Saturday 27 November 2010

nigerian movie"MILLENIUM LADY- PART ONE"

NO-1 NO-2 NO-3

poleni sana wadau wangu jana sikuweka movie ya kibongo kama kawaida yetu nilibanwa kidogo(mipakazo),leo nimeona  tubadili mazingira nimeweka movie hii ya wapopo,ni nzuri sana nayo tuangalie kidogo tuone tofauti.na tujue wapi wasanii wetu wana chemka.maoni yanakaribishwa sana tu.enjoy

2 comments: