Wednesday 30 June 2010

MAMISS EAST AFRICA UK HAO WAKO POUWAA.


Salam kaka,

Utawala wa Urban Pulse unapenda kuwaletea exclussive behind the scenne kwa wadau wote wa libenekene kuhusu matayarisho na maandalizi ya
Miss & Mr East Africa Uk 2010 yaliyofanyika katika kitongoji cha Edmonton, Ukerewe jumamosi 26.6.10

Fainali ya kuwania Taji la U miss na U mr East Africa UK litafanyika jumamosi 3rd July 2010katika ukumbi wa Central Hall,Westminister, London
wote mnakaribishwa. Bofya chini kuangalia kideo kutoka kwa wahisani URBAN PULSE kuhusianana na Maandalizi

http://www.youtube.com/watch?v=EEBjHhW7NeI

Mdau

`Frank Eyembe

Urban Pulse

source:mjengwa

No comments:

Post a Comment