Tuesday 24 July 2012

BASI LA SIMBA MTOTO NA DAR EXPRESS YAGONGANA USO KWA USO ENEO LA WAMI



 Hali ndivyo ilivyokuwa...
 Abiria wakiwashusha wenzao.
Basi la Dar Express lililokuwa linatoka Arusha na basi la Simba Mtoto lililokuwa linaenda Tanga yamegongana uso kwa uso maeneo ya Wami. Majeruhi wa ajali hiyo wamepelekwa k
atika hospitali ya Chalinze.  
Mmoja kati ya abiria waliokuwamo katika mabasi hayo akiwa amejeruhiwa usoni baada ya ajali hiyo. 

Picha na Mtaa kwa Mtaa Blog.

No comments:

Post a Comment