Wednesday 9 May 2012

BASI LA PRINCE MURO LAUNGUA MOTO

Basi la  Kampuni ya  Muro Investment, T820BEY lillilokuwa klikitokea Mwanza kwenda jijini Dar es Salaam, limewaka moto na kuteketea  kabisa maeneo ya Maseyu Mkoani Morogoro. Ajali hiyo iliyotokea majira ya saa 1:15 usiku Mei 8,2012, haikusababisha madhara kwa abiria ispokuwa mali zao zote ziliteketea kwa moto huo.
http://www.mrokim.blogspot.com/

No comments:

Post a Comment