlier complained that votes from 11 constituencies were missing, in effect leaving him more than 250,000 votes short.
Saturday, 9 March 2013
Thursday, 7 March 2013
Kibanda ateswa kama Ulimboka
• AVAMIWA, APIGWA, ATOBOLEWA JICHO, ANG’OLEWA KUCHA NA MENO
MHARIRI Mtendaji wa Kampuni ya New Habari (2006) Ltd ambao ni wachapishaji wa magazeti ya Rai, Mtanzania, Dimba na Bingwa, Absalom Kibanda, amenusurika kifo baada ya kuvamiwa na watu wasiojulikana nyumbani kwake kisha kupigwa na kujeruhiwa vibaya.
Kibanda ambaye pia ni Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) alipigwa na kitu kizito chenye ncha kali kichwani, kutobolewa jicho la kushoto, kung’olewa ukucha wa kidole cha mkono na meno.
Tukio hilo linakuja ikiwa ni miezi takriban tisa tangu kutekwa, kuteswa, kuumizwa vibaya, kung’olewa meno na kucha na kisha kutelekezwa msituni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari nchini, Dk. Stephen Ulimboka, usiku wa Juni 26, mwaka jana.
Tangu kutokea kwa tukio la Dk. Ulimboka ambalo linafanana kabisa na hili la Kibanda, Jeshi la Polisi nchini limekuwa likitupiana mpira katika kueleza hatua zilizofikiwa kuwasaka watuhumiwa waliohusika.
Pamoja na mtuhumiwa mmoja anayedaiwa kuwa raia wa Kenya, Joshua Mulundi, kufikishwa mahakamani akidaiwa kuhusika na tukio hilo, bado Jeshi la Polisi halijawahi kumhoji Dk. Ulimboka wala watuhumiwa aliowataja kwa majina kuwa walihusika kumteka na kumtesa.
Katika tukio la Kibanda, inaelezwa kuwa watuhumiwa hao ambao hawajakamatwa walimtendea unyama huo akiwa nyumbani kwake eneo la Mbezi Beach usiku wa saa sita akiwa ndani ya gari akingojea kufunguliwa lango.
Tukio hili pia limetokea wakati Kibanda akikabiliwa na kesi ya uchochezi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ambapo anashitakiwa na Jamhuri akidaiwa kuchapisha makala katika gazeti la Tanzania Daima ambalo alikuwa Mhariri Mtendaji wake.
Kesi hiyo ambayo ilikuwa imepangwa kuendelea kusikilizwa jana, iliahirishwa baada ya mawakili wake kuwasilisha ombi mahakamani kueleza tatizo alilolipata mteja wao.
Kibanda anena
Akielezea tukio hilo kwa taabu kutokana na maumivu makali aliyoyapata, Kibanda alisema kuwa akiwa amesimama langoni ghafla alishtukia gari lake likivunjwa kioo, na katika harakati za kutaka kutambua nini kinaendelea, alivamiwa na watu hao.
“Baada ya kuona hali hiyo nilitaka kujiokoa kwa kukimbia lakini nilianguka, hivyo wakaanza kunishambulia kwa kunipiga nondo kichwani na sehemu mbalimbali za mwili, wakanikata kidole kwa kuing’oa kucha na kunitoboa jicho la kushoto,” alisema.
Kibanda aliongeza kuwa baada ya kumtendea unyama huo, alimsikia mmoja wao aliyekuwa na silaha ya moto akiikoki risasi na kisha kumuuliza mkuu wao, “afande tummalizie?”
Bashe atoa kauli
Ofisa Mtendaji Mkuu wa New Habari (2006) Ltd Hussein Bashe, alimkariri Kibanda akisema kuwa alivamiwa na watu watatu waliokuwa wamejihami kwa silaha za moto na jadi.
Bashe alisema kuwa alikaa ofisini na Kibanda hadi usiku wa saa tano na kumtangulia kidogo kwenda nyumbani, lakini baadaye akapigiwa simu na kuelezwa kuwa amevamiwa akiwa nyumbani kwake na kujeruhiwa.
Alisema tukio hilo ni la kusikitisha na linapaswa kulaaniwa na kila mpenda uhuru wa kupata habari, kwa kile alichoeleza hakuna mtu mwenye haki ya kumhukumu mwenzie kwa mtindo walioufanya kwa Kibanda.
Bashe alisema pamoja na jitihada za madaktari wa Kitengo cha Mifupa cha Muhimbili (MOI) bado wameshauriwa kumpeleka Afrika Kusini kwa ajili ya uchunguzi zaidi katika jicho lake ambalo linaonekana kupata athari zaidi kuliko sehemu nyingine.
“Madaktari wametuhakikishia katika vipimo walivyomfanyia kuwa hakuna madhara yoyote makubwa bali yuko salama, hivyo na hawa ni wataalamu wetu ambao tunawashukuru kwa juhudi zao,” alisema.
TEF waonya
Akizungumza kwa niaba ya waandishi na wahariri wa habari waliofurika kwa wingi hospitalini hapo, Makamu Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri (TEF), Theophil Makunga, alisema tukio hilo limefanywa na watu waoga ambao wanadhani kwa kufanya hivyo wataweza kuwanyamazisha waandishi.
Alisema tukio hilo halina uhusiano wowote na ujambazi, bali ni dhamira ya watu waliokuwa wakitaka roho ya mhusika kwa kuwa hawakuchukua vitu vilivyomo ndani ya gari lake.
“Hatuwezi kutenganisha tukio hili na kazi yake hata kama wahusika hawakuonesha dalili ya kuchukua vitendea kazi vya kuwasaidia. Tunachoweza kuamini ni kuwa hili ni tukio la kutaka kuvinyamazisha na kuviogopesha vyombo vya habari,” alisema.
Makunga alisema jukwaa litafanya uchunguzi wa kina ili kubaini matukio mbalimbali ya kushambuliwa waandishi wa habari yanayoshika kasi kila kukicha.
“Nawaomba waandishi tuwe na moyo wa subira wakati uchunguzi wa kutekwa na kuteswa kwa mwenyekiti huyu ukiendelea kujua ukweli,” aliongeza.
Mbowe: Watuhumiwa wasakwe
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, alikuwa miongoni mwa viongozi wachache wa kitaifa waliofika Moi kumjulia hali Kibanda na kisha kulifananisha tukio hilo kama uharamia.
Mbowe alisema kuwa vyombo vya dola vinatakiwa kuchukua hatua za haraka ili kulinda uhuru wa habari na wanahabari nchini, huku akisisitiza umoja wa kushikamana kwa kipindi chote.
“Tunaitaka serikali kuchunguza kwa kina suala hili la Kibanda, kwani ni la kiharamia, si mara ya kwanza watu kufanyiwa kama hivi hapa nchini,” alisema.
Aliongeza kuwa wanahabari wanatakiwa kuendeleza mshikamano muda wote pasipo kurudi nyuma.
Mengi: Wahusika watajwe
Naye Mwenyekiti Mtendaji wa makampuni ya IPP ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Wamiliki wa Vyombo vya Habari nchini (MOAT), Reginald Mengi, alisema suala hilo wamelipokea kwa masikitiko na hawakutegemea litokee.
“Tukio hili ni kubwa na kwa sasa MOAT tunataka kuhakikisha tunaokoa maisha ya mwenzetu na baadaye tutakaa kuamua cha kufanya,” alisisitiza.
Mengi ambaye alifika hospitalini hapo mapema na kuungana na wanahabari pamoja na ndugu zake Kibanda, mara kwa mara alirejea kauli ya kuwataka wanahabari kutumia taaluma yao vizuri na kufanya kazi bila woga.
“Naomba mzingatie maadili na taaluma, sote tuwe kitu kimoja juu ya hili na zaidi tufanye uchunguzi wa kutosha ili kuweza kuripoti bila kuingiliana na wengine,” alisema.
Alisema waandishi wanapaswa kutambua kuwa kuna mikakati ya kuwagawa inayofanywa na watu wasiotaka kuguswa masilahi yao, kwamba matukio kama hayo ni njia moja ya kuwatisha na kuwakatisha tamaa.
“Haya ni mambo ya kusikitisha, wapo waliokuwa wanauliza kwanini Kubenea (Saed) alitibiwa au kwanini kulifanyika jitihada za kumsaidia Dk. Ulimboka. Sasa majina ya wahusika wa uharamia huu yanapaswa kutajwa hadharani,” alisema Mengi.
Mengi aliongeza kuwa walijadiliana na kuamua kuteua watu wawili watakaokwenda Afrika Kusini kwa ajili ya kushughulikia matibabu ya Kibanda. Waliokwenda ni mke wa Kibanda na mwandishi wa habari, Erick Kabendera.
Zanzibar watoa pole
Jumuiya ya Waandishi wa Habari za Maendeleo Zanzibar (Wahamaza), nayo ilieleza kupokea kwa mshituko na masikitiko makubwa habari za kuvamia na kumjeruhi vibaya Kibanda.
Katika taarifa yao kwa vyombo vya habari, walisema kuwa wanaungana na wengine katika tasnia ya habari na watetezi wa haki za binadamu kulaani kitendo hicho cha kumjeruhi Kibanda.
“Tunatoa pole kwa Kibanda, familia yake, Jukwaa la wahariri, pamoja na ofisi yake kutokana na tukio hilo, na kumuomba Mwenyeji Mungu ampe afya kwa haraka.
Katibu wa Wahamaza, Salma Said, alisema kuwa viongozi wa serikali na polisi wanapaswa kuchukua hatua za haraka za kuhakikisha kuwa watu waliohusika na tukio hilo wanakamatwa kwani limekuja muda mfupi wakati wananchi wakiwa na hofu ya matukio ya kushambuliwa kwa viongozi wa dini visiwani Zanzibar.
Nao waandishi, wanaharakati na wadau mbalimbali wa habari mkoani Arusha walieleza kusikitishwa na tukio hilo na hivyo kuwatahadharisha waandishi nchini kuwa makini.
Katibu wa klabu ya waandishi wa habari mkoani, Arusha Eliya Mbonea, aliwataka wanahabari kulichukulia tukio hilo kama somo kwao na kuongeza tahadhari.
Polisi yaanza uchunguzi
Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limewataka waandishi wa habari kushirikiana katika kutoa taarifa ya uchunguzi ya wahalifu waliomteka na kumjeruhi, Kibanda.
Akizungumza jana Kamanda wa kanda hiyo, Suleiman Kova, alisema kuwa ni mapema juu ya uchunguzi wa kuwabaini waliohusika katika tukio hilo.
Kova alisema Kibanda ndiye anafaa kuwa shahidi wa kwanza katika tukio hilo, wa kusema kilichotokea lakini kutokana na hali yake hawezi kuhojiwa hadi apate ahueni.
Kova alisema tukio hilo ni kubwa na Jeshi la Polisi Makao Makuu limetoa askari wanne ambao wataungana pamoja na wale wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam ambao wamebobea katika uchunguzi.
Wanaharakati wazungumza
Naye mwanaharakati Onesmo ole Ngurumwa, alisema matukio haya yanajirudia na kwamba walikwishatoa tahadhari hivi karibuni kuwa hali si nzuri kiusalama hususan kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka 2014.
Ole Ngurumwa alisema kuna tatizo katika vyombo vinavyosimamia usalama kwani vimekuwa vikifanya kazi kwa ubaguzi.
Alitolea mfano tukio la Dk. Ulimboka na mwanaharakati mmoja aliyeuawa mkoani Mara kwamba hadi leo polisi matukio yote hayo na mengine haijayatolea taarifa za kukamatwa waliohusika.
“Kuna taarifa nyingi tu za vitisho kwa wanaharakati, waandishi wa habari na watu wengine lakini bado havifanyiwi uchunguzi, hali ambayo ni ya hatari,”alisema.
Alisema ni lazima waandishi wenyewe wakajiimarishia ulinzi wao kwa kujenga ushirikiano bila kajali tofauti zao.
Ole Ngulumwa alisema matukio hayo yanatokana na waandishi kuibua uozo wa baadhi ya watendaji wasiopenda kutenda haki sasa wanapoguswa huamua kuwadhuru waandishi.
Naye mwandishi mkongwe nchini, Jenerali Ulimwengu, alisema kwa sasa wananchi wanapaswa kusubiri ripoti ya Jeshi la Polisi watasema nini juu ya tukio hilo.
Alisema ni wazi watu waliomdhuru Kibanda walikuwa na dhamira ya kumuondolea uhai wake, kwa kuwa kama wangekuwa ni wezi wangeweza kuchukua vitu vilivyokuwa katika gari lake.
“Hawa ni watu wasiompenda Kibanda, naipa pole familia yake, watu wa tasnia ya habari juu ya ukatili huu uliofanywa kwa mwenzetu. Cha msingi tutoe nafasi kwanza kwa ajili ya uchunguzi alisema,” Ulimwengu.
Tukio la kuvamiwa na kuumizwa kwa waandishi wa habari si geni nchini kwani katika miaka ya karibuni Mhariri Mtendaji wa gazeti la MwahaHalisi, Saed Kubenea, alivamiwa ofisini na kumwagiwa tindikali usoni huku mwandishi mwenzake, Ndimara Tegambwage, akikatwa mapanga kichwani.
Pia Septemba 2, mwaka jana, mwandishi wa habari wa kituo cha Channel Ten mkoani Iringa, Daudi Mwangosi, aliuawa kwa kulipuliwa na bomu akiwa kazini kijijini Nyololo.
chanzo:tanzaniadaima
Wednesday, 6 March 2013
train traffic mda huu baada ya mtu kugongwa na treni
Kwa habari tulizonazo ni kwamba tren red line zimesimamishwa kwa muda kutoka liljeholmen mpaka slussen.sababu inasemekana kuna mtu kagongwa ama kudumbukia relini kugongwa maeneo ya zinkesdam.haijaeleweka chanzo cha mtu huyo kugongwa.
Habari zaidi badae
Habari hii imekujia live kutoka isaackin nikiwa arround eneo la tukio
Habari zaidi badae
Habari hii imekujia live kutoka isaackin nikiwa arround eneo la tukio
Tuesday, 5 March 2013
president Hugo Chavez died!
Chavez
Venezuela's President Hugo Chavez has died, his vice-president has announced.
Mr Chavez had not appeared in public since he returned to Venezuela last month after cancer treatment in Cuba.
An emotional Nicolas Maduro made the announcement on Tuesday evening, flanked by leading Venezuelan political and military leaders.
Earlier, he said the 58-year-old Venezuelan leader had a new, severe respiratory infection and had entered "his most difficult hours".
One of the most visible, vocal and controversial leaders in Latin America, the former army paratrooper won the presidency in 1998 and had most recently won another six-year presidential term in October 2012.
Last May, he said he had recovered from an unspecified cancer, after undergoing surgery and chemotherapy in 2011 and a further operation in February 2012.
However, in December 2012, he announced he needed further cancer surgery in Cuba, and named his Vice-President, Nicolas Maduro, as his preferred successor should the need arise.
Mr Chavez remained out of public view, finally returning to Venezuela in February.
BBC
Venezuela's President Hugo Chavez has died, his vice-president has announced.
Mr Chavez had not appeared in public since he returned to Venezuela last month after cancer treatment in Cuba.
An emotional Nicolas Maduro made the announcement on Tuesday evening, flanked by leading Venezuelan political and military leaders.
Earlier, he said the 58-year-old Venezuelan leader had a new, severe respiratory infection and had entered "his most difficult hours".
One of the most visible, vocal and controversial leaders in Latin America, the former army paratrooper won the presidency in 1998 and had most recently won another six-year presidential term in October 2012.
Last May, he said he had recovered from an unspecified cancer, after undergoing surgery and chemotherapy in 2011 and a further operation in February 2012.
However, in December 2012, he announced he needed further cancer surgery in Cuba, and named his Vice-President, Nicolas Maduro, as his preferred successor should the need arise.
Mr Chavez remained out of public view, finally returning to Venezuela in February.
BBC
Skylight Band yazidi kuwapa raha mashabiki wake kwenye kiwanja chao cha nyumbani Thai Village-Masaki jijini Dar.

Kutoka
kushoto ni Joniko Flower, Sony Masamba na Sam Mapenzi Kikosi kazi cha
SKYLIGHT BAND kikimwaga sebene kwa mashabiki wao Ijumaa ya mwisho wa
wiki kwenye kiota chao cha nyumbani Thai Village Masaki jijini Dar.

Wazungu
wakionekana kupagawa na Bolingo lililokuwa likiporomoshwa na vijana wa
Skylight Band kwenye Uwanja wao wa nyumbani Thai Village.
Sam Mapenzi wa Skylight Band akitunzwa na shabiki wake.
Mdau akishow love mbele ya Camera yetu.
Warembo walikuja kusheherekea Birthday ya rafiki yao Barbara.
Aneth Kushaba AK47 akifanya yake jukwaani sambamba na Mary Lukas wakilisongesha.
Mashabiki waliacha kucheza na kuanza kuangalia vibwanga vya wanamuziki wa Skylight Band.
Kutoka kushoto ni Salma Yusuf, Aneth Kushaba AK47 na Mary Lukas wakionyesha manjonjo yao kwa mashabiki.
Birthday Girl Barbara akisakata rhumba na marafiki zake.
Aneth Kushaba AK47 akiwajibika jukwaani.
Mary Lukas wa Skylight Band akimwimbia shabiki wake aliyetokea kupagawa na uimbaji wa binti huyo akiwa haamini macho yake.
Mashabiki wa Skylight Band wakiendelea kuburudika na muziki mzuri kutoka kwa vijana wenye vipaji.
Mkali
wa Hip Hop nchini Fareed Kubanda a.k.a FID Q akishow love na Blogger
King Kif kutoka..http://Wwwmasterkif.blogspot.com. Fid Q ni mara yake ya kwanza kufika kushuhudia show ya Live
ya Skylight Band na aliwapa big up sana vijana kwa kazi nzuri.
Msanii
wa Bongo Flava anayekimbiza kwa sasa mujini Ommy Dimpoz kwa pozi naye
ni miongoni mwa wahudhuriaji wazuri wa Skylight Band.
Wadau Yussuf na Monteen wakishow love.
Kushoto ni king Kif kutoka ...http://Wwwmasterkif.blogspot.com aki shoo luv na sunday wa Magic FM na Aneth Kushaba AK 47...
Salma Yusuf wa Skylight Band( wa pili kushoto) akishow love na mashabiki wake.
Mary Lukas wa Skylight Band na Fans wake.
Mashabiki wa Skylight Band wakishow love mbele ya Camera yetu.
Hapo vipi imekaaje poa eeeh….Mrembo akiweka pozi kupata snap.
Mkurugenzi
wa Perfect Lady Saloon ya Kinondoni(katikati) akishow love na Star wa
Bongo Movie Snura (kul;ia) pamoja na shostito wao.
Mashabiki wa Skylight Band katika pozi matata kwenye kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar.
Brothers for life…. Masela wa Kijitonyama wakishow love.
Na sisi bwana tupate picha za ukumbusho kila siku wang’ae warembo tuuu…Fans wa Skylight Band.
Girls looking hot…!!!
Chanzo:moeblog
Kenya elections: Early Kenyatta lead over Odinga

The BBC's Sophie Ikenye reports from Nairobi, where
every ballot paper is held aloft to try and ensure the election's
transparency
Kenyans are awaiting results in their country's presidential election, after millions cast their votes on Monday.
With over a third of polling stations reporting, Deputy Prime
Minister Uhuru Kenyatta held an early lead over his main rival, PM
Raila Odinga.The head of the electoral commission emphasised these were provisional figures and urged Kenyans to wait patiently for the final outcome.
In 2007-8, more than 1,000 people were killed in post-election violence.
More than 250,000 spoiled ballots
have been counted so far, the IEBC noted with concern - double the
number of votes cast for the third-placed candidate, Musailia Mudavadi,
who trailed far behind with just over 138,000 votes, or 3%.
Some put this down to confusion, with voters having six ballots papers to complete.None of the other five candidates for the presidency had more than 1%.
To win outright, a candidate must get 50% of votes cast plus one vote, as well as at least 25% of votes in half of Kenya's 47 counties. If no-one achieves that, the vote will go to a run-off, probably on 11 April.
In a news conference, IEBC chairman Issack Hassan called for people to "resist making early judgments about who has won", and said final results would not be released within 48 hours.
He said candidates and parties were under obligation to "accept the results peacefully".
There are fears the loser might not accept the official result, triggering an outburst of violence.
Widespread failure of newly instituted biometric voting kits, reports of late voting at one polling station hours after polls closed officially, and an instance of a poll clerk issuing multiple ballots have all already been cited by Mr Odinga's party as cause for concern.
Raila Odinga vs Uhuru Kenyatta
"These we find to be placing in jeopardy the credibility of this process," said Frank Bett from Mr Odinga's Cord alliance.
Both leading candidates have pledged to respect the result of a free and fair vote.'Consequences' Mr Kenyatta will stand trial at the ICC for his alleged role in the 2007 unrest, when clashes between rival supporters degenerated into targeted attacks on members of ethnic groups linked to one or other candidate.
Mr Odinga later joined a government of national unity under a peace deal.
The US and other Western allies of Kenya have warned of possible "consequences" if Mr Kenyatta wins.
However, Mr Kenyatta's running mate, William Ruto, who also faces charges of crimes against humanity, insisted on Monday that they would be able to discharge their duties if elected and would co-operate with the ICC to clear their names. Both deny any wrongdoing.
Lines of voters stretched outside polling stations across the country on Monday and many polling stations stayed open late into the night. Turnout was estimated at 70%.
Four policemen were among the 19 killed in election-day violence mainly blamed on the separatist Mombasa Republican Council (MRC), which had demanded the elections be scrapped.
Gunfire and explosions were also reported in the town of Garissa, near the border with Somalia. Gunmen stormed two polling stations after voting ended, but were forced to retreat by security forces, the deputy speaker of parliament told Associated Press.
BBC
Subscribe to:
Posts (Atom)























