Monday 8 April 2013

USIKU WA KANUMBA ULIVYOFANA JIJINI DAR JANA


Pichani kushoto ni aliyekuwa Mgeni rasmi kwenye usiku wa kumbu kumbu ya Marehemu Steven Kanumba,Meya wa Manispaa ya Kinondoni,Mh Yusuph Mwenda akipokea tuzo ya heshima kutoka kwa Mama wa Marehemu Steven Kanumba,kwa niaba ya Mh Rais Jakaya Kikwete,kwenye maadhimisho ya kumbukumbu ya kutimiza mwaka mmoja tangu kufarikii kwa nyota huyo wa Filamu hapa nchini na kwingineko.Kumbukumbu hizo zimefanyika jana jioni kwenye viwanja vya Lidaz Club,Kinondoni jijini Dar na kuhudhuriwa na wasanii mbalimbali wa tasnia hiyo,wasanii wa muziki na kada nyinginezo mbalimbali,aidha katika Kumbukumbu hiyo pia kulizinduliwa Filamu ya mwisho aliyokuwa akiigiza Marehemu Kanumba kabla ya kufariki iliyoitwa Love & Power.
Pichani kushoto ni Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF),Simon Mwakifwamba akipokea tuzo ya heshima kutoka kwa Mama wa Marehemu Steven Kanumba,kwenye maadhimisho kumbukumbu ya kutimiza mwaka mmoja tangu kufarikii kwa nyota huyo wa Filamu hapa nchini na kwingineko, Steven Kanumba.Kumbukumbu hizo zimefanyika jana jioni
kwenye viwanja vya Lidaz Club,Kinondoni jijini Dar na kuhudhuriwa na wasanii mbalimbali wa tasnia hiyo,wasanii wa muziki na kada nyinginezo mbalimbali,aidha katika Kumbukumbu hiyo pia kulizinduliwa Filamu ya mwisho aliyokuwa akiigiza Marehemu Kanimba kabla ya kufariki iliyoitwa Love & Power.
Mwakilishi kutoka Kampuni ya Clouds Media Group,Zamaradi Mketema akipokea tuzo ya heshima kwa niaba ya kampuni hiyo iliyotoa mchango mkubwa katika tasnia ya Filamu hapa nchini,kutoka kwa Mama yake,Marehemu Steven Kanumba,kwenye maadhimisho ya kumbukumbu ya kutimiza mwaka mmoja tangu afarikii nyota huyo wa Filamu hapa nchini na kwingineko, Steven Kanumba.
Wafanyakazi wa Kampuni ya Global Publishers wakipokea tuzo ya heshima kutoka kwa Mama yake Marehemu Kanumba,kwa mchango wao mkubwa walioutoa kwenye tasnia ya Filamu hapa nchini.
Jacqueline Wolper looking fine















KWA PICHA ZAIDI BOFYA Michuzijr

No comments:

Post a Comment