Saturday 7 April 2012

HALI HALISI ILIVYOKUWA LEO ASUBUHI NYUMBANI KWA KANUMBA BAADA YA KUFARIKI

zaidi
Watu wakiwa hawaamini kilichotokea 

DJ Choka nae akiomboleza kwa huzuni

Msanii Shilole akiwa hajielewi kabisa akiingia nyumbani kwa Marehemu 

Rafiki mkubwa wa marehemu anaitwa Tito yeye ndio alikuwa na mwili wa marehemu hadi hosp ya Mwimbili  

Msanii Johari akiwa kwenye huzuni kabisa akifanya mahojiano ya TV  

 Kijana huyu yeye alipopata habari pale pale alianguka chini

H.Baba akiwasili nyumbani kwa Marehe Steven Kanumba 

Steve Nyerere akiwasili nyumbani kwa marehemu akiwa kwenye majonzi mengi 

Swahiba mkubwa wa Kanumba Ray akiwa mwenye huzuni nyingi 

 
 
picha na habari kwa hisani ya bongostarlinkblog

1 comment: