

ndio maanake walimwaga radhi hadi aliyewaalika akaanza kulia badala ya kufurahi tena
siku hizi bongo burudani tu,haya mambo kuna BAIKOKO(hii nafuu) kitu T,kitu K***A,laki si pesa,singo kutoka tanga huko kote wanasaula kwa kwenda mbele
habari zaidi jimuvuzishe HAPA
No comments:
Post a Comment