Wednesday 22 December 2010

UHURU DAY KISTA

wadada walipendeza wakapendezeka vilevile
nikakutana na bloga mwingine(jalux.blogspot.com)

linda pia tulikua naye siku hiyo

linda friend

bwana mwelee mwelee alikua anaweka vitu taratibu


teh teh,jamaa yangu kila nikijitahidi kumpata vizuri picha ilikataa maana alikua kizani

mkamba alikuwepo pale chemba

ndugu zetu waliosababisha kule jikoni

ukapigwa mduara mwenyekiti mzuka ukapanda koti likawa zito akaingia uwanjani kama kawaida yake

aah mziki ukafunguliwa na sebene watu wakajimwaga

humphrey kwenye movement hapo utapenda

kisha kuna kapilau hapo pembeni,unajua ilipigwa nyimbo gani?zile oldies watu wakaanza kuvunja ama"brekn" kwa kimatumbi "mabreka"nyimbo ziliwakuna watu na tulivunja kweli,we angalia mikono hiyo ilivyokuwa inamuvuzishwa,bongo tuna kina maiko jakison wengi tu kumbe

hahaaa mukubwa akaona nyie mnatania ngoja niwaonyeshe hii inavyovunjwa.

sore picha zinafifia kamera yangu ilikua na kwikwi ya umeme si unajua mgao.

No comments:

Post a Comment