Saturday 22 December 2012

MTANZANIA JOYCELINE MARO AIBUKA MSHINDI MISS EAST AFRICA

 Mrembo wa Afrika Mashariki 2012  (Tanzania),Jocelyne Maro (katikati) akiwa na mshindi wa pili (Uganda),Ayisha Nagudi pamoja na Mshindi wa tatu (Burundi),Ariella Kwizera mara baada ya kupatikana kwa washindi hao katika Shindano lililofanyika kwenye Ukumbi wa Mlimani City,Jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo.
Mrembo wa Afrika Mashariki 2012  (Tanzania),Jocelyne Maro akiwa na washindi wenzake alioingia nao hatua ya tano bora katika Shindano hilo lililofanyika kwenye Ukumbi wa Mlimani City,Jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo.
Warembo walioingia hatua ya kumi bora.
 Mrembo wa Afrika Mashariki 2012  (Tanzania),Jocelyne Maro akipungia mkono mashabiki wake mara baada ya kutangazwa mshindi wa Shindano hilo lililofanyika kwenye Ukumbi wa Mlimani City,Jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo.
 Pongezi kutoka kwa Washiriki wenzake.
 hamaki ya ushindi ........
Warembo wakipita na vazi la Ufukweli...
 Muandaaji wa Shingano la Miss East Africa nchini Tanzania,Rena Calist akitangaza majina ya washindi wawili walioingia hatua ya tatu bora.

Majaji wakijadiliana jambo wakati wa hatua ya kumi bora.
 Burudani kutoka kwa Mzungu Kichaa. 
 Burudani kutoka kwa Mad Ice. 
MC Geitano akitoa maelekezo wa washiriki walioingia hatua ya tano bora.
 Wadau mbali mbali walifikika katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar kushuhudia Mrembo wa Afrika Mashariki anavyopatikana.
 
SOURCE:MATUKIOMICHUZI

No comments:

Post a Comment