Friday 30 July 2010

REAL AFRICAN BEAUTY QUEEN-NURU THE LIGHT

hapa akiwa kiofisi zaidi.
this is one of the best photo ever,simply nuru.
and this one either,hakuna mikogo mingi wala pilika simply yeye tena takin easy.
relaax and see which side you can start to eat the picture he hee.
and here at club somewhere with summer casual,huwa napenda sana kuona warembo wetu wakiwa wanapendeza na kuvutia muda wote,na hilo nuru ni mfano wa kuigwa,nawewe mdau kama unajiamini ni mrembo hasa wa kiafrika na unajikubali basi usiwe mchoyo,nicheki na picha email(docmsaf@gmail.com) then uingie kwenye list ya warembo wa blog baadae tutapiga kura na mshindi atapata zawadi ya viwalo.

1 comment:

  1. HUYU DADA NAMKUBALI KINOMAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA...,

    ReplyDelete