Thursday 29 July 2010

MNAMKUMBUKA VAN DAMME MWENGE

kweli miaka inaenda mshikaji naona sasa amekua km kadingi fulani hivi,nakumbuka enzi zake alivyokuwa ngangari kwenye daladala za mwenge,sijui siku hizi anafanya nini maana naelewa madenti wa njia ile wanammanya sana huyu mkubwa kwa nakos.

picha toka jide blog.

No comments:

Post a Comment