Monday 30 April 2012

DIAMOND APAGAWISHA DAR LIVE

Mwanamuziki Diamond  anayevuma kwa sasa hapa nchini  kifanya onyesho zito na la kukata na shoka mbele ya mashabiki wake  kwenye ukumbi wa Dar Live, onyesho hilo  lililofanyika jana siku ya jumapili na kuvuta hisia za mashabiki wake lukuki waliojitokeza kumshuhudia akishuka na helikopta kama ilivyokuwa imetangazwa na waandaji wa onyesho hilo.
 Mwanamuziki Diamond akijiandaa kwenda kupanda helikopta tayari kwa kuelekea katika ukumbi wa Dar Live
 Mwanamuziki Diamond akiwa kwenye helikopta tayari kuelekea Dar Live.
 Hapa akionyesha ishara ya kuwasalimia mashabiki wake kwa heshima.
 Akiuangalia umati mkubwa uliojitokeza kwenye ukumbi wa Dar Live ili kushuhudia wakati akishuka na helikopta.
 Wacheza shoo wake wakifanya vitu vyao jukwaani.
Wasanii wa Pah One, Watanzania wenye maskani yao Afrika Kusini wakifanya vitu vyao
Timbulo akifanya vitu na dancers wake
Katika shoo zote za Dar Live, Diamond amevunja rekodi ya idadi ya mashabiki

No comments:

Post a Comment