Monday 7 March 2011

LIVERPOOL YACHAPA BAKORA MAN U 3-1


MUUAJI DIRK KUYT
Dirk Kuyt alifunga mabao yote hayo matatu katika mchezo uliotwaliwa zaidi na Liverpool.
Mabao hayo yalifungwa katika dakika za 34, 39, na 65.
Bao pekee na la kufutia machozi lilifungwa na Havier Hernandez katika dakika ya 90.
United wanasalia kileleni wakiwa na pointi 60, huku Liverpool wakiisogelea Tottenham kwa kufikisha pointi 42, huku Spurs wakiwa na 47.

bbc

No comments:

Post a Comment