Tuesday 29 January 2013

waziri wetu wa fedha huyu sverige


smart clean na kihereni cha kufa mtu.


                                       bila kusahau nyuma ana kiduku cha hatari

huyu ni waziri wa fedha hapa sweden,na hiyo ni appearance yake tu.kwa hapa ni kitu cha kawaida ingawa kwa bongo nyumbani huko tayari angemwagiwa laana na wazazi zamani sana.mkubwa huyu ni mtu na familia yake iliyosimama kiuchumi na kifamilia na anaheshimika sana tu.ok siungi mkono u-cameroon.lakini sometime mtu akivaa vitu kama hivyo usimjudge.tumekuwa hodari sana kwa kunyooshea watu vidole kwa mavazi.
kuvaa earring si dhambi,cheni si dhambi.wala kujiweka sop sop sio kwamba ndio umekuwa punga.mtu akiona uko soft smart kijana wa kiume basi tayari atakuita we mchicha mwiba.aliekwambia u-smart ni ushoga nani??enzi za kunuka jasho kama beberu ndio ujulikane we kidume zimepitwa na wakati.tena hao wanaopenda kunuka kama lamb  ndio hodari kweli kwa kugawa visoda siku hizi.
dawa ni moja tu,kudhihirisha we si mchicha unampiga milleage kibao wife  au GF wa mtu aliye hodari ku-mention ili akisikia ajue kama kumbe kidume kinapanda milima ya kitonga na saranda kama kinateremka vile.
siku hizi wale jamaa zetu wanaopumuliwa kisogoniwala hawavai hereni tena,maana washakutana na masharobaro wapinzani na wanawavalia hereni mbilimbili tena mpaka kwenye pua.sasa we kama unangoja umuone mtu na hereni ndio unyooshe kidole utakonda sana
kama unataka kujua mapunga wa ukweli wako wapi nenda njenje pale,au nenda magomeni pale traventine na lango la jiji jumatatu usiku uone mambo.utasema hauko duniani.

ni hayo tu kwa leo  

No comments:

Post a Comment