Thursday 7 January 2010

RIHANNA NA BOYFRIEND MPYA TENA








Hapo ndo utakoma na mademu,maana wanakomaa nasi kichizi,ukileta kuringa anatambaa sikumbili tatu unamkuta na jamaa mwingine,sasa ndo utajua ujinyonge au uamue uwe mlevi basi yaishe,maana unapomwacha sometime inakua unatingisha kiberiti mwenzio anafanya kweli,halafu jamaa wanaokuwa wamemiliki baada ya hapo wanakuwa wakali kweli wanakaba mpaka golini

No comments:

Post a Comment