Saturday 22 December 2012

UMEJIANDAA VIPI NA CHRISTMASS HII!


unapata hii viva chrismas toka kwa baba gaston tukiendelea na storo



svensk julbord,mdau bufee la krishmash hilo sijui kama unaona msosi hapo maana mi kama naona mawenge tu.

                                      mitaa ya malkia leo hii mchana


i can see this from my balcony

 
 mmh!nimemfikiria huyu mnyama ila bei yake ni mahari kabisa huko home unachukua mke kigori tena kwa mbweeembwe ukijitambulisha isaackin.kibopa.com

hapa ndio huwa naanzia mara tu nnapodaka jasho langu.thanx god kwa kunipa hili wazo
 

 ofcourse snow ikianguka vyombo navyo vinaadhibiwa inabidi vikae nje kwenye snow vipigwe baridi kama sisi vibosile wao,vikitoka hapo vinakua nachurale kama udasi unaujua?km huujui muulize Mjengwa.

kwa sisi wengine tulio na familia hilo si jambo la kuuliza maana huu mwezi huwa ni wa kununa kwa sababu namba za kamshahara haka tunakatafuta kwa mbinde huwa zinafutika kimiujiza,maana hata uwe na mamilioni utashangaa ngoma ina read 4000000,mara 400000,mara 4000,mara 400,mara 40 na ngoma ikifika hapo mara nyingi kunakua na arlet kichwani kwamba sasa ndio unakanyaga maars! maana baada ya hapo itasoma 00.00/= cash.

unabaki na risiti rundo ukihesabu mara ishirini ishirini bila kuamini kama ndo zimekwenda hivyo,lakini bahati mbaya hii inakua zimeenda kweli hamna ndoto zile kama za Obama eti"i have a dream".det är ingen dröm kompis

haya ukijifikiria vizuri kunakua na wiki kama 5 hivi za kununa na kuwa serious mpaka uje kucheka tena.bahata mbaya sana huku hamna mazabe kama utafanya upate ziada no,tunaenda date kwa date no digit.
kwa sisi wengine wenye familia huku na kule ndio inakua dangee zaidi maana zile sarakasi tulikua tunarukia mabinti wa watu result ndo sasa inabidi kote utoe huduma zinazofanana.
kwa hapa ugenini tunajaribu jaribu kuiga utamaduni tena japo kwa kulazimisha si unajua tena badae na sisi tunaweza kuitwa kina Isaac Mwaikololosson.

Basi na utamaduni huu mpya sikukuu kama hii mila na utamaduni inabidi siku hiyo kila mtu anaenda na paåsee imejaa zawadi ukialikwa kwenye christmess dinner.
maana lazima umnunulie kila mtu kitu,and yes naww wanakuletea zawadi.sasa na hivi vi-kurona vyetu vya mawazo hii inakua ni kama kitanzi vile
anyway hamna jinsi unajikusuru na sio mbaya kwa mwaka mara moja and im happy for it,hata kama inasoma noll punkt noll noll.

kwa wale wenzetu mlio nyumbani tunawaombea heri ya afya tena maana maralia nayo haichezi mbali.
ofcourse siku hiyo tunajua ni kama utamaduni wa siku zote tumezoea huko,kwanza kushiba pilau sana,watoto wakashushia na soda,na wakubwa sijui maana nnavyoelewa pilau ukashushia na safari bier utasababisha tsunami.baada ya hapo utamaduni ni kwenda punga upepo mwanaaana wa bahari ya hindi ingawa sometime kunakuwa na harufu za pronto hapa na pale lakini aah siku inaenda na amani moyoni.
ndio hivyo bandugu binadamu kila siku haturidhiki hivyo tunachopata tumshukuru muumba kwamba japo tuko hai hivi vingine ziada tu.haya mi ndio naelekea kujipa u-bizzy-boddy mpaka next week ndio tutaonana maana hapa labda kutakua na salamu za hapa na pale kushtuana.

bila kusahau Awilo Longomba yuko hapa kutuchezesha seben la kufungia mwaka.kwa habari hiyo zidi soma poster hapo juu.

REMEMBER DNT DRINK AND DRIVE UTAKUFA

No comments:

Post a Comment