Friday 8 January 2010

PAMBANO LA FLOYD MAYWEATHER NA PAQUANO LAAHIRISHWA


pambano hilo la uzito wa welterweight limeahirishwa baada ya floyd kutaka jamaa achukuliwe vipimo vyoote,hadi ngoma kabla hajaingia ulingoni,na jamaa nae akasema ana matatizo ya woga wa kuchomwa sindano hivyo akichukuliwa vipimo ataathirika akiingia ulingoni,pambano ambalo lilikua liwaingizie midola ya kufamtu limefutwa.sasa changamoto kwa mabondia wetu hapo nyumbani sijui itakuwaje hii sheria ikiingia maana juzi nimeona picha tubondia fulani tunapima kwa ajili ya mpambano nikachoka,hata kama wanapigana uzito mdogo afya yao ilikua mgogoro kwakweli,yaani washauriwe wapige msosi na tizi halafu wawe wanacheki afya mara kwa mara vilevile.

No comments:

Post a Comment