Tuesday 7 December 2010

REPAIR MBAVU ZAKO

jamaa atakua alilala hoi sana huyu


ohooo,weee

hii ukijisahau ukafanya kwa mitaa ya stock umeumia,lakini kuna jamaa mswede walimdaka anamwaga maji yake ye tumboni mtaani kama vile yuko kwenye michongoma ya mango garden wakamngangania,nayeye jamaa alikua mbishi akakataa kulipa faini akawaambia wapeleke kesi mahakamani,akachukua lawyer.kufika mahakamani bwana kesi imeanza kusikilizwa kumbe hamna hata kifungu cha adhabu gani mtu apewe akikamatwa kwa kosa la kumwagilia mitaa bila ruksa,wala hata kosa lenyewe halitambuliki inaelekea limetungwa tu kijuu juu,ikabidi wamuachie jamaa ajikate kiu pole maana alishawabwaga vibaya.lakini kwa sisi maganga tusijaribu kabisa.hata ubanwe vipi tafuta toilet umalize,ila mara moja moja unaweza kuachia lakini lazima ucheki noma,kushoto,kulia mbele nyuma ikiwezekana hata juu mawinguni check then unapiga kishkaji,na uwe sharp kama wakitokea mazee unaminya button unaskilizia vinginevyo kurona 800 itakutoka.

No comments:

Post a Comment