Monday 6 August 2012

CHADEMA MBIONI KUONGEZA CHOPPER INGINE

Mheshimiwa Godbless Lema wa Chadema akikagua Helikopter ikiwa ni moja ya vitendea kazi vya kampeni za 'M4C'. Mheshimiwa Lema, pamoja na kufanya maandalizi hayo ya vitendea kazi, kesho Jumanne Agosti 7 anatarajiwa kufungua tawi la Chadema jijini London saa mbili usiku, Thatched House Barking kwa ushirikiano mkubwa na Makamanda wa Serengeti Freight Forwarders.

toka GPL

No comments:

Post a Comment