Sunday 25 July 2010

ISAAC+ISABELL WEDDING DONE 25june 2010 STOCKHOLM

dah hapa tayari nilikua nshakua mume tena lol,ilikua tofauti sana ndio maana unaona muda wote mkono uko nyuma yaani nilikua siamini hahaaa.
"haya na sasa nawaunganisha nyinyi kuwa mume na mke enendeni mkaijaze dunia".
maneno ya padri sio yangu mdau.
na sisi tutaijaza kweli.
maana tunafuata wito.

he he hee,mkono huo utadhani nilikua nahofia kuporwa pete dah.

ndio nakubali.
isabell kellner unakubali kuolewa na isaac mwamgogwa kwa moyo mmoja kwa shida na raha.






No comments:

Post a Comment