Friday 29 January 2010

VIDEO>BEN AELEZA ALICHOKIONA USIKU WA MAUAJI YA SWETU


inatia uchungu sana lakini sielewielewi hawa jamaa kwanini walikuwa busy sana kumshughulikia marehemu,kama ben anavyosema kwamba walimtrick kama wanaenda o,bay kisha wakapotelea mitaani kwenda kuendeleza umafia wa kumfanyizia jamaa basi lazima kuna kitu kimejificha hapo si bure.

No comments:

Post a Comment