Thursday 25 November 2010

MISS AFRICA CRUISE"BEACH WEAR"


michelle jeng(TZ)ndiye alishinda



linda(TZ)sielewi ilkuwaje hakushinda lakini wenyewe mtaona ushindani ulivyokuwa





called hallex berry from cameroon (no 3),the girl was real champ and confident there. especially cat-walk na pozi za ki-miss wow sidhani kama kuna aliyemfikia.by the way ukija kwenye uzuri na utulivu michelle aliwaacha mbali sana.myself sikuamini michelle alipotangazwa mshindi.na ilikuwa fare kabisa.nina picha mbili tatu za ushindi zitakuja baadae.

togo no 2(mashemeji hawa sisemi sana)

fromm (KE)watani walijiamini sana kwa mrembo wao huyu

hii sijui ilikuwa wapi hii imetulia(maybe somalia)

kama mnavyoona hawa wanaweza sebene tu,urembo watuachie TZ








mnaweza kuona wenyewe ushindani ulivyokuwa mkali.hata hivyo miss wetu michelle aliibuka mshindi.kuna pati anafanyiwa na wana uppsala alikotokea angalia post HAPA utaona tangazo la hiyo pati.

1 comment: