Tuesday 6 December 2011

wera wera wafanya balaa kwenye harusi






ndio maanake walimwaga radhi hadi aliyewaalika akaanza kulia badala ya kufurahi tena

siku hizi bongo burudani tu,haya mambo kuna BAIKOKO(hii nafuu) kitu T,kitu K***A,laki si pesa,singo kutoka tanga huko kote wanasaula kwa kwenda mbele

habari zaidi jimuvuzishe HAPA

No comments:

Post a Comment