Thursday 25 November 2010

OLD GOLD:REAL WENGE Bon.Chic.Bon.Gere. 4x4

sasa katika hii nyimbo waweza kuwaona wanamuziki woote ambao sasa wana bendi zao walivyokuwa.utamuona marie paul,J.B.werrason,allain makaba,masella kipindi hiyo bado vijana wadoogo kabisa lakini mambo yao ilikuwa balaa.

2 comments: