Sunday 25 July 2010

PICHA ZA HARUSI HIZO WADAU

na-dedicate hili songi(QUEEN) kwa mke wangu mpendwa bella
mdau mpendwa ndio leo nimemaliza kuweka picha za harusi yangu,yaani imenichukua wiki nzima maana kuweka na kuedit yote ni kazi yangu mwenyewe,ukichanganya na u-busy wa kazi nyingine lakini nashukuru nimemaliza sasa,picha nyingi muhimu ziko hapo waweza jumuika nasi kupendezesha macho na zingine nyingi ntaweka hapo pembeni kwenye slide show yake mtaendelea kuziona.otherwise nawewe unakaribishwa kuleta tukio lolote unaloona lina umuhimu na mimi bila hiyana ntalitundika hapa katika blog yetu.

No comments:

Post a Comment