Thursday, 21 November 2013

Mwanamuziki Fm Academia Aristote Shungu amefarki China baada ya kukamatwa na madawa ya kulevya akiwa na Cana l Top


Mwanamziki aliyepata kutamba na Bendi ya FM Academia ya jijini Dar es Salaam, Rapa, Haristot Shungu ameuawa nchini China huku kifo chake kikitawaliwa na utata mkubwa. 

Kwa mujibu wa chanzo makini kilichopo nchini China, rapa huyo alikamatwa uwanja wa ndege baada ya kugundulika kuwa amebeba madawa ya kulevya akiwa ameambatana na rapa mwingine wa Bendi ya Akudo Impact, Kanal Top na wote wawili kuhifadhiwa mahabusu.


“Tulijua kama Haristot alikamatwa pamoja na Kanal Top lakini ghafla juzi (Ijumaa) tukaambiwa kuwa amefariki dunia, hatujui kifo chake kimesababishwa na nini lakini mwili wake unaonekana kama vile aliungua na moto au mtu aliyechomwa sindano ya sumu,” kimesema chanzo hicho.


Baada ya kupata taarifa hizo mwandishi wetu aliwasiliana na Kiongozi wa FM Academia, Nyoshi El Saadat na kumuuliza kama alikuwa na taarifa zaidi za Haristot.





Nyoshi alikiri kuwa marehemu alikuwa mwanamuziki wao na kudai kwamba kifo chake kimetawaliwa na utata mkubwa.





“Haristot alikuwa mwanamuziki wetu, mara ya mwisho aliaga kuwa anakwenda Ulaya kwa mchumba wake, nimeshangaa kusikia ameuawa nchini China kiukweli hakuna anayejua ukweli wa kifo chake,” alisema Nyoshi.

ChanzoGpl

Babu Seya na Papi kocha kuozea Jela

Mwanamuziki Nguza Viking na mwanaye Johnson Nguza 'Papii Kocha'.
Ile hukumu ya rufaa ya mwanamuziki Nguza Viking na mwanaye Johnson Nguza 'Papii Kocha' imewarejesha jela maisha baada ya hoja za serikali za kukazia hukumu kuzidi zile za upande wa utetezi.Babu Seya na Papii Kocha walihukumiwa kifungo cha maisha jela mwaka 2004 baada ya kupatikana na hatia ya kuwanajisi watoto wa Shule ya Msingi, Mashujaa, Sinza jijini Dar ambapo wamekuwa wakikata rufaa mara kwa mara lakini wakagonga mwamba. Hukumu hii ya rufaa ndiyo ya mwisho kusikilizwa
Gpl

Sunday, 17 November 2013

30,000 without power as storm Hilde hits


The Local

17 Nov 2013, 10:04

At least 30 000 households in northern Sweden are without power and fallen trees are blocking roads following the storm which swept through on Saturday night.

A powerful storm pulled in late yesterday over Jämtland, Norrbotten and Västerbotten. Shortly before 7pm at least 35,000 households were without electricity and many remain without power as they awoke on Sunday morning.
Worst affected are E.on and Vattenfall's customers in northern and Västernorrland.
At 8am over 16,000 of Eon's customers in Jämtland, Västerbotten and Västernorrland were without power.
"This is a relatively serious situation. There are many faults spread over a large geographical area," said Jacob Holmström at Eon.
Eon has called in resources from other parts of Sweden and which are heading towards the affected area.
"We are concentrating really, but considering how many interruptions there are there is an imminent danger that many customers will be without power on Monday," Holmström said.
Vattenfall had received 70 reports of problems by 8.30am on Sunday, meaning about 17,500 customers are without power.
"It's been hard for us to go out during the night because of the strong winds. We have called in reinforcements from other regions in order to fix as much as possible," said press officer Michael Petrovic Wågmark.
It remained unclear on Sunday morning when customers can expect to get power back.
"We are doing everything we can to give them back their power as soon as possible. But given that there are so many interruptions there is a risk that customers will be without power on Monday," Petrovic Wågmark said.
Police in Jämtland have urged people not to venture out on the roads unnecessarily.
Fallen trees are strewn across roads in the region following the storm with most problems on the E12 in the area of ​​Lycksele.
"There is a lot of trees on the road. We have staff who are working hard to clean up," said Beisi Sundin at the Transport Administration.
Motorists travelling on the E45 have been cautioned.
"There you'll have to zigzag a way between fallen trees," Sundin said.
The storm has put a stop to a biathlon ski tournament due to take place in Östersund on Sunday.
"There is too much wind, the competitors' safety can not be guaranteed," said event organiser Anders Andersson.

Tl

Friday, 15 November 2013

Canal Top ashikwa na madawa ya kulevya China


Canal top kulia



Kanal top kulia
Madawa ya kulevya ni noma sana, yamesababisha vijana wengi wenye tamaa kuishia kunyongwa au wengine wapo sero mpaka leo. Habari zilizotufikia Bongoclan ni kua msanii kutoka kundi la Akudo Impact maarufu kama CANAL TOP kakamatwa china akiwa na sembe AKA UNGA akaMADAWA YA KULEVYA.
Sasa bado hatujajua kesi yake inaendaje but mashushu wetu chna watalifanyia hilo kazi na kuja na majibu sahihi ambayo tutawaletea wasomaji wetu

Vumbi & Dekula Band live Lilla Wien Sodra 15-16-11-2013



"Wazee Wapewe" present's;
Lady Neema,Yaya Sella & Bobo Sukari.
Dekula Band"Ngoma Ya Kilo"
Place:Lilla Wien"Little Nairobi"
Date:15-16/11/2013
Time:21.00-01.00
Addr:Swedenborgsg.20

Pendel:Södra station

Wednesday, 13 November 2013

Kontena lenye meno ya tembo limekamatwa Unguja

Kontena lenye urefu wa futi 40 lililojaa pembe za ndovu limekamatwa kisiwani Unguja mchana huu likitokea bandari ya Dar es Salaam.

Mpaka sasa haijajulikana mzigo huo una thamani ya kiasi gani na raia wawili wa Tanzania wamekamatwa kuisaidia polisi .
Kwa mujibu wa Waziri Kagasheki, kontena hilo pia linahisiwa kumilikiwa na raia wa China.

Tukio hilo limeshudiwa na Waziri wa nchi tawala za mikoa Zanzibar pamoja na Waziri wa maliasili na Utalii Balozi Hamisi Kagasheki.

Source: Eatv/ Radio