Friday 31 December 2010

Jokate mwegelo mrembo wetu wa kufungia na kufungulia mwaka


miss jokate
sijawahi kumuweka huyu mrembo wetu hapa Hata siku moja.ni mrembo ambaye mimi binafsi Namu-admire kwa Kila kitu.kitabia,urembo,mavazi huwa Ananivutia sana kwa kila jambo kati ya warembo wengi bongo.nisiseme sana nimeamua ghafla kuweka post hii ya mwisho kufungia mwaka ya jokate mwegelo.nikirudi mwaka mpya nafungua na post nyingine ya jokate vilevile yenye ujazo kadhaa.karibuni kwa maoni yanayojenga sio unaa na kupakaziana,maoni mabovu kaa nayo tu mfukoni ukanywee bia hapa hatuyahitaji.yanayojenga yanakaribishwa.

No comments:

Post a Comment