Thursday 28 January 2010

WALIOPORA UHAI WA SWETU HAWA HAPA MAHAKAMANI


ningeshukuru sana kama nawao wangenyongelewa mbali basi angalau tupunguzehasira,lakini kwa bongo mmh,usije shangaa ikaundwa tume kufanya uchunguzi,miaka miwili badae ukaambiwa waliuwa bila kukusudia,halafu wakahukumiwa mwaka mmoja,then baada ya miezi mitatu wakachiwa kwa msamaha wa rahisi,bongo sheria kizungumkuti tu

No comments:

Post a Comment