Wednesday 17 August 2011

NBA STAR DWIGHT HOWARD ATOA MSAADA MONDULI KWA LOWASSA


Nyota wa mchezo wa kikapu nchini Marekani anayechezea timu ya Orlando Magic,Dwight Howard ambaye pia ni mkurugenzi wa taasisi ya D12 Foundation akiwa na mbunge wa jimbo la Monduli mkoani Arusha na Waziri Mkuu Mstaafu,Edward Lowassa(Kushoto) pamoja na mkewe,Regina Lowassa mara nyota huyo alipotembelea shule ya sekondari ya wasichana ya Kipok iliyopo wilayani Monduli juzi na kutoa msaada wa kiasi cha fedha 90 milioni kwa lengo la kusaidia ujenzi wa mabweni ya wanafuzi shuleni hapo.

No comments:

Post a Comment