Tuesday 11 October 2011

MISS AFRICA CROWN INTERNATIONAL CRUISE ILIVYOFANA

 

washindi watatu wa miss africa crown international 2011  no 1 alikuwa ni jessle toka uganda,no 2 alikuwa elizabeth toka kenya na no 3 akiwa ni maria toka south sudan
 shughuli nzima ya kumvalisha taji inaendelea na ikifanywa na michelle jeng aliyemaliza muda wake wa kushika taji hilo

mshindi no 3 maria  toka south sudan akivalishwa taji
 HAPA MSHINDI WA TAJI HILO AKIPONGEZWA NA MARAFIKI

NANCY AKIFURAHIA JAMBO NA MMOJA WA MADJ WAKALI STOCKHOLM
ohoo chezea grace



lily na linda

 
 
 
picha zingine kuwajia baadae maana net bado haijatulia

PICHA KWA HISANI YA KSB BLOG NA VYANZO MBALIMBALI

No comments:

Post a Comment