Tuesday 25 October 2011

BASI LA DELUXE LAPINDUKA NA KUWAKA MOTO





basi la deluxe likitokea dodoma kuelekea dar limepinduka na kuwaka moto eneo la misugu sugu kibaha pwani,inasemekana abiria zaidi ya 40 wanahofiwa kupoteza maisha  katika ajali hiyo.
tutaendelea kuwajuza kinachoendelea

picha kwa hisani ya michuzi

No comments:

Post a Comment