Saturday 4 February 2012

JK ATUA JIJINI MWANZA TAYARI KWA MAADHIMISHO YA MIAKA 35 YA UHURU


 Jk akishuka kwenye ndege alipowasili uwanja wa Ndege wa Mwanza leo jioni
  Rais Kikwete akisalimiana na mkuu wa mkoa wa Mwanza  Injinia Evarist Ndikillo baada ya kuwasili Uwanja wa ndege jijini Mwanza leo jioni.
 Rais Kikwete akifuatana na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza  Mabina wakati alipowaisli jijini Mwanza leo
 
  Rais Kikwete akiwasalimia wanachama wa CCM baada ya kuwasili jijini Mwanza
Katibu wa NEC, Nape Nnauye, Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza Mabina na Katibu wa CCM  Mukama wakisahuriana jambo kwenye Uwanja wa Ndege jijini mwanza wakati wa mapokezi ya Rais Kikwete (Picha zote na Bashir Nkoromo)

No comments:

Post a Comment