Thursday 10 October 2013

WEMA NA DIAMOND NDANI YA MALAYSIA


BREAKING NEWS…!!! DIAMOND NA WEMA PAMOJA
             

Hii ndio mambo ya mapenzi,waliosema ndugu wakipigana shika jembe ukalime hawakukosea,sasa inakuja wapenzi wakigombana we inabidi tu utupe jembe kabisa na kuanza kuimba wimbo wa Gurumo "ukiona mtu mzima analia"ujue kuna jambo.maana kijana wetu maarufu huyu siku ya kuanza kulia machozi tena ikiwezekana ya damu tutasikia tu.kwa maana haya mambo ya kuatanga na njia huku na kule hayana mpango,inabidi sometyme atuulize sie baba zake wadogo.
kwa analysis ya haraka haraka kwa watakaoelewa kuna maswali ya msingi.
*je Wema anamhitaji tena huyu jamaa au anataka kumuharibia tu maisha yake?
*kama walikutana hiyo ni ishu iliwahusu wao na makubaliano yalikuwa siri iweje leo imevuja kila mahali.
*Wema ana mshua wake anayemuweka mjini,ina maana ana uwezo wa kusafiri,kukodi hotel na kutumia fweza kiasi chochote akitaka kwa sababu kuna pimbi mmoja atarudisha pesa.
*Diamond kuwa na Wema tena si kitu cha kushangaa sababu kidume yeyote Ex wako akileta pirog yake na bado analipa unakanyaga twende maswali kesho.

mambo haya ni rahisi kujibu inabidi dogo awe mbishi tu.lakini asishangae sana maana huu ni wakati wake na unapita kama upepo,kuna mtu aliitwa Mr Nice mzee wa kidali po!.aliwasha moto sana hata hapa Sverige.kwa sasa jamaa anauza bia pale urafiki club Manzese.

mpaka hapo ndio naelewa wasanii safari yenu ya kula bata si ndefu kihivyo inabidi mjipange.

kuna list hii ya wasanii waliwahi kula bata: 

MR NICE
Inspecta Haroun
Juma Nature
Ferouz
T.I.D.
Daz Baba
Ray C
Sister P

na wengine kibao



No comments:

Post a Comment