Saturday 30 June 2012

TUMETIMIZA MIAKA MIWILI YA NDOA YETU!


isabell kellner unakubali kuolewa na isaac mwamgogwa kwa moyo mmoja kwa shida na raha.


ndio nakubali.   (pete kabaaaa)

"haya na sasa nawaunganisha nyinyi kuwa mume na mke enendeni mkaijaze dunia".
maneno ya padri sio yangu mdau.
na sisi tutaijaza kweli.
maana tunafuata wito.

                                he he hee,mkono huo utadhani nilikua nahofia kuporwa pete dah.






 ILIKUA TAR 25 JUNE 2010 TULIPOAMUA MIMI NA MKE WANGU KUFUNGA NDOA AMA PINGU ZA MAISHA,ALHAMNDULLILAH TULIFANIKISHA NA MUNGU KATUSAIDIA TUMEMPATA KIJANA ANA MWAKA SASA
KWA PICHA ZAIDI ZA TUKIO GOOGLE
 (Isaac +isabell wedding) 
utapata link zote za tukio hilo

1 comment: