Thursday, 18 February 2010

STOCKHOLM SODRA WITH VUMBI DEKULA BAND

mimi na bella mdau namba moja wa blog ya mipakazo,siku hiyo tulikua na furaha zetu tukaamua kupakaza na kweli mambo yalienda kama inavyotakiwa wadau kama mnavyoona picha hapo chini.
hapo nimimi mwenyewe na bwana mkubwa ndizii,au banana ukipenda muite mzee wa..........!
hapa nikiwa na mtaalamu mwenyewe mukulu vumbi kahanga dekula.
hawa wataalamu wanakung`uta vingoma hivyo kama tumba yaani tunapata burudani kamili kwakweli-
pia kuna mtaalam wa gitaa kasule kutoka jirani na huyo mdada mkewe namuitaga J,LO wote wanawajibika timu imekamilika.
mtu nyomi kama mango garden vile watu wakisebeneka
naona mtaalamu akirekebisha mic,jamaa ni mkali sana kwa kuimba copy,akikuimbia wimbo MAZE wa tabu ley utafurahi maana anaimba utasema mwenyewe`rochereau´yuko pale big up.

ndugu yetu onyango toka hapo jirani kwa obama nayeye akijumuika nasi kama kawa sodra east africa "dugu moya"

STOCKHOLM SODRA WITH VUMBI DEKULA BAND

yanga akiwa na kipenzi wake wa rohoni miriam,nae akitulia anakua mtu.
bella akiwa na miriam na friend kwa mbalii.



bella na kelvin(kikwete)katika pozi.

Tuesday, 16 February 2010

TANZANIAN BEAUTY CELEBRITY*IRENE UWOYA*





picha zikimwonyesha mkali wa filamu irene katika pozi tofautitofauti,penye ukweli lazima tuseme mdada kaumbika kibantu hasa au wadau mnasemaje?haya tumwachie shemeji yetu aendelee kufaidi

MUKUBWA HUMPHREY NDANI YA BONGO

humphrey akiwa na jamaa zake,haya mzee kula raha,lakini duuh mzee ijumaa tuko pamoja sodra j,pili tayari uko kwa jide si mchezo umepumzika lakini?

humphrey akiwa na gadner.

MAMBO YA MAFIAN FISH BAR DAR


haya tena wakuu kiota kipya kimefunguliwa chini ya mkurugenzi ommy kimbau,kama kawaida pale ni special ya samaki aina zote uzijuazo,kama unavyoona hapo chini waweza pita ukajihakikishie mambo mazuri.

msosi kamili kama unavyoona mdau.

haya tena hiyo twaambiwa yaitwa lady jay dee changu special mh,inavutia kwakweli.

source:ladyjaydee.blogspot.com

Monday, 15 February 2010

TANZANIAN BEAUTY CELEBRITY*RAY C*


no comment;au wewe mdau waweza tia sifa zako hapo,wabongo wamejaaliwa sio siri.